Nyominyomi
Member
- Oct 28, 2020
- 11
- 11
Duh hatari sana hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hii inahusiana vipi na mada iliyopo hapa mkuu?Kipindi tunanunua viwanja hii njia ya Makabe si mlikuwa mnapaita Mbezi shamba nyinyi sasa acha muisome namba M effectively!
We hata huelewi kinachoongelewaKipindi tunanunua viwanja hii njia ya Makabe si mlikuwa mnapaita Mbezi shamba nyinyi sasa acha muisome namba M effectively!
We hata huelewi kinachoongelewa
Kuna akili huwa zinaitwa "Akili za Kujiongeza".Sasa hii inahusiana vipi na mada iliyopo hapa mkuu?
Kina nini Embu tuambie hapa hapa maana nafasi ya kwenda huko ndio shidaMachinga complex ilikua hivi hivi wafanyakazi na watu wenye nafasi walijimilikisha vibanda matokeo yake kila mtu anayaona. Ambae hajui aende hata sasa hivi akaangalie
Jane Lowassa alipotelea wapi?We hata huelewi kinachoongelewa
My dear. Machinga complex is a white elephantKina nini Embu tuambie hapa hapa maana nafasi ya kwenda huko ndio shida
Mkuu. Hazifungwi. Nasikia watu watatoka mjini na Masaki kuja kufanya shopping Mbezi LuisHizo frem baada ya miezi sita ya mwanzo nyingi zitafungwa
Ndo njia yangu hapo kila siku lakini wala sijajisumbua hata kuulizia, naona majirani. Na watu kibao wakihangaika hapo kupata nafasi
Haaaaa Haaaaa 😂, jamaniBasi wewe jirani yangu
Mimi nina kitambulisho cha machinga si ninaruhusiwa kurandaranda humo ndani nikifanya biashara zangu ?