Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

Niliwahi kusikia mahali kuwa maana ya neno Lindi ni Bonde, sasa sijui ni kweli??

Hata haivyo kama umewahi kusafiri kwenda lindi, ukiwa unaukaribia mji unakuwa kama unashuka bondeni, mjiwenyewe upo bondeni.

Ndio maana makao makuu mapya ya mkoa wamejenga huko juu mlimani kuepuka matukio kama hayo ya mafuriko.
Lindi ni kubwa sana mkuu, wewe umefika mjini hujafika maeneo mengi kama Nachingwea, Kilwa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiufupi huu ni ujumbe kwa wote waliopo mabondeni wakitaraji huruma za serikali
 
Kuna mambo yanatia aibu sana. Unalalamikia watu kuwa wanastahili mafuriko kwa sababu wako bondeni lakini sijawahi kuona waliojenga kituo cha mwendo kasi kuchukuliwa hatua.

Bado nanukuu tena kauli zake.."nimekuteua wewe kwa sababu tunaendana endana ukichaa..."
 
kagera alisema hakuleta tetemeko ,kwenye ukame anasema yeye sio mungu ,


dodoma kuna njia ya tetemeko mbona kujenga makao mkuu.

ni tabia huwezi kuficha
Sidhani ujenzi wa majengo yanayojengwa Dodoma yanazingatia tetemeko.
 
1581483201457.png

More than 350,000 evacuated, over 20 provinces badly hit; relief efforts continue(JUN 15, 2019, )
Kuna haja ya kujiuliza mara nyingi zaidi juu ya kauli na tamshi zetu.
Huu ni mfano tu kwa wenzetu.

Hivi tungepata Corona ..wangezungumza nini hasa?Haijilishi kipi ni sahihi ila inawakilisha namna jinsi tulivyo na upeo wetu wa kufikiri.kuna walakini katika akili zetu sisi watu weusi.

Hilo ni kundi linalowakilisha wasomi wengi wakubwa hapa Tanzania..kuna shida tena si ya kawaida.

Nature na Muumba wa Ulimwengu pekee inaoka Waafrika wengi kutopata maamivu kabla na baada ya Majanga.

Ila tungekuwa na Catrina na Matetemeko kama Japan..Indonesia na kwengineko.Kuna watu wangeamka siku watatindike watu Risasi wote wanakumbwa na matatizo hayo.

Tuwe na akiba na staha..Nyakati za kupanda zikipita tusije hitaji huruma huko mbeleni.Vitu na muda hukimbia sana na huamua mambo mengi magumu.
Kuna wakati wenye maumivu watazungumza kama ilivyo kwa wale wanaozungumza sasa.

Poleni wana Lindi

Hongereni pia Mipango miji na woote mnaofumbia macho upangaji wa makazi Kiholea holela.Huku tukijua kuwa kuna pahala si salama kwa makazi.
 
Naona udikteta wake unagain momentum ngoja avuke 2020 mtamjua vizuri.
NASIKIA YALE MAFURIKO LINDI YANA CONNECTION NA UKATAJI MITI ILI KUPISHA UJENZI WA BWAWA LA UMEME(Mwalimu NYERERE H.E.P) NA MBAYA ZAIDI ILIKAKATAZWA KUONESHWA HILI TUKIO LIVE NASIKIA NI BALAA KUBWA MNO ILA KUREPORT MWIKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200212-080945.png
 
Niliwahi kusikia mahali kuwa maana ya neno Lindi ni Bonde, sasa sijui ni kweli??

Hata haivyo kama umewahi kusafiri kwenda lindi, ukiwa unaukaribia mji unakuwa kama unashuka bondeni, mjiwenyewe upo bondeni.

Ndio maana makao makuu mapya ya mkoa wamejenga huko juu mlimani kuepuka matukio kama hayo ya mafuriko.
Hoja ni kauli ya rais wako
 
  • Thanks
Reactions: prs
Bonge la ukatili! Hiyo siyo kauli ya mkuu wa nchi hata kidogo tena anayesubiri keshokutwa awapigie pushup kuomba kura zenu akijiita wa wanyonge.
Natamani nisikie wamemnukuu vibaya.
Haiwezekani kila azungumzalo ni bif tuu, na sijui kama anajua kuwa waliokufa wote na mafuriko ni hao wanyonge!

Sent using Jamii Forums mobile app
Analake jambo na wana-kusini! nakumbuka kauli zake wakati wa sakata la koro-show
 
Alichosema kina ukweli lakini mmmh! nahisi angepunguza ukali wa maneno, angewakumbusha tu wajifunze kuzingatia katazo la kuishi mabondeni.
Kwa mfano angeanza kwa kuwapigia magoti na kuwabembeleza wakaazi wa bonde la msimbazi wasikae tena hilo bonde maana mvua za masika zinakuja kuanzia mwezi wa tatu.
Akianza sasa hivi kwa lugha nzuri na tamu ya kuwasihi watahama haraka sana.
Lakini akitumia ubabe watakataa na wengi watakufa! Hivyo lugha yake itakuwa imesababisha wafe!
Si mnakumbuka Jakaya aliwapimia hata viwanja! Je! Walihama. Watanzania acheni kubembelezwa, keep it up Rais wetu.
 
Back
Top Bottom