Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

Bonge la ukatili! Hiyo siyo kauli ya mkuu wa nchi hata kidogo tena anayesubiri keshokutwa awapigie pushup kuomba kura zenu akijiita wa wanyonge.
Natamani nisikie wamemnukuu vibaya.
Haiwezekani kila azungumzalo ni bif tuu, na sijui kama anajua kuwa waliokufa wote na mafuriko ni hao wanyonge!

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku za kubembelezwa zimeisha, yani ujenge kwenye bonde alafu utake mtu aje akufariji..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Mbona bingwa tokea hajapata hicho kiti wote tulikua tunamfaham kwa kutupia nondo kali na misumari ya nchi sita, nani amesahau aliposema kama hauna 200 piga mbizi. Mara ngapi alipelekesha bunge kuhusu matumizi ya barabara?

Lakini kubwa zaidi alikua muwazi zaidi kwa kusema huku alipo yeye kasukumizwa tu akajikuta yupo jumba jeupe. Hapo mnamshangaa au kumlaumu kwa kipi?

Yaani huyo ndio yeye! Sie ndio wa ajabu endapo tulitarajia atakua mnafiki abadilike kisa ameupata urais.


Nakala kwa rais wetu wanyanyua box
Nyani Ngabu
 
Haya ndiyo madini ya ukweli aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi kama alivyonukuliwa

View attachment 1354639
Watanzania tutimize wajibu wetu Wa UPENDO waheshimiwa wabunge Wa Lindi bila kujali vyama venu kaeni fungua account ya maafa isambaze na kuitangaza ili kila mtanzania mwenye chochote aweze kutuma hata kama ni mia ili tuwasaidie wenzetu wa lindi kama harusi tunachanga na ili tunaweza na kweli nafikili huko ali ni mbaya maana niliona kwenye clip Mh Bwege akiliongea bungeni ila samahani kama nitakua nimekosea jina lake mh
 
Naona udikteta wake unagain momentum ngoja avuke 2020 mtamjua vizuri.
NASIKIA YALE MAFURIKO LINDI YANA CONNECTION NA UKATAJI MITI ILI KUPISHA UJENZI WA BWAWA LA UMEME(Mwalimu NYERERE H.E.P) NA MBAYA ZAIDI ILIKAKATAZWA KUONESHWA HILI TUKIO LIVE NASIKIA NI BALAA KUBWA MNO ILA KUREPORT MWIKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza sauti mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom