fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Hahaha kweli tuna kiongozi wa wanyonge 😀😀😀Hadi watu wapate akili!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kweli tuna kiongozi wa wanyonge 😀😀😀Hadi watu wapate akili!!
Yaani haijarishi huu ni mwaka wa uchaguzi kwamba he has to be on wananchi's side to earn political credibility.Sijui jamaa anapataga midadi gani likija swala la majanga ni lazima aropoke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani niliambiwa watu wenye upara wana busara na upeo wa fikra!We ndo mshenzi maana humwelewi maaninaaa.Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kauli za ajabu kutoka kwake ndio umezisikia leo?Huyu jamaa aliamkaje leo!?
Wacha kujipendekeza na wewe mamanina! Kama jitu in pumbavu kwa nini lisitukanwe? Hata mataahira huwa wanazeeka kiongozi wacha hizo!We ndo mshenzi maana humwelewi maaninaaa.
Nyie ndo mnafanya jf iwe inaandamwa mnatukana hata watu waliowazidi miaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahadi ya mwana TANUNaomba akumbushwe yeye kama rais ni mfariji mkuu.
Hilo la muhimu sana, achague na achambue ya kuyatoa kinywani ni vile wananchi most of them hawana utambuzi(ashakum si matusi)(layman) "mostly" ndio maana kauli kama hizi zinapita softly.
Kwa jamii na mahala ambapo jamii(wananchi) wanauelewa wa upembuzi, hizo kauli zina'impact kubwa na mbaya sana.
Mungu mbariki rais wetu
Hili nadhani ndio andiko la aibu zaidi kulisoma tangu nijiunge JFHadi watu wapate akili!!
Naomba akumbushwe yeye kama rais ni mfariji mkuu.
Hilo la muhimu sana, achague na achambue ya kuyatoa kinywani ni vile wananchi most of them hawana utambuzi(ashakum si matusi)(layman) "mostly" ndio maana kauli kama hizi zinapita softly.
Kwa jamii na mahala ambapo jamii(wananchi) wanauelewa wa upembuzi, hizo kauli zina'impact kubwa na mbaya sana.
Mungu mbariki rais wetu
Is he aware that people lost lives and belongings!!!??
Hili ni jambo jema sana. "Watu kupata akili."Hadi watu wapate akili!!
sema kiswahili cha jamaa yako
Watu hawapati akili kwa kusengenywa na kunyanyaswa, hapo unawaongezea msongo wa mawazo tu.Hili ni jambo jema sana. "Watu kupata akili."
Tutakapofanikiwa kulitimiza hili, matatizo yetu mengi tutaondokana nayo.
Au ndio matatizo yataongezeka? Hili ni swali 'genuine' kabisa.