Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasoma historia ya dikteta Franscisco Franco wa Uhispania, baba yake alikuwa mlevi aliyewatesa sana watoto wake.
Concluded.Kwa nini kumlaumu victim kusiwe tatizo?
Na "the rest of the observation" mana yake nini? Observations gani?
Now you are giving encyclicals.Concluded.
Sijui jamaa anapataga midadi gani likija swala la majanga ni lazima aropoke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yy ameshiba hawez wakumbuka wenye njaa na matatizo yaoHaya ndiyo madini ya ukweli aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi kama alivyonukuliwa
View attachment 1355631
-----
Watanzania tumejenga kwenye mikondo ya maji haizibi, mvua ikija kuwachukua mnapiga kelele ni mafuriko, mnajifurika wenyewe, mlima upo hutaki kujenga unakwenda kujenga kwenye mabonde
Nilimtuma Waziri Mkuu na ametoa maelekezo waliojenga mabondeni wahame Serikali haitohangaika na aliyejipeleka kwenye bonde mwenyewe eti ishughulikie kumlisha, uwe wa Chato uwe wa wapi, huo ndio msimamo, acheni kujenga kwenye mabonde
Tuzitumie hizi mvua kama fursa, badala ya kulalamika, tuyatumie maji yaliyoletwa na Mungu kulima, tumekalia kulalamika mafuriko mafuriko na hatulimi, maji yakipotea tuanze kulalamika njaa, Mungu atashangaa alituletea maji hatukuyatumia, kila Mtanzania pale alipo afanye kazi
Wakiwa wanafurikwa uko wewe lima kunde,viazi, wakitoka kwenye mafuriko waje wale chakula chako kwa kuwatwanga fedha, kuna Wasukuma wameenda Lindi na Ng'ombe maji yamewachukua mabondeni, hakuna cha kusaidiwa uliyafuata mwenyewe mabonde ngoja yakubondoe ili ujifunze vizuri
You can keep indulging if that's what pleases you.Now you are giving encyclicals.
watapata tuHadi watu wapate akili!!
Ana kiswahili kibovu kweli, atakua mhamiaji haramu huyu.