Madiwani wa Upinzani walikuwa na uwezo wa kuchanganua mambo tofauti na wale wa CCM ambao husaka tenda!

Madiwani wa Upinzani walikuwa na uwezo wa kuchanganua mambo tofauti na wale wa CCM ambao husaka tenda!

Ukweli lazima tuuseme zaidi ya 90% ya madiwani kutoka CCM ni wafanyabiashara au Mawakala wa wafanyabiashara.

Hivyo tusitegemee ubunifu wowote wa maana katika kipindi hiki ambacho mabaraza yote yamejaa kijani.
Tujiandae kusikia tozo na ushuru za kila dizaini kama alivyosema rip Komba pale bungeni kwamba CCM ni kokoro.

Walau madiwani wa upinzani walikuwa na uwezo wa kuchanganua mambo ila hawa kijani wako kusaka tenda zaidi.

Maendeleo hayana vyama

Narudia tena,

Maendeleo hayana vyama!

Hakuna mkuu ,wapinzani walikuwa wanatucheleweshea sana maendeleo!! Kwasasa ni kijani mambo yatakuwa Kuntu!! Mabomba yatatiririsha maji 24hrs,umeme bwerere ,barabara zinapitika misimu yote!! ushuru/kodi zimepunguzwa!! Mitano tena.

Maendeleo hayana chama!!! Kwani Mbunge wa huko ni nani?
 
Ukweli lazima tuuseme zaidi ya 90% ya madiwani kutoka CCM ni wafanyabiashara au Mawakala wa wafanyabiashara.

Hivyo tusitegemee ubunifu wowote wa maana katika kipindi hiki ambacho mabaraza yote yamejaa kijani.
Tujiandae kusikia tozo na ushuru za kila dizaini kama alivyosema rip Komba pale bungeni kwamba CCM ni kokoro.

Walau madiwani wa upinzani walikuwa na uwezo wa kuchanganua mambo ila hawa kijani wako kusaka tenda zaidi.

Maendeleo hayana vyama

Narudia tena,

Maendeleo hayana vyama!
John kunywa pepsi hapo kwa mangi kwa hisani yangu,ulikuwa wapi siku zote wakati ukiimba mapambio.
 
Back
Top Bottom