Maelfu Iran waendelea kuamsha popo, maandamano yako pale pale licha ya serikali kuwaua kisa dini

Maelfu Iran waendelea kuamsha popo, maandamano yako pale pale licha ya serikali kuwaua kisa dini

Uzuri quran yenyewe inajibu mashambulizi yote kutoka kwa watu walioamua kuzusha maneno kwa malengo yao, haya jibu lako hili hapa.

Hawa wanaoelezwa hapa ni watu waovu huko siku ya hesabu watakapokuwa wanasimamishiwa hukmu, basi malaika wataulizwa juu yao watajibu kama inavyoonekana hapo kwenye picha.
View attachment 2419849
View attachment 2419850
Siku nyingine jipange kwa hoja nzito mkuu itakusaidia kuliko kuvamia vamia mada kisa unajua kuchomoa mistari huko kwenye simu yako ya mchongo.

Quran sio lambert.
HATUDANGANYIKI QURAN NI KITABU CHA UJANJA UJANJA SANA. NDO MAANA HATA INASEMA KATIKA KUSHAWISHI MTU AWE MUISLAMU UNARUHUSIWA HATA KUDANGANYA.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-11-17-22-28-35-235_com.facebook.katana~2.jpg
    Screenshot_2022-11-17-22-28-35-235_com.facebook.katana~2.jpg
    44.9 KB · Views: 3
Halafu nahisi kuna kitu umetumia usiku huu, unamtofautishaje shetani na majini? yaani ni kama useme ninyi mnawaabudu twiga kwasababu twiga ni watumishi wa giraffe.

Uko sawa kweli mkuu?.

Kwa kukusaidia shetani ni neno la kiarabu sio kizaramo hicho na kwa kiarabu inaandikwa hivi شيطان sasa ulitaka tusome vipi? kama huna hoja mimi sina muda wa kupoteza mkuu, nakutakia wakati mwema.
Na ndiyo maana hata muhamad mwenyewe alikiri kuwa hajuwi atatendewa nini siku ya hukumu. Na wanaomfuata hajuwi watatendewa nini siku ya hukumu. Yaani unamfuata mtu ambaye hajui anaenda wapi.

muhammad atawakana wale wote wanaomwamini na kumfuata kwa sababu yeye mwenyewe anasema wazi katika

sura Al-Ahqaf 46:9,
... na wala mimi sifahamu kile nitakachotendewa wala kile ninyi mtakachotendewa. Mimi nafuata tu kile ninachofunuliwa.

Swali ni kwamba, je, kama mtu mwenyewe anakiri kuwa hajui hatima yake wala hatima ya wale wanaomfuata, je, kama ni kweli Mungu wa mbinguni ndiye aliyempatia quran, je, angekaa kimya kweli juu ya suala la HATIMA za wanadamu? Yaani jibu la mtu atakuwa wapi MILELE lingeachwa hewani tu hivihivi? Na kama Muhammad hajui hili na bado anataka watu wamfuate, je, ni hilohilo tu asilolijua au yapo na mengine asiyoyajua? Bila shaka hii inaashiria kuwa yako mengi asiyoyajua.
 
Kazakh destroyer then tutakuja jadili tabia ambazo muhamad alikuwa nazo ikiwa ni pamoja na
1. Uporaji
2. Ubakaji
3. Uben ten
4. Uongo
5. Kuwa na mapepo/majini
6. Ulaghai
Haya yote nitatoa vifungu katika Quran sitosingizia hata kidogo.
 
Na ndiyo maana hata muhamad mwenyewe alikiri kuwa hajuwi atatendewa nini siku ya hukumu. Na wanaomfuata hajuwi watatendewa nini siku ya hukumu. Yaani unamfuata mtu ambaye hajui anaenda wapi.

muhammad atawakana wale wote wanaomwamini na kumfuata kwa sababu yeye mwenyewe anasema wazi katika

sura Al-Ahqaf 46:9,
... na wala mimi sifahamu kile nitakachotendewa wala kile ninyi mtakachotendewa. Mimi nafuata tu kile ninachofunuliwa.

Swali ni kwamba, je, kama mtu mwenyewe anakiri kuwa hajui hatima yake wala hatima ya wale wanaomfuata, je, kama ni kweli Mungu wa mbinguni ndiye aliyempatia quran, je, angekaa kimya kweli juu ya suala la HATIMA za wanadamu? Yaani jibu la mtu atakuwa wapi MILELE lingeachwa hewani tu hivihivi? Na kama Muhammad hajui hili na bado anataka watu wamfuate, je, ni hilohilo tu asilolijua au yapo na mengine asiyoyajua? Bila shaka hii inaashiria kuwa yako mengi asiyoyajua.
Nimekubali kushindwa, maana nikiendelea hapa nitasababisha matusi zaidi.Naweka nukta kwenye huu uzi rasmi.
 
Kazakh destroyer then tutakuja jadili tabia ambazo muhamad alikuwa nazo ikiwa ni pamoja na
1. Uporaji
2. Ubakaji
3. Uben ten
4. Uongo
5. Kuwa na mapepo/majini
6. Ulaghai
Haya yote nitatoa vifungu katika Quran sitosingizia hata kidogo.
Ukithubutu kuongea haya uliyo andika, hata kama utatoa ushahidi kwenye Qurani yao, katika nchi ya kiislamu au katika jamii ya kiislamu jibu utakalolipata ni kuuliwa.

Hutapata muda wa kuonesha ushahidi kabisa.
Wala kuomba msamaha.
Katika hoja kama hizo unatakiwa kuchinjwa tu basi.

Waislamu wanajua kuwa Muhammadi kawafedhehesha sana, na hana sifa ya kuwa mtume wa Mungu muumba Mbingu na Nchi ambaye mitume wake wana kiasi flani kikubwa cha uadilifu.

Na hawana majibu mengine zaidi ya kumwua anayewaambia ukweli, huwaga hawana muda wa kumjibu bali ni kumchinja tu.

Mfano hai ni anavyo tafutwa kwa udi na uvumba Mtumishi Salman Rushdie.

Ni kwamba wameshindwa kujibu hoja zake na kuamua kumtafuta ili wamchinje tu basi na kunyamazia maswali yake.

Maswali yake yamepigwa marufuku kusomwa na waislamu, wasije itilia mashaka dini ya haki.

Kwa mtu mwenye busara kidogo tu anajua kilichopo nyuma ya pazia.
 
Mashia wana swala yao wanayoijua wao, wana kila kitu tofauti na uislamu na sisi huwapiga vita kwa elimu duniani kote na kuwaharibia mipango yao ya kusambaza uyahudi kwa mlango wa nyuma.

Muasisi wa ushia ni abdullahi ibn saba' naye alikuwa myahudi, sisi tuko mbali nao na wao wako mbali na sisi.Ama uislamu ni dini ya amani isiyoruhusu damu ya mtu kumwagwa pasi na sababu bali uislamu umekataza kabisa mambo ya migomo na maandamano.

Na hao wanaosema allahu akbar kisha wakachinja watu mfano wa ISIS, boko haram au hao alshabaab wanaowasumbua hapo kenya, mbele ya uislamu hao watu ni mbwa wa motoni na uislamu umewataja vibaya mno na kwa mujibu wa uislamu wanatakiwa kuuwawa kwani madhara yao kwa umma na jamii kwa ujumla ni makubwa mno, kwa kumalizia hao wahuni wanaofanya vitendo hivyo kwa kisingizio cha allahu akbar wako mbali na uislamu na uislamu u mbali mno na wao.
Kuna wanaijua dini na wa kumezeshwa chuki dhidi ya wenye Imani tofauti nao
 
maadam hatujakatazwa kuchukua jambo zuri kutoka kwa wageni basi hili linafaa zaidi kuchukua, si sawa na mwenye kuabudu mti huku akiwa uchi mkuu.
Umekariri bana zamani waarabu hawajaja hatukuwa na nguo so Kama mababu waliabudu na maombi kujibiwa kulikuwa na shida gani. Yaani hizi dini zimekuja kuleta disunity kwetu na before ukabila ulitugawa
 
Mimi sina cha kujibu tena maana umeamua kuwa mwongo hata kwa watu wenye macho yao.


Imepokelewa kutoka kwa Ummu Kulthuum bint ‘Uqbah (رضي الله عنها) amesema: Nilimsikia Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) akisema: ((Hajasema uongo yule mwenye kusuluhisha baina ya watu akawa anasambaza [habari ya] kheri, au anasema kheri)). [Al-Bukhaariy, Muslim]

Na katika riwaayah ya Muslim kuna ziada inayosema: Akasema “Wala sikumsikia akiruhusu chochote katika uongo wanaosema watu isipokuwa katika mambo matatu.” Yaani katika vita, kusuluhisha baina ya watu, mwanamume kuzungumza na mkewe na mke kuzungumza na mumewe.”
 
Imepokelewa kutoka kwa Ummu Kulthuum bint ‘Uqbah (رضي الله عنها) amesema: Nilimsikia Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) akisema: ((Hajasema uongo yule mwenye kusuluhisha baina ya watu akawa anasambaza [habari ya] kheri, au anasema kheri)). [Al-Bukhaariy, Muslim]

Na katika riwaayah ya Muslim kuna ziada inayosema: Akasema “Wala sikumsikia akiruhusu chochote katika uongo wanaosema watu isipokuwa katika mambo matatu.” Yaani katika vita, kusuluhisha baina ya watu, mwanamume kuzungumza na mkewe na mke kuzungumza na mumewe.”
Na katika nia ya kueneza dini ya haki.
Yaani Taqqiya ni ruksa kwa mwislamu kuongopa. Ni dini ya ajabu sana hakika.
 
Back
Top Bottom