Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hicho kinaenda kutokea soko jipya la MagomeniMachinga complex ilikua hivi hivi wafanyakazi na watu wenye nafasi walijimilikisha vibanda matokeo yake kila mtu anayaona. Ambae hajui aende hata sasa hivi akaangalie
Mm natumia ile rough rd inayoanzia roundabout ya Goba kupitia ARAFA & stand mpya mpk kwa Yusuf ...Haaaaa Haaaaa [emoji23], jamani
Umenikumbusha Ile hoteli pale Magomeni njia ya Kigogo. Sidhani Kama ilishapokea wageni ishirini kwa sikuKama hicho kinaenda kutokea soko jipya la Magomeni
Hii Nchi ina white elephants nyingi sanaUmenikumbusha Ile hoteli pale Magomeni njia ya Kigogo. Sidhani Kama ilishapokea wageni ishirini kwa siku
Na. Mimi ndo hiyo hiyo huenda tunapishanaga njian vile hatujuani tuMm natumia ile rough rd inayoanzia roundabout ya Goba kupitia ARAFA & stand mpya mpk kwa Yusuf ...
Nami
Na. Mimi ndo hiyo hiyo huenda tunapishanaga njian vile hatujuani tu
JiraniHaaaaa Haaaaa [emoji23], jamani
Wajinga sana hawaFrem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi...hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali,faidan n.k
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.View attachment 1628738View attachment 1628740View attachment 1628744
Mkuu hii taarifa inapatikana wapi?Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi...hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali,faidan n.k
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.View attachment 1628738View attachment 1628740View attachment 1628744
Ni game of chance tu hiyo usitambe sana ! Kuna wenzetu wanalia stend inapohama ubungo kwa uwekezaji walioufanya pale , analgalia yale mahoteli makubwa pale kando na ubungo terminal, wakati stendi zinahamia pale kutoka kisutu na mnazi mmoja walikuwa katika position Kama yako.Kuna akili huwa zinaitwa "Akili za Kujiongeza".
Mwaka 2009 - 2012 viwanja Mbezi Luis (Mbezi shamba mlivyokuwa mkiita) vilikuwa havifiki hata million 3 kwa eneo ilipojengwa stand hadi bar ya Tononeka, kupandisha mnarani ukishuka darajani (njia ya kwenda Makabe) ndio hata 1M ulikuwa unapata kiwanja kizuri tu.
Mkahangaika na Kigamboni pamoja na Chanika, leo hii mnapangishiwa vyumba vya biashara kwa bei hiyo mnalalama NI UJINGA tena mkae kwa kutulia kabisa.
Njoo kwenye frem zetu hapa Arapha dispensary tukunyooshe pia hutaki ACHA
Shopping waache mlimani city wake mbezi ? Hata wewe unasadiki Jambo hilo?Mkuu. Hazifungwi. Nasikia watu watatoka mjini na Masaki kuja kufanya shopping Mbezi Luis
Pangisha.tamisemi.co.tzMkuu hii taarifa inapatikana wapi?
Hapa ndo utaaamini uchawi upoKodi inazidi mapango ya kkoo mara 5[emoji1787][emoji1787]