Maendeleo ya mtu yana uzuri asilimia 30 tu zinazobakia asilmia 70 ni uchafu mtupu ambao hubaki siri yake maisha

Maendeleo ya mtu yana uzuri asilimia 30 tu zinazobakia asilmia 70 ni uchafu mtupu ambao hubaki siri yake maisha

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman!

Mungu anatupigania!
Labda wale wa mali za haraka haraka. Wazee na Wabibi wa get rich quick. Lakini kuna familia zimekuwepo kwenye biashara miaka na mikaka. Wana pesa. Pesa zao ni za kurithi. Kuna familia pia zimekuwepo kwenye siasa kwa muda mrefu. Hivi kwa mshahara wa waziri, akaimua kuwekeza kutoka mwaka hadi mwaka katika biashara zinazolipa haraka, hatajiriki? Unganisha na privilege waliyo nayo katika kukopa kwenye SACCOS na mabenki.
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
tuendelee kujifariji tupunguze msongo wa mawazo.
 
Labda wale wa mali za haraka haraka. Wazee na Wabibi wa get rich quick. Lakini kuna familia zimekuwepo kwenye biashara miaka na mikaka. Wana pesa. Pesa zao ni za kurithi. Kuna familia pia zimekuwepo kwenye siasa kwa muda mrefu. Hivi kwa mshahara wa waziri, akaimua kuwekeza kutoka mwaka hadi mwaka katika biashara zinazolipa haraka, hatajiriki? Unganisha na privilege waliyo nayo katika kukopa kwenye SACCOS na mabenki.
Watoto wa nyerere, warioba n.k tunakula nao mbilimbi huku mtaani kwasababu walifundishwa kula kwa aman na haki 30%!

Lakini wale viongozi nguchilo waliokwapua mali wanaweza rithisha visivyo halali kizazi hadi kizazi! Lakini laana itawatafuna kadri ya urithi wao
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
Acha uvivu na wivu weeeee
Fanya kazi tumia vizuri ubongo huo
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
Ujumbe maridhawa
 
Mh! Acheni wehu pesa inaraha yake tutafuteni hela sio Kila tajiri ni haramu usiwabweteshe watu wewe!..
Pesa tunatafta kwa haki na aman ndo tulichojaaliwa hiki asilimia 30% ....

Lakini zaidi ya hapo ni utapeli, ukahaba, magendo, madawa n.k ambavyo ni sehemu ya 70% ya utajili!

Huo ndo ukweli!
Mfano!
Kuna kelele za bandari! Wanaohusika wataendelea kuwa matajiri hadi vizazi vyao kwa pesa ya kunyonga!

Huu siyo upambanaji kama wetu Bali ni uhalamia!
 
kwamba 70% ya waliofanikiwa ni kwa njia haramu....hapo nitaomba utuwekee hizo takwimu zako.! Umezipataje na pia 30% kwanini kinyonge sana..!
 
MUNGU huyu huyu tunae muabudu ametoa Maelekezo(kwa aina yake) Namna gani ya ku'make Fortune alaf waumia Wake wanasema ooohh Money is dirty, Behind money there is evil nk. Hamuon kwamb mnamatatizo
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
Ni kweli wachache sana wanafurahia utajiri wao!
 
image_2023-08-05_144659366.png
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!

Haya mawazo mgando ndo uwa chanzo cha kukataa umaskini.
 
Back
Top Bottom