Siyo kwa ubaya lakini!
Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!
Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!
Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!
Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!
Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!
1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!
2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!
Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!
Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!
Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!
Mungu anatupigania!
Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!
Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!
Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!
Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!
Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!
1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!
2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!
Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!
Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!
Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!
Mungu anatupigania!