Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii instrument of power ni null and void, hivyo mkataba pia ni null and void🙂Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani aliandika.
View attachment 2686950.
kwahiyo dubai hawakusaini au vipi? tuliingia mkataba na nani sasa?Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani aliandika.
View attachment 2686950.
Nani?Asulubiwe
Mwakilishi wao alisaini kwa niaba ya nchi yake tuu.kwahiyo dubai hawakusaini au vipi? tuliingia mkataba na nani sasa?
kwahiyo sis ndio tuliingia kichwa kichwa hadi kujiweka wawailishi wao wakati wao wamejizamini wao pekeeMwakilishi wao alisaini kwa niaba ya nchi yake tuu.
View attachment 2686958
Nawasubiria kwanza akina The Boss na FaizaFoxy waje watolee ufafanuzi. Baada ya hapo nitatambua nani ni msemakweli.Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.
View attachment 2686950.
Mbawara ameshauvaa mkenge, siku isiyo na jina atalazimika kueleza kwa nini alienda kinyume na hii instrument. Kama alisaini sehemu moja kwa vile alidhani instrument imekosewa kwa nini hakumshauri rais aibadilishe?Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.
View attachment 2686950.
kwahiyo dubai hawakusaini au vipi? tuliingia mkataba na nani sasa?
Nao wamechoka kutetea mkataba ambao utawapelekea vizazi vyao kuwa watumwa wa warabuNawasubiria kwanza akina The Boss na FaizaFoxy waje watolee ufafanuzi. Baada ya hapo nitatambua nani ni msemakweli.
aisee, mwarabu naye kwahiyo ameingizwa cha kike. safi.Mwakilishi wao alisaini kwa niaba ya nchi yake tuu.
View attachment 2686958
Hivi mwanasheria mkuu anafanya nini huko ofisini? Anachekacheka tu?Mnavyozidi Kuujadiri Huu Mkataba Ccm Wanafura Sana Kwa Aibu Na Majonzi Tele
Ila Hawana Namna Yoyote
Mungu Hamfichi Mnafki Hatimaye Aibu Inaendelea