Maelezo ya Polisi kuhusu Panya Road hayaeleweki. Kwanini wanaua na siyo kukamata? Je, ni yale yale ya akina Zombe yanajirudia?

Maelezo ya Polisi kuhusu Panya Road hayaeleweki. Kwanini wanaua na siyo kukamata? Je, ni yale yale ya akina Zombe yanajirudia?

Salama na usalama wa hao panya Road Ni kuacha kazi hiyo, Nje ya hapo watateketezwa wote, Kama wewe Ni mfadhili wao na wewe pia utasakwa na kuwajibishwa, watu wasio na Hatia hawawezi wakauawa, wakajeruhiwa, wakaporwa Mali zao halafu wabaki tu wanatambua mitaani, lazima wapitishwe katika tanuri la Moto na majuto, lazima wapitishwe katika njia ngumu, lazima waonyeshwe kwamba serikali IPO na haijawahi kulala na hawawezi kuishinda serikali hii ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani,
 
chuma ndiyo lugha pekee panya road wanayoielewa

safi sana jeshi la polisi
Mleta mada pengine hajawahi kuishi nyumbani kwake na panya . ni ngumu mno kumkamata panya akiwa hai . Mara nyingi inalazimika itumike sumu kuwaua but still hawaishi . Hao wahuni walipoamua kutumia title ya panya road walimaanisha .
 
Ni mara nyingi sana inatokea kuona polisi wetu wakisimama kwenye podium kuzungumza na waandishi wa habari, wanachozungumza mara nyingi ni "watuhumiwa walipigwa risasi na wakafa wakikimbizwa hospitali" Wakati huo huo hakuna ushahidi wa polisi kushambuliana na hao wanaowaita wahalifu, wananchi hawaoni na kuhakikisha kuwa kulikuwa na milio ya risasi.

Miaka ya nyuma, Zombe na wenzake walileta hadithi inayofanana na haya yanayoendelea....Kirahisi rahisi wafanyabiashara wakauawa, huku wakisingiziwa ni majambazi, hadi tume ilivyoundwa ikathibitisha kuwa wale ni wafanyabiashara waliopelekwa Mabwe pande na kuuliwa huko.

Sasa haya leo yameshamiri, polisi wanatatua matatizo yao kwa kuua, kwa nini wasiwashike? Kweli kuna asiye na akili akataka kupigana na panga na polisi walio na silaha kali? Katika kipindi cha wiki 3, watu/wananchi 19 wameshapoteza maisha mikononi mwa polisi. Maelezo yao polisi wetu hayaeleweki. Yaani ya kuunga unga tu!

Nani leo hii atawaamini polisi wanaoua watu wasio na makosa? Kwanini wasiwakamate washukiwa wa ujambazi ili waweze kuwataja wauaji wengine? Na mbona hawaonyeshi sehemu kulipokuwepo hayo mapambano? Wanaonyesha mapanga yenye damu (Polisi wanajua ukweli kuwa wanadanganya)

Polisi wetu hamna credibility, mnaua, mnatesa na kuumiza wananchi wasio na hatia. Hakuna anayewaamini kwa matendo yenu.
Ndugu yangu yangu usiombe ukakakutana na hawa watu,wanaoitwa panya Road,watoto wa iblisi,na wengineo kama wao,utatamani ardhi ikumeze,hawana huruma kabisa,wala hawajali,kukupiga mapanga,visu,bisibisi.Usiombe kabisa.
 
Ni mara nyingi sana inatokea kuona polisi wetu wakisimama kwenye podium kuzungumza na waandishi wa habari, wanachozungumza mara nyingi ni "watuhumiwa walipigwa risasi na wakafa wakikimbizwa hospitali" Wakati huo huo hakuna ushahidi wa polisi kushambuliana na hao wanaowaita wahalifu, wananchi hawaoni na kuhakikisha kuwa kulikuwa na milio ya risasi.

Miaka ya nyuma, Zombe na wenzake walileta hadithi inayofanana na haya yanayoendelea....Kirahisi rahisi wafanyabiashara wakauawa, huku wakisingiziwa ni majambazi, hadi tume ilivyoundwa ikathibitisha kuwa wale ni wafanyabiashara waliopelekwa Mabwe pande na kuuliwa huko.

Sasa haya leo yameshamiri, polisi wanatatua matatizo yao kwa kuua, kwa nini wasiwashike? Kweli kuna asiye na akili akataka kupigana na panga na polisi walio na silaha kali? Katika kipindi cha wiki 3, watu/wananchi 19 wameshapoteza maisha mikononi mwa polisi. Maelezo yao polisi wetu hayaeleweki. Yaani ya kuunga unga tu!

Nani leo hii atawaamini polisi wanaoua watu wasio na makosa? Kwanini wasiwakamate washukiwa wa ujambazi ili waweze kuwataja wauaji wengine? Na mbona hawaonyeshi sehemu kulipokuwepo hayo mapambano? Wanaonyesha mapanga yenye damu (Polisi wanajua ukweli kuwa wanadanganya)

Polisi wetu hamna credibility, mnaua, mnatesa na kuumiza wananchi wasio na hatia. Hakuna anayewaamini kwa matendo yenu.

Panya road wanapoua na kuwatia watu umaskini huleti uzi hapa kulalamika. Sasa wanakamatwa na kuuawa kama wanavyoua ndugu zetu , Tena wakiwa nao tayari kuua Askari watu wewe unaleta hadithi za kufikirika na kudhania. Embu waambie hao Vijana wako watulie.
 
Wewe mbona unawapa Sumu Panya Buku wa nyumbani kwako ili wafe na unafurahi kwanini hao Panya Road wasiuwawe
Mkuu una maana hao panya buku angewapeleka mahakamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Polisi siku hizi wanayafanyia kazi matamko ya wanasiasa kisiasa, wanaona dawa pekee ya kuwaridhisha wananchi dhidi ya panyarodi ni kutangaza wamewaua, sheria kwa sasa ziko kapuni.

Ajabu, sitashangaa hao wanasiasa wakianza kujitokeza na kulaani vitendo vya polisi, hapo ndipo akili zitawarudia polisi waanze tena kufanya kazi zao kiweledi.
Hii ni vita mzee, kati ya wananchi na panya road, utatumia diplomasia kwa adui ambaye akikuwahi yeye anakuua?
 
Sheria haiwezi
ohhh.png
 
Polisi wanawajua wote, sema bado walikua hawajapewa go ahead...
 
Ni mara nyingi sana inatokea kuona polisi wetu wakisimama kwenye podium kuzungumza na waandishi wa habari, wanachozungumza mara nyingi ni "watuhumiwa walipigwa risasi na wakafa wakikimbizwa hospitali" Wakati huo huo hakuna ushahidi wa polisi kushambuliana na hao wanaowaita wahalifu, wananchi hawaoni na kuhakikisha kuwa kulikuwa na milio ya risasi.

Miaka ya nyuma, Zombe na wenzake walileta hadithi inayofanana na haya yanayoendelea....Kirahisi rahisi wafanyabiashara wakauawa, huku wakisingiziwa ni majambazi, hadi tume ilivyoundwa ikathibitisha kuwa wale ni wafanyabiashara waliopelekwa Mabwe pande na kuuliwa huko.

Sasa haya leo yameshamiri, polisi wanatatua matatizo yao kwa kuua, kwa nini wasiwashike? Kweli kuna asiye na akili akataka kupigana na panga na polisi walio na silaha kali? Katika kipindi cha wiki 3, watu/wananchi 19 wameshapoteza maisha mikononi mwa polisi. Maelezo yao polisi wetu hayaeleweki. Yaani ya kuunga unga tu!

Nani leo hii atawaamini polisi wanaoua watu wasio na makosa? Kwanini wasiwakamate washukiwa wa ujambazi ili waweze kuwataja wauaji wengine? Na mbona hawaonyeshi sehemu kulipokuwepo hayo mapambano? Wanaonyesha mapanga yenye damu (Polisi wanajua ukweli kuwa wanadanganya)

Polisi wetu hamna credibility, mnaua, mnatesa na kuumiza wananchi wasio na hatia. Hakuna anayewaamini kwa matendo yenu.

Utawakamata wote kama wanatinua mbio na una cha moto? Dawa yao ni kufyekwa, ndiyo kazi ya silaha!
 
Hii inaitwa impunity

Hawa ndio polisi wetu!.

Naunga mkono hoja

True

Ila pia hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kwa polisi wauaji hawa!. Karma haitawaacha salama, ubaya wa karma inawatandika kuanzia aliyewatuma hadi anayepaswa kuchukua hatua lakini hakuchukua!.

Mfano zile pyu pyu za Lissu, si zimepangwa na kutekelezwa na watu wasiojulikana, lakini karma yake ni usipime!. Tumewashuhudia...
naomba nisimalizie...
P

Wanabodi,

Wewe kama mwana JF, unapata an added advantage to be the first to know, ambapo leo katika tukio la maboresho ya jeshi la polisi, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ametoa kauli kwa kutumia fasihi, ambapo ameliamuru jeshi la polisi, kukabiliana na majambazi wenye silaha kwa "kuwanyang'anya silaha kwa haraka haraka" ambapo polisi wameruhusiwa kutumia mbinu za medani, (kivita) (MM) ambazo hutumiwa na majeshi wakati wa vita, ambapo kazi huwa ni moja tuu, kumteketeza adui!.

Amri hiyo kwa Jeshi la Polisi, inamaanisha, Polisi hawahitaji tena kuwakamata majambazi wanaotumia silaha, bali kukabiliana nao kwa kuwaua papo kwa papo, na polisi wataofanya mauaji hayo ya kuwauwa majambazi hayo papo kwa papo bila kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria, hawatafikishwa tena mahakamani, kama zamani, bali sasa watapandishwa vyeo!.

Tanzania ni nchi ya kidemokasia inayofuata katiba yenye kuzingatia misingi ya haki na utawala wa sheria!, amri kuu ya kwanza ya haki, ni "no one is condemned unheard", yaani hakuna mtu atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Amri hii ya rais, imewapa mamlaka polisi, sio tena kuchunguza, kukamata na kuwapeleka majambazi wanaotumia silaha, mbele ya vyombo vya sheria ili sheria ifuate mkondo wake, bali sasa polisi hawana tena haja ya kukamata na kufanya uchunguzi, bali kukitokea tuu tukio la uhalifu wa kutumia silaha, polisi wamepewa mamlaka kuwa ni wachunguzi, prosecutors, mahakimu tena kwa kutoa "capital punishment", na hakuna tena haja ya kumsubiri rais kuzisaini hizo hati za capital punishment, bali, wao wenyewe kutumia MM, kuitekeleza adhabu ya kifo, na baada ya hapo kusubiria kupandishwa vyeo!.

Jumamosi Njema.

Paskali
Rejea.
Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know ...
IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality
Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa .
Simshangai Pasco wa JF tu; hapana, nawashangaa waandishi wote wa ..

Hili la polisi kuua panya road, Maelezo ya Polisi kuhusu Panya Road hayaeleweki. Kwanini wanaua na siyo kukamata? Je, ni yale yale ya akina Zombe yanajirudia?
watu wanapiga kelele utadhani haya mauaji ya polisi with impunity hawa polisi ndio wameanza leo!, hawakuanza leo, huu sio mwanzo, na wala huu sio mwisho unless something is done kuzifuta amri batil al-halal kama hii ya kwenye bandiko hili Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
P.
 
Ukiacha FUTUHI za Polisi za Kuua Panya road ila kiukweli dawa ya kuwaangamiza panya road na majambazi ni "KUWAPA VYUMA WALE" ila wawe panya road na majambazi kweli na isiwe hasira za kugombea mademu tu na kuleta FUTUHI eti kajinyonga na "TAMBALA LA DEKI".

Naungana na wewe 100% Kama Polisi Kupitia Intelijinsia yao Wakajiridhisha Kuwatambua Oanya Road,Ni Kuwaua tuu,Hii ya Eti kuwakamata na Kuwafungulia Kesi haina Mashiko,Watatumia Kodi zetu bure na Kuzaja Magereza Tuu!
Kama Wanajiridhisha Kupitia Intelijinsia zao eg.Taarifa za Mabalozi wa Mtaa,Serikali za Mitaa na wao wenyewe Kuwajua No longway Wachezee chuma Tuu!
 
Back
Top Bottom