Maelezo ya Polisi kuhusu Panya Road hayaeleweki. Kwanini wanaua na siyo kukamata? Je, ni yale yale ya akina Zombe yanajirudia?

Maelezo ya Polisi kuhusu Panya Road hayaeleweki. Kwanini wanaua na siyo kukamata? Je, ni yale yale ya akina Zombe yanajirudia?

Kama wanaouawa ni panyaroad, ni sawa tu, maana wanapokea sawasawana matendo yao.

Fikiria familia zile zilizopoteza ndugu zao wasio na hatia. Fikiria waliojeruhiwa bila hatia.

Kama una ndugu yako ana mwelekeo wa upanyaroad, mkanye mapema sana.
 
Ni mara nyingi sana inatokea kuona polisi wetu wakisimama kwenye podium kuzungumza na waandishi wa habari, wanachozungumza mara nyingi ni "watuhumiwa walipigwa risasi na wakafa wakikimbizwa hospitali" Wakati huo huo hakuna ushahidi wa polisi kushambuliana na hao wanaowaita wahalifu, wananchi hawaoni na kuhakikisha kuwa kulikuwa na milio ya risasi.

Miaka ya nyuma, Zombe na wenzake walileta hadithi inayofanana na haya yanayoendelea....Kirahisi rahisi wafanyabiashara wakauawa, huku wakisingiziwa ni majambazi, hadi tume ilivyoundwa ikathibitisha kuwa wale ni wafanyabiashara waliopelekwa Mabwe pande na kuuliwa huko.

Sasa haya leo yameshamiri, polisi wanatatua matatizo yao kwa kuua, kwa nini wasiwashike? Kweli kuna asiye na akili akataka kupigana na panga na polisi walio na silaha kali? Katika kipindi cha wiki 3, watu/wananchi 19 wameshapoteza maisha mikononi mwa polisi. Maelezo yao polisi wetu hayaeleweki. Yaani ya kuunga unga tu!

Nani leo hii atawaamini polisi wanaoua watu wasio na makosa? Kwanini wasiwakamate washukiwa wa ujambazi ili waweze kuwataja wauaji wengine? Na mbona hawaonyeshi sehemu kulipokuwepo hayo mapambano? Wanaonyesha mapanga yenye damu (Polisi wanajua ukweli kuwa wanadanganya)

Polisi wetu hamna credibility, mnaua, mnatesa na kuumiza wananchi wasio na hatia. Hakuna anayewaamini kwa matendo yenu.
Sawa mtetezi wa panyarodi
 
Tatizo siyo panya road, tatizo ni je hao waliouawa ni panya road? Na ni wapi walipouawa, na hizo risasi zilipigwa wapi, mbona wananchi hawakuzisikia? Tuambiane ukweli tu, maana watu wanapotea ovyo na magari yao hayaonekani, mashuhuda wanatuambia wananchi walisimamishwa na polisi kabla ya kupotea. Hatuwaamini polisi....Mtuambie hao panya road walikuwa wapi mkawaua, sikatai kama ni kweli hawastahili kuishi, lakini tuambieni ukweli polisi wetu.
 
Panga kwa AK-47 wapi kwa wapi, hata mhalifu anaogopa hizo bunduki. Polisi wetu tuonyesheni mahali mlipowaua hao panya road au mlipopambana nao....Maana wananchi hawakuwaona. Je kama ni usiku mtuambia ilikuwa saa ngapi na kama mlipiga risasi juu, mbona majirani hawakusikia. Polisi...polisi....polisi.
Kama unaona hakuna haja ya kutumia bunduki kwa panga, hao raia wanaovamiwa unadhani hawana hayo mapanga?? Hawajui kutumia mapanga??

Kama raia wanayo mapanga na wanajua kuyatumia mbona wameshindwa kuwadhibiti Hao vijana?

Unataka mtu anayeua ashughulikiwe kwa fimbo sio???

Nenda wewe sasa kapambane nao kwa panga na fimbo huku ukipiga kelele wananchi wakusikie alafu usisahau nakavideo uje kutuonesha, Polisi na bunduki zao wakae pembeni.

Wakiachwa mnapiga kelele, wakishughulikiwa mnapiga kelele.
 
Ni mara nyingi sana inatokea kuona polisi wetu wakisimama kwenye podium kuzungumza na waandishi wa habari, wanachozungumza mara nyingi ni "watuhumiwa walipigwa risasi na wakafa wakikimbizwa hospitali" Wakati huo huo hakuna ushahidi wa polisi kushambuliana na hao wanaowaita wahalifu, wananchi hawaoni na kuhakikisha kuwa kulikuwa na milio ya risasi.

Miaka ya nyuma, Zombe na wenzake walileta hadithi inayofanana na haya yanayoendelea....Kirahisi rahisi wafanyabiashara wakauawa, huku wakisingiziwa ni majambazi, hadi tume ilivyoundwa ikathibitisha kuwa wale ni wafanyabiashara waliopelekwa Mabwe pande na kuuliwa huko.

Sasa haya leo yameshamiri, polisi wanatatua matatizo yao kwa kuua, kwa nini wasiwashike? Kweli kuna asiye na akili akataka kupigana na panga na polisi walio na silaha kali? Katika kipindi cha wiki 3, watu/wananchi 19 wameshapoteza maisha mikononi mwa polisi. Maelezo yao polisi wetu hayaeleweki. Yaani ya kuunga unga tu!

Nani leo hii atawaamini polisi wanaoua watu wasio na makosa? Kwanini wasiwakamate washukiwa wa ujambazi ili waweze kuwataja wauaji wengine? Na mbona hawaonyeshi sehemu kulipokuwepo hayo mapambano? Wanaonyesha mapanga yenye damu (Polisi wanajua ukweli kuwa wanadanganya)

Polisi wetu hamna credibility, mnaua, mnatesa na kuumiza wananchi wasio na hatia. Hakuna anayewaamini kwa matendo yenu.
Pongezi kwa jeshi letu la police Safi Sana uweni wote na ww pia inaonekana ni mfuasi wa panya road unastahili pu pu puuu
 
Kama wanaouawa ni panyaroad, ni sawa tu, maana wanapokea sawasawana matendo yao.

Fikiria familia zile zilizopoteza ndugu zao wasio na hatia. Fikiria waliojeruhiwa bila hatia.

Kama una ndugu yako ana mwelekeo wa upanyaroad, mkanye mapema sana.
Jaribu uwakamate wewe. We unafaidika nao tunakujua. Subiri wakukamate wewe ili uwape ushirikiano
ushirikiano
 
Panga kwa AK-47 wapi kwa wapi, hata mhalifu anaogopa hizo bunduki. Polisi wetu tuonyesheni mahali mlipowaua hao panya road au mlipopambana nao....Maana wananchi hawakuwaona. Je kama ni usiku mtuambia ilikuwa saa ngapi na kama mlipiga risasi juu, mbona majirani hawakusikia. Polisi...polisi....polisi.
Mkuu, na mimi shaka yangu ipo hapo. Je, waliwauwa walipowakamatia, au walienda kuwauwia sehemu nyingine? Isije kuwa hiyo kamata wanaijua wao polisi pekee!
 
Halafu yanatokea mapumbavu yanawatetea Tena hao vibaka na wauaji
Itoshe kusema una kichwa kigumu mno, nani katetea panya rodi? watu wanataka kujua hao wanaouawa ni panya rodi kweli? waliwakuta mtaa upi wakawaua? iweje walishindwa kuwakamata siku zote na intelijensia yao hadi walivyoua ndio wawakamate na kuwaua? hata mi nafurahi kusikia panya rodi wameuawa
 
Ni mara nyingi sana inatokea kuona polisi wetu wakisimama kwenye podium kuzungumza na waandishi wa habari, wanachozungumza mara nyingi ni "watuhumiwa walipigwa risasi na wakafa wakikimbizwa hospitali" Wakati huo huo hakuna ushahidi wa polisi kushambuliana na hao wanaowaita wahalifu, wananchi hawaoni na kuhakikisha kuwa kulikuwa na milio ya risasi.

Miaka ya nyuma, Zombe na wenzake walileta hadithi inayofanana na haya yanayoendelea....Kirahisi rahisi wafanyabiashara wakauawa, huku wakisingiziwa ni majambazi, hadi tume ilivyoundwa ikathibitisha kuwa wale ni wafanyabiashara waliopelekwa Mabwe pande na kuuliwa huko.

Sasa haya leo yameshamiri, polisi wanatatua matatizo yao kwa kuua, kwa nini wasiwashike? Kweli kuna asiye na akili akataka kupigana na panga na polisi walio na silaha kali? Katika kipindi cha wiki 3, watu/wananchi 19 wameshapoteza maisha mikononi mwa polisi. Maelezo yao polisi wetu hayaeleweki. Yaani ya kuunga unga tu!

Nani leo hii atawaamini polisi wanaoua watu wasio na makosa? Kwanini wasiwakamate washukiwa wa ujambazi ili waweze kuwataja wauaji wengine? Na mbona hawaonyeshi sehemu kulipokuwepo hayo mapambano? Wanaonyesha mapanga yenye damu (Polisi wanajua ukweli kuwa wanadanganya)

Polisi wetu hamna credibility, mnaua, mnatesa na kuumiza wananchi wasio na hatia. Hakuna anayewaamini kwa matendo yenu.
Vitendo vya polisi vijadiliwe na kupimwa kwa kulingana na PGO yao hapo tutawaweza lakini mkiwa mnawakosoa kwa kutumia harakati za kisisa hamuwawezi kamwe maana wana mbinu nyingi ijapokuwa sio zote zinaingia akilini.

PGO is the only guidance that should always be referred to whenever criticizing some misbehaviors. that inflicts the public. welfare.
 

Suala la muda mazee hao wanaowauwa sio wenyewe halisi wale sio wazembe kias iko pnya halisi huuwAwa na wa2 maana ndo 2naish nao , uhalif wa baadae unaweza zidi wa uko south ,suluhisho vijana wapewe mitaj na kujaliwa
 
Itoshe kusema una kichwa kigumu mno, nani katetea panya rodi? watu wanataka kujua hao wanaouawa ni panya rodi kweli? waliwakuta mtaa upi wakawaua? iweje walishindwa kuwakamata siku zote na intelijensia yao hadi walivyoua ndio wawakamate na kuwaua? hata mi nafurahi kusikia panya rodi wameuawa
Okay vizur,Sasa Kama unataka kujua maelezo yote hayo nenda pale central polisi, au pale makao makuu ya polisi ,

Utapewa maelezo yote,maana ni haki yako kikatiba huwezi kunyimwa kupewa maelezo ya operation zote kuhusu hao panyalodi , wenzio Jana wameenda wamepewa maelezo na yamewatosheleza vizuri kabisa
 
Bahati mbaya sana hatujuagi tunataka nn.

Hao vibaka wanajulikana mitaani ila kuwatia hatiani kwa ushahidi wa matukio wanayofanya ni vigumu, mara nyingi wanakamatwa ushahidi unakosekana wanaachiwa.

Mtindo huu umesababisha maeneo kama Igogo Mwanza kuwa hatarishi kwa sababu watuhumiwa wanajulikana ila hakuna ushahidi wanaachiwa wanaendelea kufanya uporaji.

Wewe unajijua sio mualifu upo kwenye magenge ya kihalifu na uvutaji bangi unatafuta nn???

Unajua huna hatia unaombwa kujisalimisha unakimbia ili iweje???

Kama mzazi ameshindwa kumdhibiti mwanae wacha achezee risasi

Polisi waongeze kidogo, speed waliyonayo bado ni ndogo sana
Tatizo Kuna comments humu ni za panya road wenyewe na wazazi wao wanaonufaika na huu uporaji. Kwahiyo lazima walalamike tuu.
Nakubaliana na wewe hawa wauawe tuu hadi waishe au waache.
 
Panga kwa AK-47 wapi kwa wapi, hata mhalifu anaogopa hizo bunduki. Polisi wetu tuonyesheni mahali mlipowaua hao panya road au mlipopambana nao....Maana wananchi hawakuwaona. Je kama ni usiku mtuambia ilikuwa saa ngapi na kama mlipiga risasi juu, mbona majirani hawakusikia. Polisi...polisi....polisi.
Narudia Tena humu Kuna comments za panya roads na wazazi wanaonufaika na huu uporaji. Watawatetea tuu.
 
Back
Top Bottom