Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Shuka za kimasai 20,nafika mkuu😎Weka hesabu hapa mezani 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shuka za kimasai 20,nafika mkuu😎Weka hesabu hapa mezani 😀 😀
Kwa mm goals hazijasettle december uhakikaKwa nini isiwe sasa?; kumbuka tunaugawa mwaka; tusitafute na tukasau kuishi pia
Asante sana mkuuWarm up boss Pana vibe totoz kibao Leo Sina maisha ningekua hapo
Tatizo lilikuwa nini, mauzo au?Hapo sehem kibao alizotaja zilishafungwa
Haina shida, muhimu ni mipango tu; ila ukiwa bored nicheki tujumuike kwenye karamu ya bwwana 😀Kwa mm goals hazijasettle december uhakika
Huku kwetu shuka za kimasai ni sh. 1200Shuka za kimasai 20,nafika mkuu😎
🔥 Chair.Usisahau vibanda vya ccm...
Umenitisha sana mkuu, itabidi nitoke na pisi yangu huku town niende nayo 😀Kumbuka takwimu zipo juu sana huko
Hilo ndio dili, halafu gharama huwa zinapungua sana unajukuta unasaveUmenitisha sana mkuu, itabidi nitoke na pisi yangu huku town niende nayo 😀
Upepo ulikataTatizo lilikuwa nini, mauzo au?
LiHapo sehem kibao alizotaja zilishafungwa
Muhimu uvae ndom tu bloanguEbu nipatie abc za hao mashangazi wa huko?
Ushindwe wewe tu Equation x fanya kweli aisee.Shuka za kimasai 20,nafika mkuu😎
Uko sahihi; waswahili wanasema, zimwi likujualo halikuli likakwishaHilo ndio dili, halafu gharama huwa zinapungua sana unajukuta unasave
Kamaanisha 10,000×20 Mzee=200,000/=Huku kwetu shuka za kimasai ni sh. 1200
Kitwiru?Kitwiru ndo namba moja