Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mimi nataka utoe maelezo kama ni kweli Rais amesaini huo mkataba kwa niaba ya nchi mbili, au hii taarifa ni uzushi tu.Ufafànuzi upi zaidi kijana kwani mkataba unasainiwa baina ya nchi zipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nataka utoe maelezo kama ni kweli Rais amesaini huo mkataba kwa niaba ya nchi mbili, au hii taarifa ni uzushi tu.Ufafànuzi upi zaidi kijana kwani mkataba unasainiwa baina ya nchi zipi?
Kwani mkataba unaingiwa baina ya nchi ipi na ipi?Mimi nataka utoe maelezo kama ni kweli Rais amesaini huo mkataba kwa niaba ya nchi mbili, au hii taarifa ni uzushi tu.
Kwani Rais si ameingia mkataba wa bandari na serikali ya Dubai, badala ya nchi ya Falme za Kiarabu yaani UAE!! Au nasema uongo?Kwani mkataba unaingiwa baina ya nchi ipi na ipi?
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAImetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.
View attachment 2686950.
Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.
View attachment 2686950
Huyo Jaji mkuu ataanzia wapi ilihali kaongezewa muda wa kumalizia kulamba asali aliyoisaza?D P World yawezekana ni watanzania wameamua kupitia mlango wa nyuma ili wapige pesa ndefu.
Kwa kuwa bunge haramu limeupitisha, basi jaji mkuu aunde tume kuchunguza huu mkataba.
Ignorance is the highest order of foolishness .Makosa yepi sasa hapo.
Moreover it doesn’t matter hizo sign hazifanyi hiyo IGA kuwa enforceable kisheria; isipokuwa process ya ratification tu.
Mhe. PROF. MAKAME MNYAA MBARAWA (Mb) Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Akiwa mjini Dodoma, Tzania, kutia saini kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai Kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya maendeleokwahiyo dubai hawakusaini au vipi? tuliingia mkataba na nani sasa?
Hichi ulichoandika [emoji117] Tatizo lenu ni shule tu, hakuna zaidi.[emoji118]Msiwazulie.
Anaitwa Dr .samia PHD holderImetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.
View attachment 2686950.
Huu mkataba ndiyo umthibitisha Serikalini tuna watu wenye upeo na uelewa mdogo kwa kiwango gani!!Ufafànuzi upi zaidi kijana kwani mkataba unasainiwa baina ya nchi zipi?
uvccm ya miaka hii inaundwa na vijana hovyo kabisa. Akili yao muda wote inawaza uteuzi tu kupitia njia ya U CHAWA.Usikute maana UVCCM wote wanafanyaga wanatoka makumbusho kumbe hata gate la kuingili wala lamkutokea hawayajui!
EeeeenHeeeee!Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DPW kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.
View attachment 2686950.
Amesaini na jicho kubwa pamoja na ile miwani yake yenye magnification x 4000 .lakin akasaini ujingaKuna Uzi nimesoma mdau mmoja kasema hii ishu ya bandari ni kikundi kidogo Cha mafisadi wanataka kujimilikisha bandari Kwa njia ya dp world inawezekana ni kweli maana haiwezekani rais wetu anasaini pande zote mbili Kwa kweli nikichekesho
Hata hiyi isiyo na nguvu inafaa kukosewa?
Mmekazana sana na mambo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye huo mkataba kama sehemu ya matatizo.
Pitia article 18 ya ‘VCLT 1969’ hizo signature ndani ya huo mkataba hazina nguvu zozote za kisheria pekee yake, bila ya ratification.
Nguvu ya kisheria kwenye treaty inakuja baada ya ratification ya bunge. Vinginevyo mikataba yote ya baadae terms zake ambazo zipo kwenye treaty azitambuliki mahakamani kama ratification aikufanyika.
Kwanza nchi ingeweza ata ikana hiyo treaty (IGA) yenyewe ata kama raisi mwenyewe angekuwa ndio la sign; provided katika muda huo bunge lilikuwa bado alijaridhia.
Yaani watu mmekezana na upotoshaji badala ya kuwabana hawa watu tujue huko mbele ni kipi hawa wakezaji wanatoa, wanarudisha vipi investment yao na win situation kwetu ina sura gani katika hiyo mikataba. Hayo mambo hawajifikia bado au ndio wanajadiliana kwa sasa nyuma ya pazia.
Lakini wapotoshaji mmekazana na mambo yasiyo ya kichwa wala miguu; kuivuruga serikali matokeo yake tunaweza ata kuwatoa umakini kwenye future negotiations ambazo huko sasa wakiingia kichwa kichwa ndio nchi inaenda tandikwa kweli.
sana tena, uwezo wako ni mkubwa sana, lakini cha ajabu wenye uwezo mdogo ndiyo wanakuongoza!Huu mkataba ndiyo umthibitisha Serikalini tuna watu wenye upeo na uelewa mdogo kwa kiwango gani!!
Hata wanaoushabikia ni wale wenye uelewa suni kama akina Musukuma na Kibajaji.
Yaani mtu anaandaa document ya kusaini Rais lakini ina makosa mengi kupindukia.
Ignorance is the highest order of foolishness .