Maendeleo Makubwa ya CHATO na tafsiri ya Makongoro Nyerere na Madaraka Nyerere kupata kura 5 na 2 respectively za maoni CCM 2020!

Maendeleo Makubwa ya CHATO na tafsiri ya Makongoro Nyerere na Madaraka Nyerere kupata kura 5 na 2 respectively za maoni CCM 2020!

Mbona mnatuchanganya[emoji23]
JamiiForums2142496968.jpg
 
Mwache Jiwe awekeze Chato sisi tutaendelea kuwekeza Dar angalau tuna uhakika wa kurudisha kile tulichowekeza.Baada ya Jiwe kuondoka nina uhakika Chato haitasikika tena,Itakuwa mahame!
 
Kwel Mkuu, hiyo Dom yenyewe Ni hati hati, maamuzi ya bajeti jamaa anafanya mwenyewe na kuamrisha tu wenzie wanafuata upepo, akiondoka Ni kwishney

Akiondoka madarakani CHATTLE itakuwa kama GBADOLITE ya MOBUTU.
 
Tuache ujinga, vitu vinavyojengwa CHATO havitumiwi na Rais Magufuli pekee!
Kuna Watanzania wa makabila yote kule CHATO watafaidi maendeleo hayo.
Kuna wakati mtu kama wewe najiuliza kwa nini mlizaliwa kwenye hii dunia?

Hujui kama nchi inahitaji mgawanyo sawa wa rasilimali zake
 
Yaani ku-compare Nyerere na Magufuli ni dhambia kubwa sana. Sacrifice aliyoifanya Nyerere kama siyo yeye sijui hata kama baba yako angekusomesha wewe au hata kukuzaa.

== Education alifanya bure - ada hadi daftari
== Medicare bure - kumuona daktari hadi dawa (chakula, malazi, kupasuliwa, damu etc)
== Ukiona viwanda vilivyopo leo au mashirika makubwa - basi alianzisha Nyerere au Wakoloni (Mwingi, MKapa, kikwete combined hawajawahi kufanya lakini waliuza)
== Barabara Zambia to Dar - Nyerere
== Tazara - Nyerere
== Viwanda vyote vikubwa vya nguo - Mwatex, Urafiki,Mutex, Kiltex etc etc = Nyerere
== Viwanda vya Cement - Nyerere
== Umeme wote ulikuwa wa Nyerere - Kidatu, Mtera etc etc
== TCOSHILI, SONORTASHIP = Nyerere
etc etc etc etc

Kama angeamua vyote viwe kwao Butiama, akina Andrew waishi London hangeweza?

Fabya research uje tena
 
Kwani hiyo kiongozi mkubwa kupendelea kwake kwako ni sawa.Brother kinachokua tatizo sio maendeleo ya huko alikotoka kiongozi tatizo ni namna yanavyopatikana.Nchi yetu si ya kimajimbo ni mfumo wa kapu moja tugawane sawa hivyo maendeleo hayo lazima yasidifu mfumo wa kimaendeleo wa nchi na sio kuangalia kigezo cha nani antoka wapi.
 
Hoja dhaifu sana hii. Kwani Kikwete,Mkapa,Mwinyi na Baba wa taifa hawakuwa na kwao? Hoja ya hovyo sana hii. Haifai wala haishawiwishi.
 
Hata Bill Gate mwaka jana katika mahojiano alimdharau Elon Musk.Leo Elon Musk ndiye Tajiri namba moja (1) Duniani.
Hivyo wenye mawazo duni siku zote siyo wa kuzikilizwa! Wanaenda na kitu inaitwa " popular opinion"!
Hivyo sishangai wewe ku doubt IQ yangu maana sijui IQ yako wewe ikoje!
Narudia tena una IQ ndogo

We are talking about Tanzania ,ambayo airport unaipa priority na huku mwananchi hana uhakika atakula nini ,anachota maji ya chini ya kisima ,anakosa hela ya ada ya chuo etc ,wafanyakazi wana low salaries incomes etc
 
Wazawa wa chato mrudi nyymbani kumenoga [emoji28]
 
Watanzania wenzangu heri ya Mwaka Mpya 2021.

Nimewiwa kutoa mawazo yangu kufuatia kelele nyingi za " kijinga" zinazopigwa kuhusu maendeleo makubwa na ya haraka zinazopigwa Wilayani CHATO katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya Tano.

Fact kubwa ambayo hatuwezi kuipinga ni kuwa Wilaya hiyo kwa sasa imetoa kiongozi mkubwa wa Taifa letu.

Fact nyingine ni kuwa kwa sasa na baadaye CHATO iko kwenye "spot light" na hivyo kwa vyovyote vile lazima ipewe na itapewa "attention" iwe " positive" or " negative".

Suala la maendeleo hayo kupigwa kwa msukumo gani au budget zipi si msingi wa mjadala wangu!

Anayetaka kujua msukumo na budgets za maendeleo ya CHATO anaweza kuanzisha mjadala wake na siyo kuchanganya kwenye mjadala wangu.

Mimi mtazamo wangu ni kuwa ni uoni hafifu kuwa anakotokea Kiongozi Mkubwa wa Nchi basi pawe sehemu duni kimaendeleo.

Tutambue kuwa Kiongozi mkubwa wa Nchi tayari anakuwa " icon" na anatakiwa ku- interact na watu mbalimbali kitaifa na kimataifa!

Hivyobasi sehemu hiyo kama inawezekana iwe inafikika, inakalika na iko friendly.Hapo nazungumzia miundombinu ya aina zote!

Wapiga kelele kama kina Tundu Lissu wanatumia Butiama ya Mwl.Julius Nyerere kama "benchmark" wanapojadili suala maendeleo ya CHATO na vitu vingine vya " kijinga" kama historia ya Mobutu Sese Seko Kuku wa Zabanga !

Kwa hadhi na IQ aliyokuwa nayo Mwl.Julius Kambarage Nyerere mimi binafsi nampongeza kwa mengi ila siwezi kumpongeza kwa vitu viwili ,mosi, jinsi alivyowa " groom" watoto wake na pili maendeleo ya Butiama!

Kuhusu watoto wa Mwalimu, ukiwaangalia vizuri Makongoro na Madaraka na wengine unaona kabisa hawakuandaliwa kwa " kazi kubwa" au tuseme " very challenging jobs"!

Pia kuhusu Butiama, hii ni sehemu masikini ya kutupwa! Kwa muda mrefu imekuwa haina hudumu za msingi na zenye hadhi kama za afya,elimu,mawasiliano, miundombinu n.k!

Leo tunapopiga kelele ndo Barabara ya lami tena ya kiwango duni ndo inajengwa kupitia Butiama kwa Mwl.Julius Kambarage Nyerere na Nyamuswa kwa Joseph Sinde Waryoba!

Leo tunapopiga kelele za CHATO ndo hapa juzi kati Serikali imesaini mradi wa maji wa Bilioni 70 kutoka Mugango, Kiabakari kwenda Butiama kwa Mwl. Nyerere na labda baadaye unaweza kufika Nyamuswa kwa Jaji Joseph Sinde Waryoba!

Huwa ninaposikia mtu " Mkubwa" au " Maarufu" katika Nchi yetu akifa anakuwa ameacha wosia kuwa akifa azikwe Kinondoni Makaburini basi najua huko alikotoka basi hakujipanga au hakuwa na mahusiano mazuri na wenzake huko nyumbani.

Kwa mila na tamaduni za makabila mengi kuzikwa nyumbani au shambani kwako ni heshima kubwa!

Babu yangu mimi aliwahi kuniambia kwa utamaduni na mila za kabila langu nikifa na nikazikwa makaburini ( makaburi ya wengi ) basi sina tofauti na mtu aliyekufa na akaliwa tu na fisi!

Nilibishana naye sana lakini sasa nafanyia kazi changamoto hiyo ( planning my life after death).

Tukirudi katika hoja ya msingi ni kuwa Butiama kilikuwa ni kijiji duni wakati wa Mwl.Nyerere na bado ni sehemu duni sana kulinganisha na hadhi ya Mwl.Nyerere.

Mtu mwenye "negative mind" atajaribu kuni - challenge kuwa hakuna umuhimu wa kwao Kiongozi mkubwa wa Nchi kuwa na maendeleo wakati sehemu zingine ni duni au ni dalili ya kujipendelea na ubinafsi!

Inaweza kuwa kweli lakini binadamu wote ni wabinafsi!
Jaribu kujiuliza kama atajitokeza mtu akupe machaguo mawili kwamba ufe wewe au mwenzako, utajibu nini!?

Nenda harusini halafu muda wa kula MC anaamusha waalikwa kila mtu anawahi kupakuwa " best food for himself or herself" ! Huo wote ni UBINAFSI.

Cha msingi hapa ni sisi kuona kitu ninachoweza kukiita " constructive selfishness " . Namaanisha SGR, Nyerere Power,Hospitali kila Wilaya, Barabara zinajengwa na CHATO ikijengwa kuna ubaya gani?! After all CHATO ni Tanzania pia.

Inawezekana kura 5 na kura 2 za maoni CCM walizopata Makongoro Nyerere na Madaraka Nyerere respectively ni hasira za Wana Butiama kuona hawana impact na ni irrelevants kwa maendeleo yao pamoja na majina yao mkubwa na backgrounds zao!

Mimi siwasikilizi Tundu Lissu na wapiga kelele ( mediocres) wengine wenye chuki na maendeleo ya CHATO.

Nakwenda CHATO soon kuangalia na kuchukua fursa.
Fursa za haraka nazoziona pale ni hizi!
Wakati nyie mnachukia CRDB kuweka tawi kubwa pale CHATO ambako hakuna wateja wengi, mimi naona benki kubwa iliyoko pale CHATO yenye wakopaji wachache!

Wakati nyie mnachukia uwanja wa Ndege wa kimataifa CHATO alikotuwa Waziri wa Nje wa China direct from Beijing na kukagua samaki Mwaloni mimi naona fursa ya kuanzisha kiwanda cha Samaki pale CHATO na zitabebwa na ndege za mizigo direct from CHATO to the markets! na fursa nyingine KIBAO!
Wazo lako ni zuri, ila umesahau kitu kimoja kikubwa - Ungependekeza kuwa kuwe na mswada katika bunge wa kuweka kipengele cha bajeti pendeleo ya kuendeleza maeneo atayotoka Rais wa Tanzania kama maeneo hayo yapo duni ki-miundo mbinu. Na yakipitishwa yawe ndani ya katiba ya JMT ili iwe wazi kwa watanzania wote nini kitajengwa.

Ikikupendeza ungependekeza na kuitaja hiyo miundo mbinu katika katiba yetu ya JMT.
 
Ulichoandika ni ushuzi tu. Ungekuja na fact ya vinavyojengwa huko. Je uwanja utahudumia wasafiri au mizigo kiasi gani? Je Huo uwanja kwanini haukuwepo Kahama penye watu wengi mara 20 ya chato? Je kwann chato tuuuuuuuuu
 
tatizo lenu kubwa ni moja...huwa mnatakiwa mlambe makalio ya viongozi bila kujali hayo makalio ni "masafi" au "machafu"....ninyi wajibu wenu ni kuyalamba tuu, baasi!

hongereni kwa kazi nzuri!
Kweli mkuu, mzee kama huyo hana pakula anaishi kwa binti yake wa kufikia
 
Back
Top Bottom