The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli ni mtu mmoja ambaye katika saikolojia yake inawezekana kavurugwa huko nyuma.Mkuu muwe mnatumia akili . hivi inaingia skilini unawanyima misada wananchi wako wakati wa maafa afu siku nyingine unasaidia Msumbiji, Zimbabwe kwenye maafa mengine ?
Duh! Maneno machache yaliyobeba ujumbe mzito kwa watakaokuelewa.Hadi watu wapate akili!!
Ushahidi unao, wa watu kutokuwa na mawasiliano, kunyimwa yote hayo uliyoorodhesha?Kuna watu hawana hata mawasiliano na serikali huko.
Ndiyo maana, nasisitiza mifumo kwanza kabla ya lawama.
Huo ndio ukweli, nani alikutuma ujenge mabondeni? Unaenda bonds la mto msimbazi mtu kajenga ukingoni kabisa mwa mto, anatumia milioni kadhaa huku akiona kabisa hapafai kukaa nyumba pale.
Haya maisha ukibembelezwa sana unakuwa mjinga.
Hadi watu wapate akili!!
When it comes to people's life the stakes are too high to make it a political agenda.Hakuna ukweli wowote wa alichosema. Tuko mamilioni ya watu, tunawezaje wote tukaishi milimani!!? Hiyo milima ni mingapi hadi nchi nzima tuishi huko.
Kuna tatizo kichwani kwa mkuu, nami nawahimiza Watanzania wenzangu Oktoba tokeni kwa wingi mmwadhibu mtu huyu asiyetumia kinywa chake kwa staha anapozungumzia maswahibu ya Wananchi.
Sasa nimekuelewa,we are on two different pages though we are reading same bookUnaniuliza mimi kwani mimi ndiye nimeleta habari za "kufunzwa na dunia" hapa?
Serikali ziache watu wafe kwa sababu wanafunzwa na dunia?
Kama hivyo kwa nini zinajenga hospitali?
Kwa nini zisiwaache watu wafe kwa magonjwa wafunzwe na duni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba akumbushwe yeye kama rais ni mfariji mkuu.
Hilo la muhimu sana, achague na achambue ya kuyatoa kinywani ni vile wananchi most of them hawana utambuzi(ashakum si matusi)(layman) "mostly" ndio maana kauli kama hizi zinapita softly.
Kwa jamii na mahala ambapo jamii(wananchi) wanauelewa wa upembuzi, hizo kauli zina'impact kubwa na mbaya sana.
Mungu mbariki rais wetu
Haya ndiyo madini ya ukweli aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi kama alivyonukuliwa
-----
Watanzania tumejenga kwenye mikondo ya maji haizibi, mvua ikija kuwachukua mnapiga kelele ni mafuriko, mnajifurika wenyewe, mlima upo hutaki kujenga unakwenda kujenga kwenye mabonde
Nilimtuma Waziri Mkuu na ametoa maelekezo waliojenga mabondeni wahame Serikali haitohangaika na aliyejipeleka kwenye bonde mwenyewe eti ishughulikie kumlisha, uwe wa Chato uwe wa wapi, huo ndio msimamo, acheni kujenga kwenye mabonde
Tuzitumie hizi mvua kama fursa, badala ya kulalamika, tuyatumie maji yaliyoletwa na Mungu kulima, tumekalia kulalamika mafuriko mafuriko na hatulimi, maji yakipotea tuanze kulalamika njaa, Mungu atashangaa alituletea maji hatukuyatumia, kila Mtanzania pale alipo afanye kazi
Wakiwa wanafurikwa uko wewe lima kunde,viazi, wakitoka kwenye mafuriko waje wale chakula chako kwa kuwatwanga fedha, kuna Wasukuma wameenda Lindi na Ng'ombe maji yamewachukua mabondeni, hakuna cha kusaidiwa uliyafuata mwenyewe mabonde ngoja yakubondoe ili ujifunze vizuri
Kwanini hayajatokea dodoma ambako hakuna misitu kabisa?Naona udikteta wake unagain momentum ngoja avuke 2020 mtamjua vizuri.
NASIKIA YALE MAFURIKO LINDI YANA CONNECTION NA UKATAJI MITI ILI KUPISHA UJENZI WA BWAWA LA UMEME(Mwalimu NYERERE H.E.P) NA MBAYA ZAIDI ILIKAKATAZWA KUONESHWA HILI TUKIO LIVE NASIKIA NI BALAA KUBWA MNO ILA KUREPORT MWIKO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi gani unataka, unajua kipato cha wastani tu cha Mtanzania, GDP per capita, ni ushahidi tosha?Ushahidi unao, wa watu kutokuwa na mawasiliano, kunyimwa yote hayo uliyoorodhesha?