Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,327
- 2,041
Hawa uliowataja huwa wanaenda viwanja kula bata au kuswali??Kwa
Hee!kwani waislamu hawaendagi Viwanja?
Diamond
Ally Kiba
Harmonize
Wema sepetu
Na wenzao kibao sio waislam Hawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa uliowataja huwa wanaenda viwanja kula bata au kuswali??Kwa
Hee!kwani waislamu hawaendagi Viwanja?
Diamond
Ally Kiba
Harmonize
Wema sepetu
Na wenzao kibao sio waislam Hawa?
Watakuwa hawaendi kula bata,watakuwa waenaenda kula kitimotoHawa uliowataja huwa wanaenda viwanja kula bata au kuswali??
Sasa! Kumbe unajua.Watakuwa hawaendi kula bata,watakuwa waenaenda kula kitimoto
Unasafirishwa kama kifurushi[emoji1]Ntumie nauli nije tuvibe wote, tuma kwa namba hii....
Miami ishafunguliwa since wiki ya Jana mkuu. Ila vibe limepungua coz kuna raia alipigwa na mabaunsa akafa . It wasn't ukarabati as such .. walikua wanatuliza mamboMiami kwasasa imefungwa kwasabau ya ukarabati lakini kwa pembeni kidogo kuna chuma kingine kimefungulia hivi karibuni kinaitwa loyal tour kipo viwanja vya samora hakika hutojutia kufika pale .
Poa poa.Utanicheki basi
Hawafai hao, wale wanaoanzia 50k kidogo wanakuwa afadhaliHapo hapo town Kuna kijiwe kinaitwa utulivu mwembe togwa,pale utapata Hadi wale wa afu 3,supu safi ya bobi,na yokozuna za kushato.
Kwa leo nimeenda warmup, miami,royal lakini mazingira si rafiki, nikaishia pale ccm kula mdudu na mvinyo, kwa summary naona pale penye mdudu ndio pako poa kiasi.Shida ya Iringa ni uhaba wa madem, ila kwa viwanja huwa napenda kukaa WarmUp (Zamani palijulikana kama shooters) atleast kuna vibe standard, ila kiwanja cha Miami huwa naona hakina tofauti sana na Lambo bar ya manzese. Kitimoto huwa natafuna kwa geofrey hapo vibanda vya Ccm. Mji wa Iringa una hali ya hewa nzuri
Warmup ijumaa & JumamosiKwa leo nimeenda warmup, miami,royal lakini mazingira si rafiki, nikaishia pale ccm kula mdudu na mvinyo, kwa summary naona pale penye mdudu ndio pako poa kiasi.
Kwa ujumla, ukanda huu hakuna pisi kali.
Nenda Miami night Club, au kule Miyomboni. Kuna ka bar fulani hivi kako ghorofani. Kuna siku nilienda kuchungulia, halafu nikaondoka.
Pia jirani na chuo cha Rucu kuna Bar moja nayo iko na vibe sana! All in all, ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
Zipo. Maarufu kuliko zote ni Miami Night club. Hiyo sehemu, usiku ni kama asubuhi/mchana tu.hiv hakuna night club iringa
Iringa ni mji wa ovyo japo ni pazuri hapo mjini kati na mji ni mdogo sana, hauna vibe, ukitoka zaidi ya 2km from cbd unakutana mapori, vichana na milima yenye ukame, kwa ufupi mikoa ya nyanda za juu kusini na kusini yenyewe ni ovyo kabisaa.Mbona hunicheki, Iringa imepoa sana 😀 😀
Ukanda wote wa nyanda za juu kusini na mikoa yote ya kusini ni takataka, nachukia sana hii serikali kunipeleka huko ni sawa na kunipeleka jehanam, naomba tu Mungu aninusuru na huku.Kwa leo nimeenda warmup, miami,royal lakini mazingira si rafiki, nikaishia pale ccm kula mdudu na mvinyo, kwa summary naona pale penye mdudu ndio pako poa kiasi.
Kwa ujumla, ukanda huu hakuna pisi kali.