Maeneo nane yatakayofadhiliwa na Samia Scholarship

Maeneo nane yatakayofadhiliwa na Samia Scholarship

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Kuleta mageuzi katika sekta ya sayansi na teknolojia kupitia Samia Scholarship. Ufadhili huo wa miaka mitatu hadi mitano utawanufaisha wanafunzi kwenye maeneo haya nane:

Samia Scholarship itatoa Ufadhili wa
1. Ada ya mafunzo
2. Posho ya chakula na malazi
3. Bima ya afya
4.Vifaa saidizi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu
5. Mafunzo kwa vitendo
6. Tafiti
7. Posho ya vitabu na viandikwa
8. Mahitaji maalumu ya vitivo kwa miaka 3 - 5

Lengo ni kuimarisha sekta ya elimu hasa katika sekta ya sayansi na teknolojia.
 
Kuleta mageuzi katika sekta ya sayansi na teknolojia kupitia Samia Scholarship. Ufadhili huo wa miaka mitatu hadi mitano utawanufaisha wanafunzi kwenye maeneo haya nane:

Samia Scholarship itatoa Ufadhili wa
1. Ada ya mafunzo
2. Posho ya chakula na malazi
3. Bima ya afya
4.Vifaa saidizi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu
5. Mafunzo kwa vitendo
6. Tafiti
7. Posho ya vitabu na viandikwa
8. Mahitaji maalumu ya vitivo kwa miaka 3 - 5

Lengo ni kuimarisha sekta ya elimu hasa katika sekta ya sayansi na teknolojia.
Anatafuta kura ila hapiti 2025, KWANZA huu ni ubaguzi ndani ya nchi ,utakuta wamejazana watoto wa makada ya chama,hakuna jipya
 
Anatafuta kura ila hapiti 2025, KWANZA huu ni ubaguzi ndani ya nchi ,utakuta wamejazana watoto wa makada ya chama,hakuna jipya
Ufaulu ndio sababu kubwa ya kuchaguliwa kama kweli mdogo wako anaufauluhu huo unaoitajika na hajachaguliwa hata mimi ntakusapot kulalamika
 
HIZO HELA NI KODI YA WANANCHI AU KATOA MUMEWE AMEIR?

SIASA CHAFU HIZO, PELEKENI HIZO HELA LOAN BOARD!!!
Bodi ya mikopo inaendelea kufanya kazi yake na Samia Scholarship inafanya kazi yake ya kuwa inspire wanafunzi wengi wasome masomo ya sayansi ili badae Tanzania tuwe na wataalamu wengi wa sayansi na technolojia
 
Hongera kwake ni jambo zuri likifanywa kwa weledi na kuchukua watu wenye vigezo.

NB:- Naomba kujua chanzo/vyanzo vya fedha ya udhamini .
 
Yaap...asaivi tuna wasomi wakutosha hapa mtaani kwetu
Mama ameamua kupambana na ujinga na umasikini ndio maana nguvu kubwa kaiweka kwenye sekta ya elimu watanzania wengi wakiwa na elimu hasa ya technolojia tutafika mbali sana
 
Hongera kwake ni jambo zuri likifanywa kwa weledi na kuchukua watu wenye vigezo.

NB:- Naomba kujua chanzo/vyanzo vya fedha ya udhamini .
Haswaa Samia Scholarship imefata vigezo bila upendeleo
 
Mama ameamua kupambana na ujinga na umasikini ndio maana nguvu kubwa kaiweka kwenye sekta ya elimu watanzania wengi wakiwa na elimu hasa ya technolojia tutafika mbali sana
Ni jambo zuri sana hili, kwani hata hayati, Mwl. Nyerere alisema tuna maadui 3 ambao ni maradhi, umasikini na ujinga, ila serikali kama kweli inataka kufanikisha hili la elimu basi ihakikishe kunakuwa na rasilimali watu wa kutosha, vifaa bora vya ujifunzaji, mazingira bora n.k. Nasema hivi kwa kuwa juzi hapa kuna mkuu wa wilaya alijitokeza na kudai katika wilaya yake kuna uhaba mkubwa wa wstumishi(Walimu) katika shule za msingi, jambo ambalo linasababisha wanafunzi wamalize shule bila kujua kusoma na kuandika.
 
Back
Top Bottom