Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudai katiba mpya maana yake ni kuzungumzia issue za muungano tu? kwa taarifa yako mambo yanayotia kichefu chefu wala sio hao uliyoyaorodhesha, ungeongelea mamlaka aliyonayo rais wa Jamhuri, muungano wa vyama vya siasa kukubalika kikatiba, muundo wa tume ya uchaguzi, uteuzi wa mawaziri na kama hayo, muundo wa serikali tatu n.k
Punguza chuki zisizo na msingi ndugu yangu.
Ntajaribu kuwasiliana na vyombo vya habari, ikishindikana ntabeba bango peke yangu kuelekea barozi za nje, lengo ni msg ifike.Maandamano hawatakupa kibali na watu ni waoga wa kupigwa mabomu. Mimi nilijaribu kuanzisha petition https://www.jamiiforums.com/uchaguz...o-decrease-wabunges-salaries-a-must-read.html lakini haikumaterialize labda wewe jaribu unaweza ukapata watu wa kutosha.
Dai lingine:
Mtu anayetokea Zanzibar kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuongoza hadi Tanzania bara wakati mtu wa bara hawezi kuwa rais wa Zanzibar
Kufanya hii issue ifanye kazi.... fanya yafuatayo
Kwa haya yakifanyika strategically utafanikiwa bila shaka
- Maandamo ni magumu kufanya kwanza hautapewa kibali, ukipewa itakuwa ni issue ya siku moja media huenda hazitakupa enough coverage na baada ya siku utasahaulika. Cha muhimu ni kuandaa Petition... Watu wasaini kwenye majimbo yao na hata online na baadae kuwapa wabunge wao kama ammunition ili waende nayo bungeni ikajadiliwe.
- Issue fanya iwe ni kubadilisha katiba na sio kuwe na nini ndani ya katiba (ukisema kuwe na nini ndani ya katiba unamaanisha kuiwekea viraka katiba)
profesa wa Marekani doesn't know jack squat about "tatizo la Tanzania" and if he knew he wouldn't solve it, that's why he fled in the first placeJamaa me nipo hapa Marekani navinjari kidogo lakini kuna Maprof wananiambia tatizo la Tz
Wanajamvi, Wananchi, na Wadau wa vyama vyote....
Naomba msaada wenu wa kukusanya takriban sahihi 5,000,000 za wananchi wa Tanzania ili kuomba Katiba mpya, Nimeweka deadline ili tuwe tumepata sahihi hizi by February.
Attached kuna fomu yenye namba hadi 27 unaombwa uwape watu wajaze au utoe photocopy na kuwapa watu tofauti wajaze, pia unaweza kuzituma kwenye email za watu, facebook etc. Fomu ikikamilika naomba uiscan na kuituma katika email ya mpyakatiba@yahoo.com nitakuwa ninatoa update jamvini ya majina yamefika mangapi na kwa kila atayehitaji tampa file ya documents za majina hayo mpaka wakati huo.
Lengo ni baada ya kupata majina hayo ni kuyapeleka kwa wabunge wetu ili tuwaombe sisi tuliowachagua watupe tunachowaomba. Tafadhali wajaze watu wazima na kwa hiari yao na si kuwalazimisha
Binafsi mimi sina tatizo na wewe ila nataka kufahamu wewe ni nani, maana mimi nawza kuwapata na kugharima vijana kama 100 na wazee kama 100 jumla mia mbili issue ni kwamba this has to come through a trusted source.
Peoples Power.