Hehehe ni wachache sana mnakana kwamba haipo, kuna wenzako humu nao badala ya kukana walijaribu kuaminisha oooh eti ilikua sahihi kuinglia mtoto wa miaka 9 maana enzi hizo ndio ilikua tamaduni zao, yaani watu...
[Sahih al-Bukhari 3896/Sahih Bukhari Volume 5, Book 58, Number 236] Narrated Hisham’s father: Khadija died three years before the Prophet departed to Medina. He stayed there for two years or so and then he married ‘Aisha when she was a girl of six years of age, and he consumed that marriage when she was nine years old.
Sahih Muslim 1422 b
'Aisha (Mwenyezi Mungu amrehem) aliripoti:
Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) alinioa nikiwa na umri wa miaka sita, na nilipelekwa nyumbani kwake nilipokuwa na umri wa miaka tisa.
mfano wa Muhammad wa kuoa mtoto mdogo ('Aisha akiwa na umri wa miaka sita) ndio sababu nchi za kiislam zinazoendeshwa kwa Shariah haziwekei umri wa chini wa ndoa.
surah 65: 4 inaruhusu mtu mzima kuoa mtoto mdogo ambaye hajapata mzunguko wa kwanza wa hedhi lakini pia kuwapa talaka ili wengine waweze kuwaoa.
Haya ni mambo ambayo yanaendelea hadi leo kwa sababu Waislamu wanamchukua Muhammad kama nabii kwani maisha yake yana muhuri wa Allah. Katika nchi kama Yemen ambayo bado ni kawaida kwa wanaume kuoa watoto ambao bado hawajavunja ungo na wakati nchi ilipokuwa inajaribu kuzuia, kiongozi wa kidini ambaye alisema huwezi kuacha hiyo tabia kwa sababu utakuwa unamhukumu Mwenyezi Mungu katika Quran na Muhammad katika maisha yake.
surah 33:21 inasema Muhammad ni mfano ambao Waislamu wanapaswa kumfuata hichi sio kitu tu kibaya ambacho Muhammad alifanya jambo hilo limeathiri kizazi baada ya kizazi cha watu ambao wanahitaji ulinzi yaani wasichana wadogo wengi wamekuwa wakiathirika wakati mwingine hufa kwa sababu hawako tayari kwa tendo hilo na yote yameithinishwa na huto wanaemuita Allah na Muhammad.