Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa!!! Lakini kuna haja ya kushangaa IQ yako maana umetanguliza mahaba kuliko uhalisiaHata Bill Gate mwaka jana katika mahojiano alimdharau Elon Musk.Leo Elon Musk ndiye Tajiri namba moja (1) Duniani.
Hivyo wenye mawazo duni siku zote siyo wa kuzikilizwa! Wanaenda na kitu inaitwa " popular opinion"!
Hivyo sishangai wewe ku doubt IQ yangu maana sijui IQ yako wewe ikoje!
Dah nomaa. Kwahyo wew una uhakika na kilicho kichwani kwako?Bado mmeshindwa kujibu hoja za msingi!Hizi ni porojo tu na hakuna majibu!
Kwamba leo imekuwa ni sifa kuoendelea maeneo unakotoka kisa wewe ni Rais?Kweli dunia inakwenda kasi sana!
Je,ni wilaya gani ina miradi mingi kwa pamoja kama Chato?Taja miradi ya wilaya moja tu uipendayo!
Mkuu hana wilaya aipendayo zaidi chato so usitegemee kupata jibu zaidi ya chatoBado mmeshindwa kujibu hoja za msingi!Hizi ni porojo tu na hakuna majibu!
Kwamba leo imekuwa ni sifa kuoendelea maeneo unakotoka kisa wewe ni Rais?Kweli dunia inakwenda kasi sana!
Je,ni wilaya gani ina miradi mingi kwa pamoja kama Chato?Taja miradi ya wilaya moja tu uipendayo!
Hakuna haja ya kulaumu uwanja huo kujengwa pale kwa sababu tu Mhe.Pinda siyo tena Waziri Mkuu! Sisi tuangalie kiuchumi tutautumiaje ?! Katavi kuna rasilimali nyingi si utalii pekee ebu tuache akili za kushikiwa!Hata Mobutu alipojenga uwanja wa ndege huko kijijini kwake alikuwa na watetezi kama ww, leo hii watetezi wote wa uhuni ule kama wako hai wanaona aibu ya dhahiri. Hebu tupe mrejesho wa ule uwanja wa ndege wa katavi Pinda akiwa PM kuwa utainua utalii wa kule?
Jiwe alipata kura ngapi za ukweli Chato? Ile nyomi ya alipopita Lisu na fiisu alizofanyiwa dada Husna na mapolisi vipiInawezekana kura 5 na kura 2 za maoni CCM walizopata Makongoro Nyerere na Madaraka Nyerere respectively ni hasira za Wana Butiama kuona hawana impact na ni irrelevants kwa maendeleo yao pamoja na majina yao mkubwa na backgrounds zao
Sijui Mataga watakuelewa?Hata Mobutu alipojenga uwanja wa ndege huko kijijini kwake alikuwa na watetezi kama ww, leo hii watetezi wote wa uhuni ule kama wako hai wanaona aibu ya dhahiri. Hebu tupe mrejesho wa ule uwanja wa ndege wa katavi Pinda akiwa PM kuwa utainua utalii wa kule?
Tuache ujinga, vitu vinavyojengwa CHATO havitumiwi na Rais Magufuli pekee!
Kuna Watanzania wa makabila yote kule CHATO watafaidi maendeleo hayo.
Hii sio hofu, ni upumbavu tu umemjaa mleta mada.Kuna nyakati unaweza fikiri "tumelogwa"! Tumejaa woga na hofu tu.
Hata tajiri No.1 humjui unatembelea simulizi, Musk kakaa kwenye chart kwa masaa.Hata Bill Gate mwaka jana katika mahojiano alimdharau Elon Musk.Leo Elon Musk ndiye Tajiri namba moja (1) Duniani.
Hivyo wenye mawazo duni siku zote siyo wa kuzikilizwa! Wanaenda na kitu inaitwa " popular opinion"!
Hivyo sishangai wewe ku doubt IQ yangu maana sijui IQ yako wewe ikoje!
Dunia enzi za Nyerere na sasa na aina ya fikra na maendeleo ni tofauti sana. Leo Kutoendeleza maeneo yakiwemo ya chimbuko lako ni ujinga na utumwa. No way!
kwa kiwango kipi hasa?Andika vizuri kwanza,