Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia


Mmekazana sana na mambo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye huo mkataba kama sehemu ya matatizo.

Pitia article 18 ya ‘VCLT 1969’ hizo signature ndani ya huo mkataba hazina nguvu zozote za kisheria pekee yake, bila ya ratification.

Nguvu ya kisheria kwenye treaty inakuja baada ya ratification ya bunge. Vinginevyo mikataba yote ya baadae terms zake ambazo zipo kwenye treaty azitambuliki mahakamani kama ratification aikufanyika.

Kwanza nchi ingeweza ata ikana hiyo treaty (IGA) yenyewe ata kama raisi mwenyewe angekuwa ndio la sign; provided katika muda huo bunge lilikuwa bado alijaridhia.

Yaani watu mmekezana na upotoshaji badala ya kuwabana hawa watu tujue huko mbele ni kipi hawa wakezaji wanatoa, wanarudisha vipi investment yao na win situation kwetu ina sura gani katika hiyo mikataba. Hayo mambo hawajifikia bado au ndio wanajadiliana kwa sasa nyuma ya pazia.

Lakini wapotoshaji mmekazana na mambo yasiyo ya kichwa wala miguu; kuivuruga serikali matokeo yake tunaweza ata kuwatoa umakini kwenye future negotiations ambazo huko sasa wakiingia kichwa kichwa ndio nchi inaenda tandikwa kweli.
 

Mmekazana sana na mambo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye huo mkataba kama sehemu ya matatizo.

Pitia article 18 ya ‘VCLT 1969’ hizo signature ndani ya huo mkataba hazina nguvu zozote za kisheria pekee yake, bila ya ratification.

Nguvu ya kisheria kwenye treaty ni baada ya ratification ya bunge; vinginevyo mikataba yote ya baadae terms zake ambazo zipo kwenye treaty azitambuliki mahakamani kama ratification aikufanyika.

Kwanza nchi inaweza ata ikana hiyo treaty yenyewe ata kama raisi ka sign; katika muda ambao bunge alijaridhia.

Yaani watu mmekezana na upotoshaji badala ya kuwabana hawa watu tujue huko mbele ni kipi hawa wakezaji wanatoa, wanaeudisha vipi na win situation yetu kwetu ina sura gani. Hayo mambo hawajifikia bado au ndio wanajadiliana kwa sasa nyuma ya pazia.

Lakini wapotoshaji mmekazana na mambo yasiyo ya kichwa wala miguu; kuivuruga serikali matokeo yake tunaweza ata kuwatoa umakini kwenye future negotiations ambazo huko sasa wakiingia kichwa kichwa ndio nchi inaenda tandikwa kweli.
Kama wamefanya makosa leo una uhakika gani huko mbele hawatafanya makosa.
 
Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.

View attachment 2686950.
Bi Mkubwa, Waziri na Katibu walifanya kazi ya Mwanasheria. Ila lingepita kimya kimya sijuwi mngelijulia wapi wajuba., maana wakurungwa tayari walishakunja.
 
Huu mkataba wa kitapeli wa D P World yawezekana ni watanzania wenzetu wameamua kupitia mlango wa nyuma ili wapige pesa ndefu. Huenda ukiingia deep ukifungua nyuma ya pazia ukawakuta watanzania wamekaa wanakuangalia.

Kwa kuwa bunge haramu lililoongozwa na spika limeupitisha, basi tumshinikize jaji mkuu aunde tume kuchunguza huu mkataba. Jaji mkuu naye akishindwa basi tuingie barabarani tujaribu bahati yetu kuliomba jeshi lisaidie kuiondoa serikali iliyopo madarakani.
 
Asulubiwe
[emoji23]
FB_IMG_16890892232165557.jpg
 
Kama wamefanya makosa leo una uhakika gani huko mbele hawatafanya makosa.
Makosa yepi sasa hapo.

Iko walichofanya hao Dubai na Tanzania; kwenye ku nominate signatories kwa niaba ya nchi zao kinatofauti gani.

Moreover it doesn’t matter hizo sign hazifanyi hiyo IGA kuwa enforceable kisheria; isipokuwa process ya ratification tu.

Muda wowote hiyo treaty serikali ingeweza ikana katika kipindi ambacho bunge lilikuwa alijaridhia bado.

Mbona wakaidi nyie watu kwenye kuelewa mambo mepesi; mna complicate issues ambazo ni straight forward.

Hao wanasheria uchwara wanawapotosha sana na kuwaaribu your reasonability kwenye hili sakata.
 
Angalieni jamani nyie mtaitwa polisi mkajieleze.
 
KWqm
Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.

View attachment 2686950

Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.

View attachment 2686950.
Kwamba rais wa jmt ni rais wa Dubai emirate siyo! Mafisadi yanapanga na Mungu anapangua! Yana mwisho haya!
Mpaka hapa wamejiaibisha na kuliabisha taifa. Wajiuzulu tu kulinda kasehemu ka heshima kalikosalia!
 
Back
Top Bottom