Hapo ndipo ninapoiipa CCM heko
Heko kwa kututilia adabu hawa vitimba kwiri na vizabi zabina wa siasa.
Wakafie mbele hukoooo.
Malaya wakubwa wa siasa , wakitafuta sifa na mlo.
Sas tuwaone kama kweli wanamuunga mkono Magu ,wabakie benchi wampigie makofi mpaka 2025 wakiwa chini ya chama wakishiriki harakati mbali mbali za kuijenga CCM itakayokuwa mahututi baada ya Uchaguzi wa 2020.
Wakibaki hadi 2025 ndani ya CCM tutawaaminikweli wanaunga mkono JUHUDI za JIWE