Maelezo kwa ufupi juu ya clip ikionyesha wanajeshi katili wakiua raia

Hakuna nchi yenye hizo taka taka democracy na free speech kama propaganda ulizo lishwa na vyombo vyao vya habari nawe ukaaamini.

Futa mawazo ya free speech dunia hii ya kibepari, bepari hana huruma na anaye fichua maovu yake.
Huwezi linganisha uhuru wa kuongea uliopo US na North Korea, hapo napo utabisha.
 
Sasa western kwani hayo hawafanyi ?

Wakati Babu zako walikuwa wanachinjwa kama mbuzi sio hao hao western walikuwa wanafanya ?
 

Hii dunia ina unafiki mwingi. Kosa inategemea kalifanya nani.
Marekani hujifanya baba wa kulinda haki lakini akivunja haki yeye au washikaji zake huwa anafumba macho.
Kosa kubwa alilofanya Assange wa Wikileaks ni kuvujisha documents na video za askari wa Kimarekani wakiua raia wasiokuwa na hatia jambo ambalo liliweka wazi uovu mkubwa wa jeshi la Marekani.
Mojawapo ya video ni ile ambayo helcopter ya kimaremani ikishambulia msafara wa harusi na kuua watu na hata baada ya kujua wameua watu wasio na hatia, askari wa kimarekani alisikika akisema these mother fuckers...
Sio video hiyo tu, bado kuna video nyingi ziliomywsha askari wakiua na kudhalilisha wanawake.
Lakini baada ya hizo video kuvuja serikali ya Marekani badala kudeal na askari wake, ilimtamgaza Assange kama mhaini na kuandaa mikakati ya kumkamata.
Hakuna hatua zozote zilizochukuluwa dhidi ya hao askari wake na hata kipindi cha Trump, mahakama ya kimataifa ilipotaka kuchunguza makosa ya kivita ya askari wa Marekani, Marekani ilikataa na kuwatishia maafisa wa mahakama hiyo kuwawekea vikwazo.
Dunia si uwanja wa haki kabisa.
 
Dini no kitu kibaya sana!!

Imani siasa dini madaraka.

So sad!

Ni Bora ccm itawale TU tuwe na amani kuliko wavuruge mambo tuingie huko!

Hai wanaokufa walizaliwa baada ya miezi Tisa tumboni Kuna wanafamilia wanawategemea!!
Hasta hapa Bongo hatujui ni wangapi waliokufa gizani bila kamera kunasa matukio kisa!siasa,imani dini!

Siasa ni imani,Dini,madaraka n.k imani zimeua wengi sana!!
 
Una amani gani sasa wewe hapa bongo ? Unafikiri kuwa tahira na kondoo la CCM la kukubali kila kitu cha kipumbavu ndio amani au ushenzi ? Pumbavu
 
Hii dunia hakuna watu wa hovyo kama waarabu, huwa hawaelewi wanataka nn!
 
Hii clip iliniumiza, na sasa nimeumia zaidi kwa kufahamu kwamba waliouawa hawakuwa na hatia!

Amjad hastahili kuwa hai mpaka hivi sasa, na ingependeza zaidi endapo wangepatikana wote waliotekeleza ukatili huo katika clip.
Maumivu hayo ndio wanayoyapata mnaowazushia ushoga na ufiraji humu JF kwa kutumia fake ID. Nao wana mioyo ya nyama, pia wana ndugu na jamaa wanaowaamini na kuwafuatilia. Acheni kudharirisha watu.πŸ˜πŸ˜†πŸ˜€
 
Ungemuuliza Ben angekuambia. Duniani tunapita, haina maana ya kufanyiana ubaya. Sasa yupo wapi Jiwe? Atakuwa amekutana na Ben Sasa anamuuliza kuhusu Damu yake aliyoimwaga. Wanadamu tunajisahau Sana tukiwa na madaraka na uhai ila kuna siku ya kukutanika njia panda na siku ya hukumu ya Mungu.

Siku hiyo watu wataona aibu na kulia kilio cha hatari tokana na vitu vya hovyo wafanyavyo.
 
Maumivu hayo ndio wanayoyapata mnaowazushia ushoga na ufiraji humu JF kwa kutumia fake ID. Nao wana mioyo ya nyama, pia wana ndugu na jamaa wanaowaamini na kuwafuatilia. Acheni kudharirisha watu.πŸ˜πŸ˜†πŸ˜€
Nakujibu tu kwa staha... tumia akili.
Unataka kufananisha udaku na watu wanaouawa kikatili? Uko timamu kweli?
 
Nakujibu tu kwa staha... tumia akili.
Unataka kufananisha udaku na watu wanaouawa kikatili? Uko timamu kweli?
We hata ukitukana ni sawa ila Maumivu ni yale yale. Kwa nchi za kiafrika bora uuliwe kuliko kusingiziwa u shoga. Fedheha kubwa sana katika jamii. Ebu badilikeni sister. Hamtendei haki wenzenu.
 
Nakujibu tu kwa staha... tumia akili.
Unataka kufananisha udaku na watu wanaouawa kikatili? Uko timamu kweli?
JF watu wana stress sana, mtu anafananisha watu kupigwa risasi na udaku πŸ˜†
 
Ndo iwe kweli hicho tunachokiwaza kuhusu maisha baada ya kifo kiwe kweli na hakimu awepo kweli , isiwe mtu ukifa na biashara imeishia hapo !!
 
Ndo iwe kweli hicho tunachokiwaza kuhusu maisha baada ya kifo kiwe kweli na hakimu awepo kweli , isiwe mtu ukifa na biashara imeishia hapo !!
Kwa muda wangu wa kuishi Duniani, sina mashaka wala wasiwasi wa uwepo wa siku ya Hukumu na maisha baada ya kifo. Sasa mna potoshwa na kudanganywa na yule muovu na mawakala wake ili muamini hakuna hiko kitu. Ile siku ipo bro, ile jioni ipo kaka na ni dhahiri kabisa.
 
huu ni zaidi ya unyama ila huu ukatili unaendana na aliofanyiwa mtanzania mwezetu mollel inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…