Muhammad alikuwa anaishi kinyumba na Aisha toka miaka SITA , na alipiga mkuyati akiwa na miaka TisaAlichokisema huyu ndugu ni kwamba alikuwa anahudumia ndoa akiwa na miaka 6, mimi nikamwambia hapana alisubirishwa akiwa kwao mpaka akakua ndio akakabidhiwa, akasema quran imeeleza hivyo ndio nikampa challenge alete hiyo aya kwenye quran na hajaweza kufanya hivyo na hatoweza kabisa.
Katoto Aisha kalikuwa kanacheza na midoli nyumbani kwa pedophile
Nukuu sahih
Aisha aliripoti kwamba alikuwa akicheza na mwanasesere mbele ya Muhammad na wakati watoto wenzake walipo muona mtume waliondoka (nyumbani) kwa sababu walihisi aibu kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu. na Mtume wa Mwenyezi Mungu akawaruhusu waendelee kucheza nae. Sahih al-Bukhari 6130