Akakutane na mishangaziNenda Miami night Club, au kule Miyomboni. Kuna ka bar fulani hivi kako ghorofani. Kuna siku nilienda kuchungulia, halafu nikaondoka.
Pia jirani na chuo cha Rucu kuna Bar moja nayo iko na vibe sana! All in all, ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
Ata isipochukuliwa mpaka sasa kwako imekusaidia nini; ni sawa na mtu akushawishi nenda kalinde kura huku yeye akiwa na familia yake πKwa vijana wapumbavu kma wewe bora bandarini ichukuliwe
Si anataka starehe. Au aende Pawaga kule kwenye majaruba ya Mpunga.85 zote hzo jama
Mdudu napiga sanaMduduz aiseee
M ndo mana naonaga bora nijifungie ndan na movieSi anataka starehe. Au aende Pawaga kule kwenye majaruba ya Mpunga.
Kubadilisha mazingira kuna faida yake, kimwili na kiroho; sema yes, twende πMateso yote ya nn wakat dar tunalala na mtandio mwepesi
Tuma nauli, ya kula njiani usisahau na ya kutolea......kutoka huku nilipo mpaka IringaππππKama unayajua hayo machimbo njoo uniongoze π π
Ebu nipatie abc za hao mashangazi wa huko?Akakutane na mishangazi
Majarubani kunaonekana usalama ni mdogoSi anataka starehe. Au aende Pawaga kule kwenye majaruba ya Mpunga.
Aje ang'olee Mpunga huku pawaga.M ndo mana naonaga bora nijifungie ndan na movie
Jiran na Rucu in Essence, pale miyomboni ni WarmUp alafu Mlandege ni Miami... Nimepita kote huko aisee....Nenda Miami night Club, au kule Miyomboni. Kuna ka bar fulani hivi kako ghorofani. Kuna siku nilienda kuchungulia, halafu nikaondoka.
Pia jirani na chuo cha Rucu kuna Bar moja nayo iko na vibe sana! All in all, ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
π π kiasi ganiTuma nauli, ya kula njiani usisahau na ya kutolea......kutoka huku nilipo mpaka Iringaππππ
Wapi unaipa 100%Jiran na Rucu in Essence, pale miyomboni ni WarmUp alafu Mlandege ni Miami... Nimepita kote huko aisee....
Hayo mambo december sio juneKubadilisha mazingira kuna faida yake, kimwili na kiroho; sema yes, twende π
Kila la kheri kwakeAje ang'olee Mpunga huku pawaga.
Kwa nini isiwe sasa?; kumbuka tunaugawa mwaka; tusitafute na tukasau kuishi piaHayo mambo december sio june
Natokea Zanzibar π€¦π€¦π€¦piga mahesabu hapo chap tia JF pesa nije navigatorπ π kiasi gani
Weka hesabu hapa mezani π πNatokea Zanzibar π€¦π€¦π€¦piga mahesabu hapo chap tia JF pesa nije navigator
Hapo sehem kibao alizotaja zilishafungwaHapo kwa wazungu nadhani patanifaa zaidi, naweza bahatisha pisi kali ya kigeni ππ