Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mimi sijaelewa naomba wasukuma wanipe tafsiriKiswahili cha chato ni tofauti kabisaa na kiswahili kinachopatikana sehemu nyingine Tz.
dodge
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijaelewa naomba wasukuma wanipe tafsiriKiswahili cha chato ni tofauti kabisaa na kiswahili kinachopatikana sehemu nyingine Tz.
dodge
Hata mkipiga mbizi ,ndege ya raisi itanunuliwa tuukagera alisema hakuleta tetemeko ,kwenye ukame anasema yeye sio mungu ,
dodoma kuna njia ya tetemeko mbona kujenga makao mkuu.
ni tabia huwezi kuficha
Siku za kubembelezwa zimeisha, yani ujenge kwenye bonde alafu utake mtu aje akufariji..?Bonge la ukatili! Hiyo siyo kauli ya mkuu wa nchi hata kidogo tena anayesubiri keshokutwa awapigie pushup kuomba kura zenu akijiita wa wanyonge.
Natamani nisikie wamemnukuu vibaya.
Haiwezekani kila azungumzalo ni bif tuu, na sijui kama anajua kuwa waliokufa wote na mafuriko ni hao wanyonge!
Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo mshenzi maana humwelewi maaninaaa.
Watanzania tutimize wajibu wetu Wa UPENDO waheshimiwa wabunge Wa Lindi bila kujali vyama venu kaeni fungua account ya maafa isambaze na kuitangaza ili kila mtanzania mwenye chochote aweze kutuma hata kama ni mia ili tuwasaidie wenzetu wa lindi kama harusi tunachanga na ili tunaweza na kweli nafikili huko ali ni mbaya maana niliona kwenye clip Mh Bwege akiliongea bungeni ila samahani kama nitakua nimekosea jina lake mhHaya ndiyo madini ya ukweli aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi kama alivyonukuliwa
View attachment 1354639
Aliwahi sema kuwa yeye ni kichaa, kwa hiyo haishangazi kutoa maneno hiyo.Hadi watu wapate akili!!
Ongeza sauti mkuuNaona udikteta wake unagain momentum ngoja avuke 2020 mtamjua vizuri.
NASIKIA YALE MAFURIKO LINDI YANA CONNECTION NA UKATAJI MITI ILI KUPISHA UJENZI WA BWAWA LA UMEME(Mwalimu NYERERE H.E.P) NA MBAYA ZAIDI ILIKAKATAZWA KUONESHWA HILI TUKIO LIVE NASIKIA NI BALAA KUBWA MNO ILA KUREPORT MWIKO.
Sent using Jamii Forums mobile app