Ebu fikiria kuna MTU anauzia udongo watu, hela za sadaka anakusanya kibao then anaenda kujenga hotel ...halafu waumini hawana pa kusaliaUtajiri unamambo yake
Umesema asilimia 10 mi nimekwambia 30% kabisa za kupata pesa kihalali!.Wacha kukariri ndugu!!!
Naamini kama kila binadamu akitumia wakau 10% ya uwezo aliopewa na Mungu atakuwa na utajiri kama MO.Omba sana kujua kusudio la wewe kuja Duniani na upate kile ulichopangiwa.
Ndiomana mimi nimekupa 10 % ndogo tu tena hata 5% tu ya uwezo tuliopewa na Mungu tukitumia hatutakufa Masikini,ni jambo dogo tu,Kujijua wewe ni nani?na kusudio la Mungu kwakoUmesema asilimia 10 mi nimekwambia 30% kabisa za kupata pesa kihalali!.
Zinazobakia ni utapeli, ufisadi, ushirikina,uhalamia na umalaya!
Mfano bosi anarajili watu wengi anawanyonga mishahara au kuwatapeli kabisa hawalipi, wengine humohumo wanasagwa na mitambo wanakufa kwa kafara!
Hakuna kiwanda kikubwa ambacho kinaweza endelea pasipo kumwaga dam ya MTU!
Hii nakubali mkuu, lakini sio mara zote kujua kusudi ndo kunakuletea utajiri, sometimes purpose inaweza ikawa kitu tofauti kabisa kisichoshabihiana na utajiri mfano healer, restorer, leader etc, japo kupata maisha mazuri kwako inakuwa rahisi vikwazo vichache, as you are aligned with your purposeWacha kukariri ndugu!!!
Naamini kama kila binadamu akitumia wakau 10% ya uwezo aliopewa na Mungu atakuwa na utajiri kama MO.Omba sana kujua kusudio la wewe kuja Duniani na upate kile ulichopangiwa.
You cannot wish for a house of Gold in Heaven while you have never touched Gold right here on Earth.Kumbuka pia bibilia imeandika Tajiri kuuona ufalme wa Mungu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
Pia bibilia imeandika heri yao maskini wa roho....
Wengine ndo walewale unakuta kasalary kanampagawisha, anabinua na midomo eti 'maskini wanajifariji, au unakuta yupo kwa shemeji yake sebuleni kapata bando.Watu wanaompinga mtoa mada mmefanikiwa au ndo walewale wenzangu na mimi
Kuna watu wana pesa za kawaida tu lakini wanaenjoy heaven on earth, na kuna matajiri wenye pesa ndefu and they are always in hell.You cannot wish for a house of Gold in Heaven while you have never touched Gold right here on Earth.
Mbingu Haipo.
Ukishindwa kuishi Duniani, Dhana ya mbinguni haipo ni ya kufikirika.
Siyo kujivunia umasikini Bali kuyapokea matokeo ya ulichonacho kwa aman! Siyo kutaman vilivyo haramWatu wanajivunia umaskini badala ya kuupiga vita!
Hapana! Ukineng'eneng'eka kutamani vitu ambavyo huna uwezo navyo unaweza iba ...rejea Uzi wa Omughaka!Mbona kama umekata tamaa mkuu?
Kusema waliofsnikiwa, mali, zao 70℅ni, maghumashi na ushirikina, ni fikra potofu sana, kuna watu wanaamini pesa ni ovu!! Imani kama hizi, ni Imani zilizokufa,Siyo kwa ubaya lakini!
Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!
Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!
Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!
Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!
Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!
1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!
2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!
Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!
Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!
Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!
Mungu anatupigania!
Naomba tu nikushauri, kinachokufanya usiendelee ni mawazo yako haya hasi...Si Kila aliyefanikiwa kafanikiwa kama ulivyoandika, wapo watu wametumia uwezo wao wa akili walizojaliwa wakachanganya na baraka za Mungu wakafanikiwa kupindukia. Mawazo kama haya hayawezi kukufanya uthubutu kujiendeleza kwakua unawaza kinyume na mafanikioSiyo kwa ubaya lakini!
Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!
Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!
Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!
Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!
Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!
1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!
2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!
Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!
Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!
Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!
Mungu anatupigania!
Nitajie tajiri ambaye hana makando kando nikujuzeNaomba tu nikushauri, kinachokufanya usiendelee ni mawazo yako haya hasi...Si Kila aliyefanikiwa kafanikiwa kama ukivyoandika, wapo watu wametumiwa uwezo wao wa akili walizojaliwa wakachanganya na baraka za Mungu wakawafanikiwa kupindukia. Mawazo kama haya hayawezi kukufanya uthubutu kujiendeleza kwakua unawaza kinyume na mafanikio
Masikini kwa kujifariji hatari sanaSiyo kwa ubaya lakini!
Naomba kuwatia moyo wenye uwezo mdogo kama mimi wa ugali na dagaa na tembele!
Ukweli ni kwamba sisi tuko bora kuliko hao wanaoonrkana wamefanikiwa!
Tunachofanya ni halali, tunachochuma ni jasho la haki tunagawana na familia maisha yanasonga!
Wanaoonekana wamefanikiwa sana wala siyo wa kuwaonea gere! Wengi wao ni wa kuwahurumia kwa upande mwingine!
Uhalali wa mali zao walizochuma kwa wema ni 30% tu...hizo zingine ni uchafu mtupu, ufisadi, umalaya, ukahaba, wizi, magendo hata ushirikina ni sehemu ya 70% ya mali zao!
1. Wapo wafanya biashara wakubwa wanaishi kwa nguvu za waganga tu, wanalala chini, hawavai chupi ..nguo moja au marufuku zingine!
2. Kuna wanasiasa tunawatamani Leo kisa wamelamba uteuzi, lakini yaliyowahi kuwakuta kabla ya kuteuliwa ukisimuliwa utabakia mdomo wazi! Uchawi, kuchapika na mengine mengi wamepitia wrngine walikwapuamo na magonjwa!
Kiufupi wengi waliofanikiwa sana tusichekelee juu juu kwa mali walizo nazo laiti kama tungejua chimbuko la mali zao tungewapiga marufuku hata kutoa sadaka misikitini na kanisani!
Machoni tunawaaeshimu sana sana! Lakini mafanikio yao yana ufusika kwa 70%
Sisi ni bora kuliko wao hata kama tumefulia lakini familillah siku zinasonga kwa aman ya 30%!
Tukiamua wote tuifanye ile asilimia 70% dunia itatikisika, amani itapotea, nch itatikisika!
Hivyo 30% ya aman ni bora kuliko 70% yao isiyojulikana!
Mungu anatupigania!