mkuu mi nakubaliana na wewe shida ni ubia na ubia uliingiwa wakati wa utawala wa kikwete.kuna mambo ya hovyo kabisa yalikuwa yanafanyika.
unaona mambo hayakai sawa kwenye mwendo kasi sababu ni mikataba iliyosainiwa wakati wa kikwete.
embu fatilia mgogori wa udarts na maxmalipo pamoja na serikali utapata mwanga.kuna wakati udarts waliishtaki serikali sababu ni mikataba ya kihuni.
kikubwa tuombe mungu amzidishie magu umakini ili sgr mambo yawe safi.
mm natamani niishi moro lkn shughuli zangu zibaki dar.
treni ya umeme itatimiza ndoto yangu asubuhi na mapema nipo dar jioni nalala moro
Sent using
Jamii Forums mobile app