Maendeleo ya mtu yana uzuri asilimia 30 tu zinazobakia asilmia 70 ni uchafu mtupu ambao hubaki siri yake maisha

Maendeleo ya mtu yana uzuri asilimia 30 tu zinazobakia asilmia 70 ni uchafu mtupu ambao hubaki siri yake maisha

Utajiri unamambo yake
Ebu fikiria kuna MTU anauzia udongo watu, hela za sadaka anakusanya kibao then anaenda kujenga hotel ...halafu waumini hawana pa kusalia
Cha kujiuliza yeye anapokusanya mafungu ya sadaka kwa watu!
Mbona yeye hatoi sadaka anakwenda kuzijengea hotel?
Utapeli
 
Wacha kukariri ndugu!!!
Naamini kama kila binadamu akitumia wakau 10% ya uwezo aliopewa na Mungu atakuwa na utajiri kama MO.Omba sana kujua kusudio la wewe kuja Duniani na upate kile ulichopangiwa.
 
Wacha kukariri ndugu!!!
Naamini kama kila binadamu akitumia wakau 10% ya uwezo aliopewa na Mungu atakuwa na utajiri kama MO.Omba sana kujua kusudio la wewe kuja Duniani na upate kile ulichopangiwa.
Umesema asilimia 10 mi nimekwambia 30% kabisa za kupata pesa kihalali!.
Zinazobakia ni utapeli, ufisadi, ushirikina,uhalamia na umalaya!

Mfano bosi anaaajiri watu wengi anawanyonga mishahara au kuwatapeli kabisa hawalipi, wengine humohumo wanasagwa na mitambo wanakufa kwa kafara!
Hakuna kiwanda kikubwa ambacho kinaweza endelea pasipo kumwaga dam ya MTU!
 
Umesema asilimia 10 mi nimekwambia 30% kabisa za kupata pesa kihalali!.
Zinazobakia ni utapeli, ufisadi, ushirikina,uhalamia na umalaya!

Mfano bosi anarajili watu wengi anawanyonga mishahara au kuwatapeli kabisa hawalipi, wengine humohumo wanasagwa na mitambo wanakufa kwa kafara!
Hakuna kiwanda kikubwa ambacho kinaweza endelea pasipo kumwaga dam ya MTU!
Ndiomana mimi nimekupa 10 % ndogo tu tena hata 5% tu ya uwezo tuliopewa na Mungu tukitumia hatutakufa Masikini,ni jambo dogo tu,Kujijua wewe ni nani?na kusudio la Mungu kwako
 
Watu wanaompinga mtoa mada mmefanikiwa au ndo walewale wenzangu na mimi
 
Yaani maskini hamuishi kujifariji...
 
Wacha kukariri ndugu!!!
Naamini kama kila binadamu akitumia wakau 10% ya uwezo aliopewa na Mungu atakuwa na utajiri kama MO.Omba sana kujua kusudio la wewe kuja Duniani na upate kile ulichopangiwa.
Hii nakubali mkuu, lakini sio mara zote kujua kusudi ndo kunakuletea utajiri, sometimes purpose inaweza ikawa kitu tofauti kabisa kisichoshabihiana na utajiri mfano healer, restorer, leader etc, japo kupata maisha mazuri kwako inakuwa rahisi vikwazo vichache, as you are aligned with your purpose
 
Kumbuka pia bibilia imeandika Tajiri kuuona ufalme wa Mungu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
Pia bibilia imeandika heri yao maskini wa roho....
You cannot wish for a house of Gold in Heaven while you have never touched Gold right here on Earth.

Mbingu Haipo.

Ukishindwa kuishi Duniani, Dhana ya mbinguni haipo ni ya kufikirika.
 
Watu wanaompinga mtoa mada mmefanikiwa au ndo walewale wenzangu na mimi
Wengine ndo walewale unakuta kasalary kanampagawisha, anabinua na midomo eti 'maskini wanajifariji, au unakuta yupo kwa shemeji yake sebuleni kapata bando.
Au ana vijipesa lakini kazipata kimazabe kwa uchafu wa roho mpaka mwili,watu wa design hii hata awe na pesa ya kula bata dunia nzima hawajawahi kuniinspire kwanza nikiwaona najiskia kinyaa, afu ndo unamkuta kakaza koo 'tafuteni hela vijana' 🤮🤮
 
You cannot wish for a house of Gold in Heaven while you have never touched Gold right here on Earth.

Mbingu Haipo.

Ukishindwa kuishi Duniani, Dhana ya mbinguni haipo ni ya kufikirika.
Kuna watu wana pesa za kawaida tu lakini wanaenjoy heaven on earth, na kuna matajiri wenye pesa ndefu and they are always in hell.
Heaven and hell its just a state of mind, it depends with your definition of what is true peace and happiness
 
Watu wanajivunia umaskini badala ya kuupiga vita!
 
Kuna Mh mmoja ambae ni mkuu wa wilaya fulani,mpaka hapo alipofika kutoka mwenyekiti wa kitongoni mpaka ukuu wa wilaya asilimia [emoji817] waganga ndio wamemfikisha hapo,nimeshuhudia kwa macho yangu
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
Kusema waliofsnikiwa, mali, zao 70℅ni, maghumashi na ushirikina, ni fikra potofu sana, kuna watu wanaamini pesa ni ovu!! Imani kama hizi, ni Imani zilizokufa,
Hazileti changamoto, upo uwezekano wa kuwa na ukwasi bila dhuluma yoyote. Kwa kazi za mikono yako,
Nimeweza kukusanya ukwasi makubwa(kwa viwango vya bongo), kwa kuanzia na ajira mbuzi, ajira kwenye makampuni makubwa, na sasa kwenye mashirika ya UN, nje,
Nimefungua kampuni,
Nilinunua plot, Dodoma 2008!, kwa, 2M, nikaiuza kwa mfanya biashara mkubwa kwa 500M! Mwaka 2019!! Sasa, hapo,nimemshulumu nani?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
Naomba tu nikushauri, kinachokufanya usiendelee ni mawazo yako haya hasi...Si Kila aliyefanikiwa kafanikiwa kama ulivyoandika, wapo watu wametumia uwezo wao wa akili walizojaliwa wakachanganya na baraka za Mungu wakafanikiwa kupindukia. Mawazo kama haya hayawezi kukufanya uthubutu kujiendeleza kwakua unawaza kinyume na mafanikio
 
Naomba tu nikushauri, kinachokufanya usiendelee ni mawazo yako haya hasi...Si Kila aliyefanikiwa kafanikiwa kama ukivyoandika, wapo watu wametumiwa uwezo wao wa akili walizojaliwa wakachanganya na baraka za Mungu wakawafanikiwa kupindukia. Mawazo kama haya hayawezi kukufanya uthubutu kujiendeleza kwakua unawaza kinyume na mafanikio
Nitajie tajiri ambaye hana makando kando nikujuze
 
Siyo kwa ubaya lakini!

Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!

Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!

Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!

Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!

Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!

1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!

2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!

Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!

Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%

Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!

Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!

Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!

Mungu anatupigania!
Masikini kwa kujifariji hatari sana
 
Back
Top Bottom