Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

..wananchi wa Kagera hawakuwa mabondeni lakini na wao aliwatolea lugha zisizo na staha.

..sasa inawezekana wako wananchi wa Lindi ambao walikuwa wanawacheka ndugu zao wa Kagera walipotolewa kauli mbaya na bwana mkubwa.

..wafanyakazi walipodai nyongeza ya mishahara bwana mkubwa akaropoka kwamba hata yeye mshahara wake haumtoshi. Inaeleweka kwamba bwana mkubwa anatunzwa [ malazi, chakula, usafiri, ulinzi bure] kwa kodi ya wananchi.

..mchangiaji aliyesema " ..hadi watu wapate akili.." hajakosea. Ni lazima tuelewe kwamba bwana mkubwa hana utu au huruma kwa wananchi waliomchagua. Bwana mkubwa anajiona yuko juu yetu wananchi na kwamba sisi tuko kwa ajili ya kumtumikia, kumsifia, na kumsujudia kila wakati.
 
Bonge la ukatili! Hiyo siyo kauli ya mkuu wa nchi hata kidogo tena anayesubiri keshokutwa awapigie pushup kuomba kura zenu akijiita wa wanyonge.
Natamani nisikie wamemnukuu vibaya.
Haiwezekani kila azungumzalo ni bif tuu, na sijui kama anajua kuwa waliokufa wote na mafuriko ni hao wanyonge!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajafa bwana sasa kama wamekufa watakujaje kununua viazi? au maiti siku hizi zinaenda sokoni
 
..wananchi wa Kagera hawakuwa mabondeni lakini na wao aliwatolea lugha zisizo na staha.

..sasa inawezekana wako wananchi wa Lindi ambao walikuwa wanawacheka ndugu zao wa Kagera walipotolewa kauli mbaya na bwana mkubwa.

..wafanyakazi walipodai nyongeza ya mishahara bwana mkubwa akaropoka kwamba hata yeye mshahara wake haumtoshi. Inaeleweka kwamba bwana mkubwa anatunzwa [ malazi, chakula, usafiri, ulinzi bure] kwa kodi ya wananchi.

..mchangiaji aliyesema " ..hadi watu wapate akili.." hajakosea. Ni lazima tuelewe kwamba bwana mkubwa hana utu au huruma kwa wananchi waliomchagua. Bwana mkubwa anajiona yuko juu yetu wananchi na kwamba sisi tuko kwa ajili ya kumtumikia, kumsifia, na kumsujudia kila wakati.
Na bado si mnajifanya kondoo sana?
 
Back
Top Bottom