Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 606
- 1,110
Utajiri nyuma Yake Kuna uchafu ambao umefunikwa na kaniki nyeusi usionekane.
Achana na hizo negative mind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajiri nyuma Yake Kuna uchafu ambao umefunikwa na kaniki nyeusi usionekane.
Usikariri wewePesa tunatafta kwa haki na aman ndo tulichojaaliwa hiki asilimia 30% ....
Lakini zaidi ya hapo ni utapeli, ukahaba, magendo, madawa n.k ambavyo ni sehemu ya 70% ya utajili!
Huo ndo ukweli!
Mfano!
Kuna kelele za bandari! Wanaohusika wataendelea kuwa matajiri hadi vizazi vyao kwa pesa ya kunyonga!
Huu siyo upambanaji kama wetu Bali ni uhalamia!
Ukweli ndo huoUsikariri wewe
Ndivyo masikini mnavyofarijiana?
🤣🤣🤣🤣Acha kujifariji maskini wewe....nani havai chupi. Acha fikra za kimaskini na za kishirikina. Huo ni wivu wa kimaendeleo. Tafuta pesa na wewe....uchawi haupo. Labda useme ufisadi sawa...🤣Jamani eti analala chini. Ndo mnajidanganya eeSiyo kwa ubaya lakini!
Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!
Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!
Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!
Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!
Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!
1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!
2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!
Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!
Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!
Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!
Mungu anatupigania!
Ingawa sio wote lakini kuna Jamaa yangu alikuwa anaishi hapo Kariakoo mtaa wa mtambani. Alikuwa ni jambazi wa kimataifa lakini alikuwa anapendwa sana Msikitini ajabu.Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Nenda kaibeAcha kutufaliji kifara hamna faraja kwenye umasikini
Wana akili za kimaskini Sana,MUNGU huyu huyu tunae muabudu ametoa Maelekezo(kwa aina yake) Namna gani ya ku'make Fortune alaf waumia Wake wanasema ooohh Money is dirty, Behind money there is evil nk. Hamuon kwamb mnamatatizo
Kumbuka pia bibilia imeandika Tajiri kuuona ufalme wa Mungu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!Wana akili za kimaskini Sana,
Na vitabu vya dini vinasema kabisa
"Umaskini Ni laana"
"Mungu hafanyi maagano na maskini"
🤣Yaani watu wanaoamini uchawi ndo maskiniPunguza negativity mtoa mada,
Struggle is real na watu wanafanikiwa
Ungekua uchawi Ni deal
Sumbawanga, kigoma na gambosh kungeongoza kimaendeleo
Na matajiri kibao nchi hii wangetokea maeneo hayo kuthibitisha kauli zako.
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman!
Najaribu kufungua code hivi.Siyo kwa ubaya lakini!
Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!
Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!
Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!
Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!
Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!
1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!
2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!
Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!
Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!
Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!
Mungu anatupigania!
Watu laiti wangelijua kuna baadhi ya watu wamefika hapo kwa uchafu mwingi wangesikitikaNajaribu kufungua code hivi.
Una maana kus wanasuasa wamepigwa mti japo wanavaa suruali?
Miaka ya nyuma kidogo kuna mchezaji walikuwa wanadai kocha anamsukumia mti ili apate namba.
Haya niliyasikia kijijini kwao anvyokuja home hushiri ndondo.
Nimejaribu tu kufungua code.