Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Naah.Sasa nimekuelewa,we are on two different pages though we are reading same book
You are reading a book, I am teaching the course that the author of your book failed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naah.Sasa nimekuelewa,we are on two different pages though we are reading same book
NiceNaah.
You are reading a book, I am teaching the course that the author of your book failed.
wanajenga mabondeni wacha maji yawabondoe hukohukoNiliwahi kusikia mahali kuwa maana ya neno Lindi ni Bonde, sasa sijui ni kweli??
Hata haivyo kama umewahi kusafiri kwenda lindi, ukiwa unaukaribia mji unakuwa kama unashuka bondeni, mjiwenyewe upo bondeni.
Ndio maana makao makuu mapya ya mkoa wamejenga huko juu mlimani kuepuka matukio kama hayo ya mafuriko.
Siku akipata janga atajuta kutufahamu huyu mtu. Yani huyo Mungu wake ni heri akaendelea kumuepusha hivyo hivyo maana hatoamini!Na daraja zilizosombwa tuseme kuwa hazijajengwa mahali pake?
Foods ni miongoni mwa natural disaster?
Atakapobebwa pale Busisi kwa Tsunami nasi tutasema aliifuata Tsunami
Utaniiii????? Utani kwenye majanga makubwa? Alianza kwenye tetemeko, tukadhani ameteleza leo karudia kwenye mafuriko, then toka lini wasukuma na watu wa kusini wakawa na utani?Rais Magufuli kwa kumtazama tu unaweza kupata picha yake halisi na hasa Nini anawaza kwa wengine, ni mpole na mwenye huruma sana.
Rais amekuwa akitoa kauli hizo kwa watani zake na wanaopelekewa na kuupokea ujumbe huo wanaona ni utani tu.
Pole kwa kumuelewa kinyume kwa kuwa wewe si mtani wake. Kama ni kauli za kumaanisha, mbona Kagera imejengwa bada ya tetemeko?
Mbona Serikali inahahakikisha wanaopata majanga wanapata msaada wa haraka licha ya kauli hizo?
Kwa hiyo tutegemee siku moja aseme kwa utani kuwa wapinzani walioko Kigamboni wachomwe moto mbele zake, halafu watu wacheze ngoma yamadogoli??Rais Magufuli kwa kumtazama tu unaweza kupata picha yake halisi na hasa Nini anawaza kwa wengine, ni mpole na mwenye huruma sana.
Rais amekuwa akitoa kauli hizo kwa watani zake na wanaopelekewa na kuupokea ujumbe huo wanaona ni utani tu.
Pole kwa kumuelewa kinyume kwa kuwa wewe si mtani wake. Kama ni kauli za kumaanisha, mbona Kagera imejengwa bada ya tetemeko?
Mbona Serikali inahahakikisha wanaopata majanga wanapata msaada wa haraka licha ya kauli hizo?
PumabafRais Magufuli kwa kumtazama tu unaweza kupata picha yake halisi na hasa Nini anawaza kwa wengine, ni mpole na mwenye huruma sana.
Rais amekuwa akitoa kauli hizo kwa watani zake na wanaopelekewa na kuupokea ujumbe huo wanaona ni utani tu.
Pole kwa kumuelewa kinyume kwa kuwa wewe si mtani wake. Kama ni kauli za kumaanisha, mbona Kagera imejengwa bada ya tetemeko?
Mbona Serikali inahahakikisha wanaopata majanga wanapata msaada wa haraka licha ya kauli hizo?
Wewe utakuwa ni bonge la mjinga. Kwenye vifo kuna utani? Narudia tena wewe ni mjinga kwelikweli!Rais Magufuli kwa kumtazama tu unaweza kupata picha yake halisi na hasa Nini anawaza kwa wengine, ni mpole na mwenye huruma sana.
Rais amekuwa akitoa kauli hizo kwa watani zake na wanaopelekewa na kuupokea ujumbe huo wanaona ni utani tu.
Pole kwa kumuelewa kinyume kwa kuwa wewe si mtani wake. Kama ni kauli za kumaanisha, mbona Kagera imejengwa bada ya tetemeko?
Mbona Serikali inahahakikisha wanaopata majanga wanapata msaada wa haraka licha ya kauli hizo?
Nazungumzia utani wa makabila sio wa kisiasa. Mkuu wa nchi ni mwezetu ,mwanajamii mwenzetu anatania na kutaniwa na hataniwi utani wa kukidhalilisha kitiKwa hiyo tutegemee siku moja aseme kwa utani kuwa wapinzani walioko Kigamboni wachomwe moto mbele zake, halafu watu wacheze ngoma yamadogoli??
Be real man, Mkuu wa nchi hana utani kwani kile kiti hakina utani kamwe
Duh! Eti ni utani.....!! Kuna kipindi mabasi yalikuwa yanafungwa spidi gavana, sasa huyu muzee itabidi na yeye tumfunge UTANI GAVANA.Rais Magufuli kwa kumtazama tu unaweza kupata picha yake halisi na hasa Nini anawaza kwa wengine, ni mpole na mwenye huruma sana.
Rais amekuwa akitoa kauli hizo kwa watani zake na wanaopelekewa na kuupokea ujumbe huo wanaona ni utani tu.
Pole kwa kumuelewa kinyume kwa kuwa wewe si mtani wake. Kama ni kauli za kumaanisha, mbona Kagera imejengwa bada ya tetemeko?
Mbona Serikali inahahakikisha wanaopata majanga wanapata msaada wa haraka licha ya kauli hizo?