Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na watapigwa kwel...kaeneo kamoja wanapewa watu watano mtajuana wenyewe huko baadaeWageni mtaumizwa safari hiii na mawenge ya kukimbilia mbezi hadi akili iwakae sawa
kuna mtu huko nimemsoma anadai eneo mbezi milioni 1,nasema hivi wageni karibuni mbezi.
Kazi kwelikweli[emoji23][emoji23][emoji23]Maeneo mbezi yanakodishwa hayauzwi maana vile sio viwanja,sasa jichanganyeni
mkanunue eneo halafu jiaminishe eti ni kwako moja kwa moja,acheni kuingizwa chaka nyie.
Hizo hotel zinaitwa 5star kwa sababu , moja ya sababu ni location ilipo, kwenda tu airport kutoka mbezi ni changamotonajua sana tatizo wewe unaona hiteli ya hadhi ya nyota 5 haiwezi kujengwa nje ya mji! umezoea kuona hoteli hizo masaki, lkn pia inawezekana kujenga maeneo hayo na wataja wakapatikana tena wengi sana,
nataka kuwekeza hoteli au sehemu ya michezo ya watoto kama ilivyo Fumba zenji.
Mimi staki walaYaaah...unataka kuweka nini?
Hiyo ni sh ngap kwa mwezi? Maana hata sijaelewaEneo la bar hiloo..lipo floor ya nne juu kabisa kule, haya wenye mtonyo wanakaribishwaaView attachment 1629914
Wanyonge hoyee!!Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi...hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali,faidan n.k
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.View attachment 1628738View attachment 1628740View attachment 1628744
Ahaa tumpe mitano tena atarekebisha.Nilitaka niombe ...kumbe hali ndio hiyo. Basi ngoja niende tu kufuga kuku.
Milion 17 kwa mwezi..ni eneo kubwa kidogo mita 20 kwa 18 hiviii....si unajua bar inavitu vingi, kaunta majiko,kaeneo kakuweka mziki na jukwaa dogo,maeneo ya kukaa watejaa n.k...Hiyo ni sh ngap kwa mwezi? Maana hata sijaelewa
kaimbe tu, wanasisiemu mnapewa bure. nenda na kadi yako ya chama.Nilitaka niombe ...kumbe hali ndio hiyo. Basi ngoja niende tu kufuga kuku.
Milion kumi na saba kwa mwezi? Hiyo hela unajenga nyumba kabisa inaishaMilion 17 kwa mwezi..ni eneo kubwa kidogo mita 20 kwa 18 hiviii....si unajua bar inavitu vingi, kaunta majiko,kaeneo kakuweka mziki na jukwaa dogo,maeneo ya kukaa watejaa n.k...
lakini ndipo stendi kuu ilipo jengwa, taka usitake lazima utafika tu kupata huduma ya usafiri na ikibidi utataka na malazi.Hizo hotel zinaitwa 5star kwa sababu , moja ya sababu ni location ilipo, kwenda tu airport kutoka mbezi ni changamoto
nimeuza miti yangu huku mafinga
Umeuza miti heka ngap boss, maana hotels za five stars ✨ uwe na kama bilion mbili na zaidinimeuza miti yangu huku mafinga