Wenje ameelezea hilo kwamba ni kawaida duniani kote kutumia watu maarafu au walio karibu na viongozi kushawishi kukwamua mambo yanapokwama, japo hili kweli ni tatizo la kimfumo lakini sio rushwa kama inavyoelezwa na Lissu kwa maana ya "pesa za Abdul".Kumtumia mtoto wa rais kwenye jambo lililopo kisheria ni hongo. Abdul alikwenda kuhonga ndo maana akakubali ata kwenda nyumbani wa lissu, Angekuwa ni kumsaidia tu angesema ukipona niletee au angetuma kijana dreva wake kwenda kuchukua hizo documents.
Kama vile hajamkataa hivi.Mtu sahihi kwa wakati usio sahihi, maana yake hakuna mtu hapo. Au siyo? Mbona umeandika kifalsafa na kiusanifu sana, mkuu?
Wewe ulivyofikiria Kweli unaona ni kawaida?Wenje ameelezea hilo kwamba ni kawaida duniani kote kutumia watu maarafu au walio karibu na viongozi kushawishi kukwamua mambo yanapokwama, japo hili kweli ni tatizo la kimfumo lakini sio rushwa kama inavyoelezwa na Lissu.
Hili ni tatizo kutokana na mfumo dhaifu wa utendaji haki nchini na urasimu uliopitiliza, hii ndio inapelekea watu kujaribu kutumia "watu wanaowajua watu" lakini pia kwa maelezo ya Wenje Lissu alikuwa pamoja akitoa ushirikiano katika mchakato wote huo wa kumtumia Abdul kushawishi serikali imlipe madai yake halali.Wenje anadai walimpelekea document abdul ili averify?
Abdul anaverify malipo ya serikali? Abdul anacheo gani serikalini?
Huwa namfananisha na Kikwete, hawa ni wanasiasa na wanaifahamu siasa! Lisu ni mwanaharakati siyo mwanasiasa na hataki kujifunza siasa coz haipo damuni kama uhanarakati! Hana tofauti na marehemu Magufuli!Mbowe ni genius
Dunia gani hiyo wewe unaishi, kuna kesi nyingi watoto wa queen uingereza wameingia matatizo kama hayo .Wahongaji walikuwa wanapitia kwao ila wazungu hawana ushenzi kama huo kwenye hongo. Abdul alijua njia ya kumpata lissu ni kupitia shida yake ya pesa......Hilo tatizo la lissu yalikuwa mazingira tu ya namna ya kumpata....Ndo maana watu wanatekwa...hapo angeweza ata kumteka, kingine ni kwamba lissu aliona usalama wake ni mkubwa nyumbani kuliko kwenda uko hotelini.....huyo Wenje muongoWenje ameelezea hilo kwamba ni kawaida duniani kote kutumia watu maarafu au walio karibu na viongozi kushawishi kukwamua mambo yanapokwama, japo hili kweli ni tatizo la kimfumo lakini sio rushwa kama inavyoelezwa na Lissu.
Sahihi kabisa.Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.
Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!
Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Labda ni Waziri asiye na wizara, anayeshughulika na maridhiano baina ya chama tawala na upinzani? 🙂 🙂 🙂Wenje anadai walimpelekea document abdul ili averify?
Abdul anaverify malipo ya serikali? Abdul anacheo gani serikalini?
Kuna usahihi kwa kiasi kikubwa.Huwa namfananisha na Kikwete, hawa ni wanasiasa na wanaifahamu siasa! Lisu ni mwanaharakati siyo mwanasiasa na hataki kujifunza siasa coz haipo damuni kama uhanarakati! Hana tofauti na marehemu Magufuli!
Team Mbowe ni wajinga na hawana hoja mkuu, wazoee tu hakuna namna!.Umeshindwa hata kuandika muhtasari wa maelezo yake, japo kwa sentensi moja au mbili? Uandishi wako mbona wa mhemko sana?
Tutajadilije hapo sasa?
Wenje kajikanyaga kanyaga ovyo ovyo tu hajaeleza kile kinachodaiwaNimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.
Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!
Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Maelezo ya Lissu kama nimemuelewa vizuri ni haya:Hili ni tatizo kutokana na mfumo dhaifu wa utendaji haki nchini na urasimu uliopitiliza, hii ndio inapelekea watu kujaribu kutumia "watu wanaowajua watu" lakini pia kwa maelezo ya Wenje Lissu alikuwa pamoja akitoa ushirikiano katika mchakato wote huo wa kumtumia Abdul kushawishi serikali imlipe madai yake halali.
Pia na sisi tumemtazama na kumsikiliza vyema....Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.
Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!
Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Ropo ropo sidhani kama zinakutosha unaweza mchagua huyo Jamaa.Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.
Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!
Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Nipe mfano wa kesi moja ya hao watoto wa malkia huko Uingereza kama lilivyokuwa suala la Wenje, Abdul na Lissu ikawasabishia hao watoto wa malkia kuingia katika matatizo.Dunia gani hiyo wewe unaishi, kuna kesi nyingi watoto wa queen uingereza wameingia matatizo kama hayo .Wahongaji walikuwa wanapitia kwao ila wazungu hawana ushenzi kama huo kwenye hongo. Abdul alijua njia ya kumpata lissu ni kupitia shida yake ya pesa......Hilo tatizo la lissu yalikuwa mazingira tu ya namna ya kumpata....Ndo maana watu wanatekwa...hapo angeweza ata kumteka, kingine ni kwamba lissu aliona usalama wake ni mkubwa nyumbani kuliko kwenda uko hotelini.....huyo Wenje muongo
Abdul aliwahi kuongoza ujumbe wa serekali Uganda.Wenje ameelezea hilo kwamba ni kawaida duniani kote kutumia watu maarafu au walio karibu na viongozi kushawishi kukwamua mambo yanapokwama, japo hili kweli ni tatizo la kimfumo lakini sio rushwa kama inavyoelezwa na Lissu.
Well said ndugu...Maelezo ya Lissu kama nimemuelewa vizuri ni haya:
1. Wenje aliongozana na Abdul kwenda nyumbani. Sijui kama alikuwa tayari na appointment na Wenje au la.
2. Alipofika Wenje akamtambulisha Abdul ambae Lissu alikuwa hamjui.
3. Wenje au Abdul wakamwambia Lissu kuna zawadi yake kama atapunguza makali dhidi ya serikali.
4. Ili kuthibitisha kuwa wana nia njema wakamtajia wengine ambao wamepewa zawadi. Ingawa haijasemwa lakini katika hao waliotajwa ni lazima Boss wake Lissu alikuwemo pamoja na wengine.
5. Lissu akawafurumusha na kuwaambia kuwa haongeki.
Inaelekea pia Lissu alishtaki kwa Boss wake lakini kwa mshangao akaona hamna hatua iliyochukuliwa dhidi ya Wenje. Ndio akajua kuwa kweli kuna wakubwa nyuma ya Wenje. Kwa vile alitoa hizo shutma kwenye Kamati Kuu ya chama chake kuna wenzake ambao nao walianza kukosa imani na uongozi wa chama. Halafu, hamadi, huyo huyo Wenje mtoa rushwa anatangaza nia ya kugombea nafasi ambayo Lissu ameishika. Lissu kwa kutambua kuwa Wenje ni mtu wa Boss na kujua uwezo wa Boss wa kucheza foul akajua kuwa kibarua chake kitaota nyasi. Ndio maana akaamua kushambulia nafasi ya Boss kwa sababu alijua hilo hawatalitegemea na attack is the best form of defence. Ndio maana tumefika hapa tulipo.
Amandla...