Uchaguzi 2020 Madiwani wa CHADEMA waliohamia CCM ,wapukutishwa Arusha

Uchaguzi 2020 Madiwani wa CHADEMA waliohamia CCM ,wapukutishwa Arusha

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2016
Posts
753
Reaction score
1,812
Takribani madiwani 20 wa chadema waliojiunga CCM kuunga juhudi za Rais Magufuli wameangukia pua kwenye kura za maoni huku eti wakidai wamehujumiwa na wajumbe.

Hatua hiyo imedhihirisha wazi kwamba wenye CCM yao wapo na sio wahamiaji kama walivyopigwa mweleka kwenye kura za maoni na wengi wao wakiambulia kura moja na sifuri.
 
Hili si lakucheka sana huo bado ni ushindi kwa ccm kwasababu majimbo hayo tunaweza kusema tayari yapo mikonini mwa ccm
 
CCM na uongozi wake wa wajuu watatakiwa wawe makini na maaumizi ya jina la mwisho la atakaye pitishwa kugombea. Watafute maoni ya wananchi wa eneo husika kutumia njia au vyanzo mbadala. Nasema hivi kwa sababu yako maeneo ambayo maamuzi ya wajumbe wao haya akisi maoni ya wananchi ambao ndio wapiga kura wengi. Wawe makini hasa.
 
Wajumbe Nyoko sana
255679363822_status_ee45e78138324b7699f0d4d5cda58010.jpg
255679363822_status_b3a6c1cbe4f94aa888bebdbb3c686b08.jpg
 
Wawe wavumilivu, kama walihamia kuliko na demokrasia basi wajifunze pia kuiheshimu.
Kinyume na hapo wanatakiwa kuthibitisha kuwa unafiki wao na njaa ya madaraka ndiyo iliwakimbiza
 
Kosa lilifanyika pale mabalozi walipoongezwa kama wajumbe wa hiki kikao cha kura za maoni. Wengi wa watu hawa wanatumia matumbo yao badala ya akili kufanya maamuzi.
 
Hapo ndipo ninapoiipa CCM heko
Heko kwa kututilia adabu hawa vitimba kwiri na vizabi zabina wa siasa.
Wakafie mbele hukoooo.
Malaya wakubwa wa siasa , wakitafuta sifa na mlo.
Sas tuwaone kama kweli wanamuunga mkono Magu ,wabakie benchi wampigie makofi mpaka 2025 wakiwa chini ya chama wakishiriki harakati mbali mbali za kuijenga CCM itakayokuwa mahututi baada ya Uchaguzi wa 2020.
Wakibaki hadi 2025 ndani ya CCM tutawaaminikweli wanaunga mkono JUHUDI za JIWE
 
Waambie wasifunge hesabu na mjumbe, mjumbe siyo mtu
 
Wajumbe waendelee kunywa bia nakuja kulipa.. Kuna mmoja jana nilimkuta kwenye gari analia
 
Back
Top Bottom