Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.
Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?
Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza
1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?
Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?
2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?
Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?
Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?
Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?
Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?
Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza
1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?
Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?
2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?
Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?
Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?
Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?
Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.