Maeneo maalumu yenye kitimoto nzuri Mbezi Beach Tegeta na Kunduchi

Wacha kuhamisha goli. Hiyo uliyonukuu hapa haijibu hoja yangu kwenye Matendo 10:14-15
 
We nenda ruddies farm kule bahari beach ukale mdudu wa kwiango cha maglev achana na hayo maeneo ya kiporipori
 
Mwaisa walawi ndo wameambiwa wasile mi ni mnyakyusa mwaisa lazima nile kitimoto... Walawi na wanyakyusa wapi na wapi? Hao ni walawi na mimi ni mnyakyusa mwaisaa...
 
Mkuu huko gharama zake zikoje?
Ni maeneo gani hasa?
Unaenda hadi karibu na budget, then unafuata njia ya ledger plaza ukifaka ledger plaza unafuata njia ya vumbi kushoto utafika huko. utakuta wazungu na familia zao huko. Bei inacheza humo au zaidi kidogo. Niliacha kula mdudu miaka kadhaa iliyopita so sina hakika wa bei hata nikienda huko nakula tu nyama nyingine si mdudu mkuu.
Nenda utakuja kunishukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…