Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

Madini aliyotema Rais Magufuli kwa waathirika wa mafuriko huko Lindi

February 8, 2020

Serikali ya CCM Mpya mkoani Mwanza yasisitiza hapa ni kazi tu , mvua za mafuriko watu wachape kazi waende wakalime. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza alipokuwa anakagua kivuko kilichopo Buchosa Wilaya ya Sengerema, Mwanza



Source: MCL Digital
 
Naomba akumbushwe yeye kama rais ni mfariji mkuu.
Hilo la muhimu sana, achague na achambue ya kuyatoa kinywani ni vile wananchi most of them hawana utambuzi(ashakum si matusi)(layman) "mostly" ndio maana kauli kama hizi zinapita softly.

Kwa jamii na mahala ambapo jamii(wananchi) wanauelewa wa upembuzi, hizo kauli zina'impact kubwa na mbaya sana.
Mungu mbariki rais wetu
Ahadi ya mwana TANU

Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutakua tunafariji wapumbavu mpaka lini?
Hiyo kazi.fanya wewe
Naomba akumbushwe yeye kama rais ni mfariji mkuu.
Hilo la muhimu sana, achague na achambue ya kuyatoa kinywani ni vile wananchi most of them hawana utambuzi(ashakum si matusi)(layman) "mostly" ndio maana kauli kama hizi zinapita softly.

Kwa jamii na mahala ambapo jamii(wananchi) wanauelewa wa upembuzi, hizo kauli zina'impact kubwa na mbaya sana.
Mungu mbariki rais wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo jema sana. "Watu kupata akili."

Tutakapofanikiwa kulitimiza hili, matatizo yetu mengi tutaondokana nayo.

Au ndio matatizo yataongezeka? Hili ni swali 'genuine' kabisa.
Watu hawapati akili kwa kusengenywa na kunyanyaswa, hapo unawaongezea msongo wa mawazo tu.

Watu wanapata akili kwa nchi kuwa na uongozi bora utakaowajali, kuwaelimisha, kuwashirikisha, kuwahamasisha na kuwaliwaza vizuri.

Magufuli kashindwa katika yote hayo.

Anajitengenezea uadui wa bure kabisa na wananchi wake mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom