Maelezo kwa ufupi juu ya clip ikionyesha wanajeshi katili wakiua raia


Hali inatisha sana.
Lakini tusiwasikitikie sana watu hao, Huenda pengine hata Ben Saanane, Azory Gwanda na watu wengineo wengi waliotekwa na "watu wasiojulikana" waliteswa na kisha kuuawa kwa namna hii hii.
Utawala wa kiimla ni kitu kibaya sana tena ni hatari sana hapa duniani.
Ukisikia mauaji ya halaiki ndio haya.
 
Har

Harafu kuna mtu ananiambia Nijiunge na jeshi?? Over My dead body.

Majeshi ya Duniani yanatumikia Wanasiasa kwa masilahi ya wanasiasa.

Wao wanaambulia Mabulungutu ya Pesa na Starehe tu.
 
Nimeangalia hadi mwisho ila imeniumiza.. haswa anapowaachia waone kama wanaweza kutembea kuendelea mbele then wanaanguka na paap..

Mola ndie atahukumu wa kuhukumiwa, na hivi wanajiweka juu ya wengine maishani.
Mambo yenu hayo inapofika uchaguzi roho huwa zinakuwa kama za hao wanajeshi😆😆
 
Ndo muache kushabikia vita,

Yanayofanyika vitani mengi Huwa hayaripotiwi.

Mungu tuepushe.
 
Ni almost 90% ya nchi zote duniani wanavyo sema vipo na vina fanya kazi kwa siri sana
 
Harafu kuna mtu ananiambia Nijiunge na jeshi?? Over My dead body.

Majeshi ya Duniani yanatumikia Wanasiasa kwa masilahi ya wanasiasa.

Wao wanaambulia Mabulungutu ya Pesa na Starehe tu.
Siyo Majeshi yote hapa duniani yanajihusisha na Uovu mbaya kama huo. Mambo kama haya mara nyingi yanafanyika kwenye nchi ambazo kuna tawala za kidikteta, tawalala zisizostaarabika zinazofuata hasa Siasa za Mrengo wa Ujamaa au Ukomunusti.
Ni nadra sana kukuta mambo kama haya yakifanyika kwenye nchi zenye tawala za Kidemokrasia, tawala zilizostaarabika ambako kuna Mifumo Imara kabisa ya Utawala wa Sheria na Utawala Bora ktk Mfumo wa uendeshaji wa shughuli za Serikali, huwezi kukuta mambo kama haya.
 
Nimesema serikali nyingi mkuu, hususani kwenye hizi serikali za dictatorship.
Udikiteta hauwezi kudumu hata miezi sita bila kufanya mauaji kama hayo.

Kwa kuwa Udikteta haukubaliki sehemu.yoyote duniani kwa hiyo njia pekee ya kuufanua uwepo madarakani ni kwa Kuua, kuteka, na kutesa.

Waliotekwa wote na serikali za namna hii hata wakiachiwa huwa hawasimulii kilichotokea.

That is complete soul damage kwa kadhia na gadhabu unazokutana nazo huko matesoni.

USA Navy Seal wana kitengo cha ku train watesaji na snippers.

Kile kitengo kinafundisha aina mbali mbali za utesaji.

Wanajeshi aliyesajiliwa kitengoni hapo anafundishwa na kubadilishwa nafsi step by step hadi roho yake inakuwa kama ya shetani na pengine zaidi ya shetani.

Taarifa zinasema unabadilishwa nafsi hypinotization kiasi kwamba Mwanakitengo akiambiwa Piga huyo Kisu cha tumbo anapiga tu bila kuuliza Why na hana huruma hata asilimia 1.

Ulimwengu huu unatisha sana nashangaa kwanini Mungu ameuacha uwe hivi.
 
Nimeangalia hadi mwisho ila imeniumiza.. haswa anapowaachia waone kama wanaweza kutembea kuendelea mbele then wanaanguka na paap..

Mola ndie atahukumu wa kuhukumiwa, na hivi wanajiweka juu ya wengine maishani.
Alafu wengi hapo waliyouliwa ni wapalestina refugee

Ova
 
Huyu wakimkamata wamkate vipande vidogo vidogo shz type

Ova
 
Ni almost 90% ya nchi zote duniani wanavyo sema vipo na vina fanya kazi kwa siri sana
Hapana serikali zenye mikono.ya damu zinajulikana tu hasa Africa na Ujamaa kule Ulaya Mashariki na Asia ya kati
 
Dunia inaongozwa na wahalifu walio vaa suti . Kuingia tu madarakani kila mbinu ovu watu wana tumia sembuse sembuse kuua watu ndio liwe jambo la ajabu kwao ?
Kweli.....ukiona tu mtu anavyoingia madarakani kwa uovu mwingi....you can easily predict what is going to happen in future.
 
Vitengo kama hivi hapa kwetu vipo ndiyo. "Watu Wasiojulikana" kazi zao nyingi za kila siku ni kama hizi unazoziona kwenye video hii. Ndio maana wengi wao ( kama siyo wote) hawapendi wajulikane kwenye jamii kwamba wanafanya kazi kama hii. Hao watu unaosikia kwamba wametekwa na "watu wasiojulikana" au maiti zimeokotwa kwenye viroba, wahanga wa matukio hayo wamekuwa wakifanywa kama hivi unavyoona kwenye video hii.
 
Kweli.....ukiona tu mtu anavyoingia madarakani kwa uovu mwingi....you can easily predict what is going to happen in future.
Mitawala ya Afrika ni mijitu ya ajabu sana. Ina akili za kishetani na kiqumer kuliko wanyama wa porini. Mungu atakuja kuyahukumu vibaya kama alivyoyahukumu madikteta mengine kama Bokasa na Idi Amin dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…