Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

Issue ni kufikisha ujumbe.... Kwahiyo mimi am just a normal person mlalahoi tu wakaida, nimefikilia kuhusu ili jambo, na nikaona kuna uwezekano wa watu kukusanya majina ambayo yatakuwa kwenye hiyo email; na nitaforward hapa jamvini. Hili sio suala langu ni la kila mtu.. Petition inatoka kwa wananchi wote sio kwangu tu. I am not important just a mediator au call me mtoa wazo tunaweza tukaboresha kama kuna mtu ana wazo zuri

Ni kweli mkuu tatizo ni kwa sasa ukisema tu wew unahitaji jina la mtu, no ya simu, sahihi, hizi taarifa ni za muhimu sana na zinaweza kutumika vibaya au juu yake ikiandikwa wanaotaka kupindua nchi utasema nini na tutasumbuliwa kwa muda. Mimi nawafahamu vizuri hawa viongozi wetu ambao mabadiliko ya katiba inawabana, wana visa sana kwa hiyo katika hii isue inatakiwa inafanyika kwenye uwazi kama kwenye mikutono ya vyama mfano kila mbunge kati ya hawa CDM na CUF na wengine wanaweza kupita huku na kule kuleta fomu na na kuzisaini kama tulivyofanya wakati wa kampeni na kumdhamini Dr Slaa.

Labda kwa huku jamvini cha kufanya ianzishwe Opinion poll ya kutaka kujua ni watu wangapi wanataka mabadiliko ya katiba then ikapelekwa kwenye magazeti then ndo viongozi wa upinzani wakaanza kutoka hapo.

Wasi wasi wangu ni kama tukifanya kimya kimya watasema tunataka kuipindua serekali hawa jamaa walivyo hawana akili.
 
Ni kweli, ni vizuri tupate maelezo ya utangulizi. Nani anaecoordinate jambo hili. Ama ni taasisi ipi? Tafadhali tunaomba utambulisho. Kwani hata fomu yenyewe haina utambulisho wala nembo ya taasisi inayohusika. Najua kujitambulisha kunaweza kuleta shida hasa kiusalama, lakini hivi sasa ni ukweli ulio wazi kuwa suala la Katiba mpya imekuwa agenda ya kitaifa. Tafadhali tusaidie kulifahamu hili.

Kweli ajenda hii ni ya kitaifa, ni chadema pekee ndio wanaweza kuibeba na kuitetea kwa hoja, tuwaunge mkono!
 
Chadema kama wana akili watatengeneza pesa nyingi sana kipindi hiki sidhani kama katiba inanunuliwa tujihadhari na wajanja na mkumbuke hatukuwatuma mfanye mnayokusudia ila uzalendo ndio uliowasukuma. Kwani Kenya walikusanya kiasi gani kubadilisha katiba?
 
Ni kweli mkuu tatizo ni kwa sasa ukisema tu wew unahitaji jina la mtu, no ya simu, sahihi, hizi taarifa ni za muhimu sana na zinaweza kutumika vibaya au juu yake ikiandikwa wanaotaka kupindua nchi utasema nini na tutasumbuliwa kwa muda. Mimi nawafahamu vizuri hawa viongozi wetu ambao mabadiliko ya katiba inawabana, wana visa sana kwa hiyo katika hii isue inatakiwa inafanyika kwenye uwazi kama kwenye mikutono ya vyama mfano kila mbunge kati ya hawa CDM na CUF na wengine wanaweza kupita huku na kule kuleta fomu na na kuzisaini kama tulivyofanya wakati wa kampeni na kumdhamini Dr Slaa.

Labda kwa huku jamvini cha kufanya ianzishwe Opinion poll ya kutaka kujua ni watu wangapi wanataka mabadiliko ya katiba then ikapelekwa kwenye magazeti then ndo viongozi wa upinzani wakaanza kutoka hapo.

Wasi wasi wangu ni kama tukifanya kimya kimya watasema tunataka kuipindua serekali hawa jamaa walivyo hawana akili.

kweli bana.

mawazo yako yamekaa ki-intelijensia zaid.

mtoa mada inawezekanani mlalahoi wa kawaida kama alivyojihami. lakini tahadhari pia lazima zichukuliwe kwa sisi tunaopewa ujumbe.
 
Chadema kama wana akili watatengeneza pesa nyingi sana kipindi hiki sidhani kama katiba inanunuliwa tujihadhari na wajanja na mkumbuke hatukuwatuma mfanye mnayokusudia ila uzalendo ndio uliowasukuma. Kwani Kenya walikusanya kiasi gani kubadilisha katiba?

Tafadhali ndugu.... Ni nani amesema inaitajika pesa..... Tunaomba watu wanaotaka katiba ibadilike wakusanye signatures za watu.. ili zikipatikana za kutosha tutawapelekea wabunge wetu kuwa (mfano watu 5,000,000) wanataka katiba mpya evidence ni haya majina kadhaa... basi Hatuitaji pesa wala kitu chochote
 
Kweli ajenda hii ni ya kitaifa, ni chadema pekee ndio wanaweza kuibeba na kuitetea kwa hoja, tuwaunge mkono!

Buchanan,
CHADEMA peke yake hawawezi ila sauti za wadau zimeanza kupazwa. Jana chama cha Wanashera Tanzania Bara wametoa ripoti yao ya uchaguzi na moja ya madai yao ni kuwa na Katiba Mpya (kwa maelezo zaidi soma ukurasa wa 3 wa mwanananchi na ukurasa wa kwanza wa Daily News. Ripoti yao ya uchaguzi tayari ninayo na nitaituma muda si mrefu.

Maombi yangu ni kwa CHADEMA kufanya kazi karibu na Chama cha Wanasheria na wadau wengine ili kuweka uzito wa madai ya katiba. Wanasheria wamepewa nguvu ya kisheria kufanya hivyo na wana audience nzuri na serikali.

Tundu Lisu na Marando wanapaswa kujua nini cha kufanya.
 
kweli bana.

mawazo yako yamekaa ki-intelijensia zaid.

mtoa mada inawezekanani mlalahoi wa kawaida kama alivyojihami. lakini tahadhari pia lazima zichukuliwe kwa sisi tunaopewa ujumbe.

Basi labda tubadilishe jina na tuweke kwamba hii ni petition inayoletwa na wananchi na tunaiwasilisha kwenye email yoyote mtakayoichagua hapa itakuwa kazi kuinvolve taasisi... Wengi wanakuwa waoga kuwa involve kwenye such issues
 
Ni wazo zuri tena sana tu kwa kipindi hiki katiba ni muhimu sana,Tatizo linakuja wewe ni nani hasa,maana mpaka kupata namba ya simu na jina lazima litajulikana sasa kama unataka kufanya kitu kibaya tutajuaje?.......Nimesema ni wazo zuri tena wazo la ki-utanzania zaidi kwa maslahi ya watanzania,....sasa kama inawezekana utupatie namba yako ya simu ili tukutumie majina au kila mtu anayeona kuna umuhimu wa Katiba kwa sasa basi ajiorodheshe kwa njia ya simu.
Ila nakupongeza sana kwa wazo la kimtandao zaidi,tukipata watu wachache wa aina yako basi KATIBA MPYA iko njiani.
INANIUMA SANA!!!!!!!
 
Mawazo yaliyotolewa ya kuboresha chombo kinacho ratibu ukusanyaji wa signatures na form iwe more formalized (headed paper) yenye address kamili na ikiwezekana chombo kinacho ratibu wafanye press na media ili kuwataarifu wananchi wa kada tofauti kuwa kuna kitu kama hiki ili watanzania wanaopenda wapate hamu na kujiandaa kusign. Kwa njia hii nadhani mambo yatakaa vizuri sana.

Suala la chombo gani / taasisi gani ishughulikie nadahani wadau wote waliowahi kutoa tamko la kutaka katiba mpya washauriwe kufanya kitu hiki. Itapendeza kama taasisi za dini, NGO mbalimbali, vyama vya siasa wanaounga hoja hii kwa ushirikiano wao wataweza kufanikisha jambo hili pasipo utata.
 
Tafadhali ndugu.... Ni nani amesema inaitajika pesa..... Tunaomba watu wanaotaka katiba ibadilike wakusanye signatures za watu.. ili zikipatikana za kutosha tutawapelekea wabunge wetu kuwa (mfano watu 5,000,000) wanataka katiba mpya evidence ni haya majina kadhaa... basi Hatuitaji pesa wala kitu chochote

Waambie kwanza hao wabunge wetu wapunguze posho zao ili the balance waongezewe waalimu kwanza then bunge la kuanzia baada ya bajeti waanze mchakato wa kudai katiba mpya sambamba na kubadilisha katiba za vyama vyao husika.....
 
Mawazo yaliyotolewa ya kuboresha chombo kinacho ratibu ukusanyaji wa signatures na form iwe more formalized (headed paper) yenye address kamili na ikiwezekana chombo kinacho ratibu wafanye press na media ili kuwataarifu wananchi wa kada tofauti kuwa kuna kitu kama hiki ili watanzania wanaopenda wapate hamu na kujiandaa kusign. Kwa njia hii nadhani mambo yatakaa vizuri sana.

Suala la chombo gani / taasisi gani ishughulikie nadahani wadau wote waliowahi kutoa tamko la kutaka katiba mpya washauriwe kufanya kitu hiki. Itapendeza kama taasisi za dini, NGO mbalimbali, vyama vya siasa wanaounga hoja hii kwa ushirikiano wao wataweza kufanikisha jambo hili pasipo utata.
Sawa kabisa basi naomba tuanze kuandaa hii issue from bottom up humu jamvini ni taasisi gani tuiombe ili iwe base ya hii kitu nashauri tuwatumie wale wadau wa Haki Elimu ili wainitiate hili suala je kuna anyemjua mtu wa karibu huko tuweze kumwomba tutumie taasisi yao kukusanya haya majina?
 
Waambie kwanza hao wabunge wetu wapunguze posho zao ili the balance waongezewe waalimu kwanza then bunge la kuanzia baada ya bajeti waanze mchakato wa kudai katiba mpya sambamba na kubadilisha katiba za vyama vyao husika.....

Katiba ikibadilika... Kipengele Cha Hawa waheshimiwa kujipangia mishahara yao tukikibadilisha basi mambo yote yatakuwa sawa.. Kwa hiyo it all starts with Katiba
 
pia,tungepata mtu ambaye angetuainishia vipengele ambavy vimepitwa na wakati na vinavyoenda kinyume na siasa ya vyama vingi na vinavyokandamiza rika mbali mbali za wananchi kama jinsia ya wanawake kunyimwa haki ya urithi nk ili kila mtu pale alipo aweze kujua umuhimu wa mabadiliko ya katiba na kwa wakati gani,tukikaa kimya na kusubiri mpaka watu waanza kupigana watu watakosa ujumbe halisi wa umuhimu wa katiba na kuishia kusema bora tubaki na amani yetu kuliko kugombania katiba,tunajijua sisi watanzania ni watu wa kukata tamaa mapema sana na ni waoga kuliko mbwa bweha,ukimtisha kidogo anakimbia mbio zisizozake,na pia tumeshajijua hatuna waandishi wa habari ambao watakuwa bega kwa bega na watanzania kupigania Katiba mpya kwa sababu wanaiogopa serekali ilioko madarakani hata Mh Chenge alidiriki kusema wazi kuwa waandishi wa Tanzania ni majioga hawawezi kufuatilia habari kwenye vyombo nyeti wa dola wanabaki kubwabwaja tuu na kulalamika kila kukicha.sasa waandishi wanalalamika na watanzania wanalalamika nani atamkomboa mwenzake?
Umoja ni Nguvu na utengano ni udhaifu.Shime watanzania tuungane tupate Katiba mpya,na wakati mzuri sana wa kupata katiba mpya ni huu wa Enzi ya J.KIKWETE na si muda mwingine,ni rais anayesikiliza sana watanzania walio wengi,na maoni ya wanamtandao kama nilivyomsikia kwenye hotuba zake.
 
Nimuhimu sana kuwa na katiba mpya...tangu 1977 hadi leo tunazungumzia 2011 katiba yetu ni viraka tu...!!we need to make katiba inayoendana na wakati uliopo.
 
Kwahiyo kuna mtu ambaye yupo karibu na hawa watu wa haki elimu labda tumuite mmoja wapo hapa jamvini ili aweze kuchangia na kuona kama tunaweza kumpa kazi ya kuzikusanya hizi signatures
 
wazo lako ni zuri sana na nia yako pia

Zoezi kama hili baba ni la kikatiba, ni la kisheria. sidhani unaweza kufanya kwa njia hii. kwa mfano hizo fomu zikiwa scanned zitakuwa siyo nakala halisi. kinachohesabika kisheria ni nakala halisi

pili mchakato huu tayari umeshaanza. ingekuwa vizuri kama wewe ukaunga nguvu na chadema ndio wanaoratibu huu mchakato. hawajaamua bado kama tunasaini petition lakini uamuzi huu ukifikiwa utasaidia sana kupata signature, hadharani siyo kwa kificho kama hivi
 
Wazo kwa kweli ni zuri, na petitions zimetumika sana duniani katika kudai haki za aina mbalimbali. Cha msingi ni kupata uhakika kwamba chadema iko sambamba na hili la ku-sign petition, yaani kama jambo linaanza na individual ni very risky, inatakiwa lianze na kikundi/party/institution...etc. Yaani petition must originate from an organized/known group, and then others sign to join them. I am pro-katiba but I will not easily sign petition bila kuwa na utaratibu unajulikana na kukubalika. Organization gives power and voice even beyond our borders and it is easy to connect with groups like Amnesty International etc.
 
this is a good initiative and we have to do it without delaying ,this is the right time for KATIBA MPYA,
Jamani watu tusiendele kuwa waoga kiasi kile duh, tukianza kuongopeshana hapo ndio hatautafika kabisa, kila kitu kina faida na hasara zake hivyo basi tunachotakiwa ni kuwa majasiri na msisitizo kwa tunachokitaka sio kwa maneno tu bali kwa vitendo pia.
Mimi niko radhi kutumiwa kuwa kama mediator when needed..
 
wazo lako ni zuri sana na nia yako pia

Zoezi kama hili baba ni la kikatiba, ni la kisheria. sidhani unaweza kufanya kwa njia hii. kwa mfano hizo fomu zikiwa scanned zitakuwa siyo nakala halisi. kinachohesabika kisheria ni nakala halisi

pili mchakato huu tayari umeshaanza. ingekuwa vizuri kama wewe ukaunga nguvu na chadema ndio wanaoratibu huu mchakato. hawajaamua bado kama tunasaini petition lakini uamuzi huu ukifikiwa utasaidia sana kupata signature, hadharani siyo kwa kificho kama hivi

Hapo kwenye nyekundu jana Dr. Slaa alipokuwa jamvini nikamuuliza kama signed petition inaweza fanya kazi Tanzania na kama wananchi tunaweza tukafanya hiki sambamba na michakato mingine.. Hivi ndivyo alivyojibu

VoiceofReason,
Thanks very much. I like your creativity. I think this is the way discussion should go. Msingi mkubwa wa Matatizo ya nchi yetu iwe ni umaskini, ufisadi, utawala mbovu, matumizi mabaya ya fedha na Rasilimali za Taifa ni Katiba kama nilivyowahi kueleza mara kadhaa.Msingi wa Chaguzi zetu iwe Uchaguzi Mkuu au wa Serikali za Mitaa ni Katiba Mbovu. Dawa itakapopatikana pale Tatizo Msingi litakapokuwa limepatiwa ufumbuzi. Hivyo, pendekezo lako ni sahihi kabisa, kila avenue inayoweza kutufikisha huko ni muhimu ikatumika, iwapo wananchi Takriban 5 Million wakisaini petition idadi ya kura za "Rais" ninahakika matokeo yake ni kuleta mtetemeko katika duru ya siasa za nchi, na walioshika rungu, kwa halali au la watalazimika kutekeleza. Hii ndio " Falsafa ya Nguvu ya Umma" . Hata hivyo some has to initiate the process, a courageous son or daughter of this land.Once again, thanks very much for this very creative idea, which is happening in other parts of the world.


Kuhusu kuscan sijukua kuhusu hilo lakini tunaweza kusema labda fomu hizo zipelekwa kwenye ofisi ya (taasisi) fulani tukawaomba watukusanyie
 
Kwetu sisi WATNZANIA tukiwa na KATIBA MPYA,inamaanisha UMOJA NA MSHIKAMANO,nguvu pekee itakayotuwezesha kupata maendeleo ya kasi kwa vyango vya Sita.ukiwa ndani ya nchi ya Tanzania.
Ujumbe huu uwafikie watu wote walioko nje ya nchi kwa sababu nyingi ikiwemo kukimbia ufukara wa Tanzania na maslahi kiduchu ya mishahara.
Nawasilisha.
Mungu ibariki Africa
Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom