Maeneo ya biashara Mbezi Louis stendi mpya walengwa ni kina nani?

One square meter Ni 399000 hivi mlimani city wamefika Bei hiyo.
It should be 3,990 kwa mita mraba otherwise .......
 
Na hapo ukute wenyewe ndio wenye kumiliki hivyo vyumba. Na hapo eti wanamjali mwananchi masikini. Hivi kuna watu wamekubali kuingia mkenge wa kupanga hivyo vyumba? Na kwa hali ya kibiashara ilivyo ngumu na mbaya kwa sasa nchini sidhani kama kuna mtu ataingia mkenge. Hii ilitokeaga soko jipya la mwanjelwa mbeya. Wakapanga bei kama hizo. Lakini unawafahamu mbeya?. Soko mpaka leo lipo lipo tu pamoja na zuri na eneo la kibiashara. Pamoja na kuendelea kushusha bei,bado hakujapendeza
 
Tangu lini serikali ikawa na bei kubwa namna hii, acheni wanyonge nao wafaidike angalau kwa bei ya buku 5 nao wapangishe kwa watu wengine. Ukifuatilia kwa karibu utakuta wameshajimilikisha wenyewe na ndugu zao..
 
Hapo n kutembeza biashara zako tuu ndan ya stand
 
Ni game of chance tu hiyo usitambe sana ! Kuna wenzetu wanalia stend inapohama ubungo kwa uwekezaji walioufanya pale , analgalia yale mahoteli makubwa pale kando na ubungo terminal, wakati stendi zinahamia pale kutoka kisutu na mnazi mmoja walikuwa katika position Kama yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…