Maelfu Iran waendelea kuamsha popo, maandamano yako pale pale licha ya serikali kuwaua kisa dini

Maelfu Iran waendelea kuamsha popo, maandamano yako pale pale licha ya serikali kuwaua kisa dini

Alichokisema huyu ndugu ni kwamba alikuwa anahudumia ndoa akiwa na miaka 6, mimi nikamwambia hapana alisubirishwa akiwa kwao mpaka akakua ndio akakabidhiwa, akasema quran imeeleza hivyo ndio nikampa challenge alete hiyo aya kwenye quran na hajaweza kufanya hivyo na hatoweza kabisa.
Muhammad alikuwa anaishi kinyumba na Aisha toka miaka SITA , na alipiga mkuyati akiwa na miaka Tisa
Katoto Aisha kalikuwa kanacheza na midoli nyumbani kwa pedophile

Nukuu sahih
Aisha aliripoti kwamba alikuwa akicheza na mwanasesere mbele ya Muhammad na wakati watoto wenzake walipo muona mtume waliondoka (nyumbani) kwa sababu walihisi aibu kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu. na Mtume wa Mwenyezi Mungu akawaruhusu waendelee kucheza nae. Sahih al-Bukhari 6130
 
Muhammad alikuwa anaishi kinyumba na Aisha toka miaka SITA , na alipiga mkuyati akiwa na miaka Tisa
Katoto Aisha kalikuwa kanacheza na midoli nyumbani kwa pedophile

Nukuu sahih
Aisha aliripoti kwamba alikuwa akicheza na mwanasesere mbele ya Muhammad na wakati watoto wenzake walipo muona mtume waliondoka (nyumbani) kwa sababu walihisi aibu kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu. na Mtume wa Mwenyezi Mungu akawaruhusu waendelee kucheza nae. Sahih al-Bukhari 6130
Mpaka watoto wa kike wanaona aibu.

Ila huyo babu, mbora wa mitume haoni soni yoyote kutongoza na kuvioa vitoto vya kike.

Huyu mtume ndio maana anapiganiwa kwa mapanga.

Ili kujaribu kumfichia fedheha alizo zifanya.

Lakini wapi, maandiko ya hao hao Waislamu yana muumbua.

Anazidiwa busara hadi na vitoto vya kawaida vya kike.

Hili ni janga

Shame on him.
 
Sio kuamua tu mwenyewe, nazungumza kwa kuzingatia ninachoshuhudia, uislamu wenyewe unajitangaza maovu yake, samahani ila ndio kitu tunachokiona, mataifa yanayoongozwa kiislamu ni mauaji na maugomvi kutwa na maushetani ya kila aina, watu wanajilipua mabomu, yaani mtu mpaka anafikia hatua za kufanya maamuzi alipuke bomu afe na watu sokoni, tumekua tunashuhudia vituko vya waislamu vingine hata vinamshangaza shetani mwenyewe.
Ndio maana nikatafiti kutaka kujua nini inawezekana kuwa mgongo wa haya yote na kukutana na hizo aya zinazoamrisha waislamu wachinje wasio waislamu.

Maana kwamba kwa nyie mnaoishi na sisi kwa amani tayari mnavunja sheria za uislamu, mumedandia tu dini, mumepewa maagizo ya kuchinja kila asiye muislamu, hiyo dini kama nilivyosema hata chimbuko lake limekaa kishetani, huyo mtume wenu nilisoma sehemu alikua anagegeda katoto ka miaka 9, wewe fikiria mtoto wa miaka 9, tena huyo mtoto alikua anacheza na midoli, yaani vitu vya ajabu sana lakini akitajwa mnaona radhi mfe ila asitajwe.
Japo mimi siamini katika dini ila kwa hapa naomba niwatetee ishu ya kuoa mtoto wa miaka 6.
Soma hii link utaona

 
Umesoma au umekurupuka? Kama lugha tatizo sema usaidiwe.
Ungesoma ungekuja na hoja zako kujibu hoja za kwenye hiyo makala.
Aliyeandika si muislam kama mimi na wewe.
Nimesoma kidogo , nimeona alieandika anamlinganisha Muhammad na ma pedophile wengine wa zamani
 
Kwa hiyo kilichopo ni kwamba mtu yuko huru kuamua atumie maandiko yepi katika Kurani na ndio maana magaidi huamua kutumia yale aliyotaja mdau hapo juu kwa sababu yamo kwenye msaafu.
Hapana jambo halipo hivyo na wale magaidi wanalipua watu hovyo na kujitoa muhanga nani ameamrisha vitu kama hivyo? nimetangulia kusema huko juu ukiachana na kuwa yale mambo yapo kinyume na uislamu lakini pia haifai kukata miti na kuua wanawake na watoto na watu wasiohusika na vita sasa swali la kujiuliza ile ni vita baina ya nani na nani? na kiongozi wa waislamu ni nani?.

Ukipata majibu utakuwa umenielewa.
 
Nilitaka kushangaa hawa vihiyo technology hii wameitoa wapi?
 
@Kazakh destroyer mbona maswali yangu huyajibu??

#MaendeleoHayanaChama
sorry mkuu sikuona kama umeniquote, kuhusu maandamano na migomo ziko mada nyingi sana zimeshazungumzwa kuhusu hilo, tangu wakati wa mgomo wa sensa na matukio mengine mengi kiasi kwamba imekuwa jambo linalofahamika isipokuwa kwa wale walioamua kukaidi.
 
Mashia wana swala yao wanayoijua wao, wana kila kitu tofauti na uislamu na sisi huwapiga vita kwa elimu duniani kote na kuwaharibia mipango yao ya kusambaza uyahudi kwa mlango wa nyuma.

Muasisi wa ushia ni abdullahi ibn saba' naye alikuwa myahudi, sisi tuko mbali nao na wao wako mbali na sisi.Ama uislamu ni dini ya amani isiyoruhusu damu ya mtu kumwagwa pasi na sababu bali uislamu umekataza kabisa mambo ya migomo na maandamano.

Na hao wanaosema allahu akbar kisha wakachinja watu mfano wa ISIS, boko haram au hao alshabaab wanaowasumbua hapo kenya, mbele ya uislamu hao watu ni mbwa wa motoni na uislamu umewataja vibaya mno na kwa mujibu wa uislamu wanatakiwa kuuwawa kwani madhara yao kwa umma na jamii kwa ujumla ni makubwa mno, kwa kumalizia hao wahuni wanaofanya vitendo hivyo kwa kisingizio cha allahu akbar wako mbali na uislamu na uislamu u mbali mno na wao.
Shia ni Waislamu kabisa. Acha uongo kuwaondolea uislamu wao. Wanatumia Quran na vitabu vyote. Tena afadhali Shia kuliko Answar Sunni. Hao ndo balaa.....
 
Shia ni Waislamu kabisa. Acha uongo kuwaondolea uislamu wao. Wanatumia Quran na vitabu vyote. Tena afadhali Shia kuliko Answar Sunni. Hao ndo balaa.....
Unaongea kwa elimu au umeamua tu mkuu? shia hawaswali swala 5 na kila kitu chao ni tofauti mpaka kushika udhu, mashia kwa ujumla wao ni watu wasio waislamu.
 
sorry mkuu sikuona kama umeniquote, kuhusu maandamano na migomo ziko mada nyingi sana zimeshazungumzwa kuhusu hilo, tangu wakati wa mgomo wa sensa na matukio mengine mengi kiasi kwamba imekuwa jambo linalofahamika isipokuwa kwa wale walioamua kukaidi.
Mbona kama umekwepa swali..swali langu lipo straight wewe umeniletea kona kona na mafumbo matupu..yanayozua maswali mengi zaidi.

#MaendeleoHayanaChama
 
wale mitume wote walikuwa waislamu na ujumbe wao mitume wote ni mmoja tu, nilichokimaanisha hapo sio utaifa wa mtu bali nimekusudia uyahudi kama dini, kwani haufahamu kuwa uyahudi ni dini inayojitegemea?.
Sasa muhamad anaposema yeye ndo mtume wa kwanza na kuwasilimisha majini inakuaje? Mnajichanganya sana.
 
Mbona kama umekwepa swali..swali langu lipo straight wewe umeniletea kona kona na mafumbo matupu..yanayozua maswali mengi zaidi.

#MaendeleoHayanaChama
Samahani niulize tena kwa utaratibu utakaoleweka zaidi kisha nitakujibu inshaallah.
 
Sasa muhamad anaposema yeye ndo mtume wa kwanza na kuwasilimisha majini inakuaje? Mnajichanganya sana.
Mtume wa kwanza na kuwasilimisha majini umemaanisha nini mkuu, umepata kumsikia mtume sulaymaan mwana wa daudi amani iwe juu yao? huyo aliwatumikisha kabisa wakamjengea makasri na wakazamia lulu chini ya bahari kwaajili yake.
 
wale mitume wote walikuwa waislamu na ujumbe wao mitume wote ni mmoja tu, nilichokimaanisha hapo sio utaifa wa mtu bali nimekusudia uyahudi kama dini, kwani haufahamu kuwa uyahudi ni dini inayojitegemea?.
ACHA UONGO. UISLAMU UNAJENGWA KATIKA JANJA JANJA SANA.
SOMA HAPA.
Screenshot_2022-11-17-22-28-05-493_com.facebook.katana~2.jpg
 
Mtume wa kwanza na kuwasilimisha majini umemaanisha nini mkuu, umepata kumsikia mtume sulaymaan mwana wa daudi amani iwe juu yao? huyo aliwatumikisha kabisa wakamjengea makasri na wakazamia lulu chini ya bahari kwaajili yake.
Hii utakuwa umeitoa kwenye Quran. Kwenye Biblia haipo. Uislamu Majini ni ndugu zenu na yalikuwa ya Kwanza kusilimu baada ya Muhamad kuwa muisalmu wa kwanza.

Screenshot_2022-11-17-22-28-35-235_com.facebook.katana~2.jpg
 
Majini ni ndugu zenu na wote mna muabudu allah. Yaliipenda sana dini ya kiislamu yakasema hakika hiyo ndiyo dini ya kweli. MAJINI.😳
 
Back
Top Bottom