CHEF
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 222
- 122
Kwanza kabisa nikupongeze Rais wangu kwa majukumu mazito maana kuongoza nchi sio lelema, inahitaji afya ya akili, afya ya mwili na afya zote.
Lakini pia nafurahishwa sana pale unapoamsha akili za watanzania kwa kusema maneno mazima mazima bila kumung'unya. Ijapokuwa inauma lakini "msema kweli mpenzi wa mungu"
Ulipotoa kauli kuhusiana na mafuriko kama kawaida yako bila kumung'unya maneno baadhi ya watu walikuwa na muitikio hasi, lakini kwangu mimi naona unawaambia mambo mawili
1. Wajifunze kufikiri kabla ya kutenda, waangalie faida na hasara kwa muda mrefu na muda mfupi wanapotaka kufanya maamuzi.
2. Wajifunze kuweka akiba ya dharura.
Sisi tuta-ukumbuka Daima uongozi uliotukuka chini ya Dkt: John Pombe Joseph Magufuli
Zingatia: Wakati unataka kutoka usisahau kutuachia katiba imara kabisa maana hatujui ajaye kama atakuwa mzalendo kama wewe.
Nawasilisha
Lakini pia nafurahishwa sana pale unapoamsha akili za watanzania kwa kusema maneno mazima mazima bila kumung'unya. Ijapokuwa inauma lakini "msema kweli mpenzi wa mungu"
Ulipotoa kauli kuhusiana na mafuriko kama kawaida yako bila kumung'unya maneno baadhi ya watu walikuwa na muitikio hasi, lakini kwangu mimi naona unawaambia mambo mawili
1. Wajifunze kufikiri kabla ya kutenda, waangalie faida na hasara kwa muda mrefu na muda mfupi wanapotaka kufanya maamuzi.
2. Wajifunze kuweka akiba ya dharura.
Sisi tuta-ukumbuka Daima uongozi uliotukuka chini ya Dkt: John Pombe Joseph Magufuli
Zingatia: Wakati unataka kutoka usisahau kutuachia katiba imara kabisa maana hatujui ajaye kama atakuwa mzalendo kama wewe.
Nawasilisha