Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kodi inazidi mapango ya kkoo mara 5[emoji1787][emoji1787]Aisee
Tutawajazia vibanda kando kando ya mjengo wao...wanayataka wenyeweNilitaka niombe ...kumbe hali ndio hiyo. Basi ngoja niende tu kufuga kuku.
Watu watachukua kwa wenge lakini baada ya miezi 6 ya mwanzo watajiengua mmoja baada ya mwingineWatakosa watu hzo Bei sio user friendly kwa majority ya watu wengi na hii vyuma kukaza tena
This is just a beginning...!
Nadhani wamewalenga makampuni makubwa kama ya simu na mabank..waweke shops zao n.kMbona sasa balaa
Ukabaila sasa huuNadhani wamewalenga makampuni makubwa kama ya simu na mabank..waweke shops zao n.k
Hasara tu kwa hzo Bei kwa mzunguko gani wa hela uliopo mtaaniWatu watachukua kwa wenge lakini baada ya miezi 6 ya mwanzo watajiengua mmoja baada ya mwingine
Mimi naishi hatua chache kutoka hapo stand lakin najiona nikitega kwa nje humo ndani sitoingia kabisaNdo njia yangu hapo kila siku lakini wala sijajisumbua hata kuulizia, naona majirani. Na watu kibao wakihangaika hapo kupata nafasi
Mie nasubiri nje niweke kibanda chap na ID yangu[emoji16]Mimi naishi hatua chache kutoka hapo stand lakin najiona nikitega kwa nje humo ndani sitoingia kabisa
Hata mimi naona, huko ndani faida kidogo kodi kubwaMimi naishi hatua chache kutoka hapo stand lakin najiona nikitega kwa nje humo ndani sitoingia kabisa