Mafanikio ya Mataifa ya China, Urusi na Iran ndio chanzo cha mivutano ya kisiasa baina ya nchi za Magharibi

Mafanikio ya Mataifa ya China, Urusi na Iran ndio chanzo cha mivutano ya kisiasa baina ya nchi za Magharibi

Soaiod

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
469
Reaction score
888
Hivi karibuni tumeshuhudia kiasi kikubwa cha fedha kutoka taifa la kubwa la marekani kuzisaidia nchi za Ukraine, Israel na Taiwan, lakini kwa kuangalia kwa jicho lingine ni kama ili kudili vizuri na na hawa new rising power wanatengenezewa kwa makusudi migogoro ya kisiasa na nchi ambazo ni majirani zao lengo likiwa ni kuwavuta shati ili wasisonge mbele kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.

Sasa ole wako wewe taifa jipya ujichanganye uazishe vita na Jirani yako utakoma ,ndio kama tunayo yaona sasa kati ya Urus na Ukraine.

Kama Urus ingekuwa sio nchi yenye raslimali za kutosha ambazo zina demand kubwa katika nchi za Ulaya, Asia na Africa pasina shaka pumzi ingekuwa ishamuishia mpaka sasa, katika gharama za kuendesha vita hii.

Iran na China ni kama wameshashutka na ndio maana wanabweka kama mbwa alafu wakiona jamaa anakuja wanakimbilia bandani wanajificha wanakaa kimya.
 
Hivi karibuni tumeshuhudia kiasi kikubwa cha fedha kutoka taifa la kubwa la marekani kuzisaidia nchi za Ukraine, Israel na Taiwan. Lakini kwa kuangalia kwa jicho lingine ni kama ili kudili vizuri na na hawa new rising power wanatengenezewa kwa makusudi migogoro ya kisiasa na nchi ambazo ni majirani zao lengo likiwa ni kuwavuta shati ili wasisonge mbele kiuchumi,kijeshi na kiteknolojia. Sasa olewako wewe taifa jipya ujichanganye uazishe vita na Jirani yako utakoma ,ndio kama tunayo yaona sasa kati ya Urus na Ukraine .Kama Urus ingekuwa sio nchi yenye raslimali za kutosha ambazo zina demand kubwa katika nchi za ulaya , Asia na Africa pasina shaka pumzi ingekuwa ishamuishia mpaka sasa , katika gharama za kuendesha vita hii. Iran na China ni kama wameshashutka na ndio maana wanabweka kama mbwa alafu wakiona jamaa anakuja wanakimbilia bandani wanajificha wanakaa kimya .
[emoji419][emoji375][emoji419][emoji375]
 
Hivi karibuni tumeshuhudia kiasi kikubwa cha fedha kutoka taifa la kubwa la marekani kuzisaidia nchi za Ukraine, Israel na Taiwan. Lakini kwa kuangalia kwa jicho lingine ni kama ili kudili vizuri na na hawa new rising power wanatengenezewa kwa makusudi migogoro ya kisiasa na nchi ambazo ni majirani zao lengo likiwa ni kuwavuta shati ili wasisonge mbele kiuchumi,kijeshi na kiteknolojia. Sasa olewako wewe taifa jipya ujichanganye uazishe vita na Jirani yako utakoma ,ndio kama tunayo yaona sasa kati ya Urus na Ukraine .Kama Urus ingekuwa sio nchi yenye raslimali za kutosha ambazo zina demand kubwa katika nchi za ulaya , Asia na Africa pasina shaka pumzi ingekuwa ishamuishia mpaka sasa , katika gharama za kuendesha vita hii. Iran na China ni kama wameshashutka na ndio maana wanabweka kama mbwa alafu wakiona jamaa anakuja wanakimbilia bandani wanajificha wanakaa kimya .
Sababu kubwa kwa nini Marekani anapambana ili Urusi isiichukie Ukraine kwa vita vya uvamizi ni kwa sababu wanaona Urusi ikifanikiwa Ukraine kuna uwezekano mkubwa wa kuvamia nchi jirani yake ya NATO ambapo Marekani itabidi ipeleke wanajeshi wake kupigana na gharama itakuwa kubwa zaidi kuliko kuisadia Ukraine kwa sasa kukabiliana na uvamizi unaoendelea.
 
Hivi karibuni tumeshuhudia kiasi kikubwa cha fedha kutoka taifa la kubwa la marekani kuzisaidia nchi za Ukraine, Israel na Taiwan, lakini kwa kuangalia kwa jicho lingine ni kama ili kudili vizuri na na hawa new rising power wanatengenezewa kwa makusudi migogoro ya kisiasa na nchi ambazo ni majirani zao lengo likiwa ni kuwavuta shati ili wasisonge mbele kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.

Sasa ole wako wewe taifa jipya ujichanganye uazishe vita na Jirani yako utakoma ,ndio kama tunayo yaona sasa kati ya Urus na Ukraine.

Kama Urus ingekuwa sio nchi yenye raslimali za kutosha ambazo zina demand kubwa katika nchi za Ulaya, Asia na Africa pasina shaka pumzi ingekuwa ishamuishia mpaka sasa, katika gharama za kuendesha vita hii.

Iran na China ni kama wameshashutka na ndio maana wanabweka kama mbwa alafu wakiona jamaa anakuja wanakimbilia bandani wanajificha wanakaa kimya.

Western World wamepatwa na mshituko baada ya kuona dunia inapiga hatua kwa kasi ambayo hawakuitegemea. Mbaya zaidi maendeleo haya hayana mkono wao. Wanaona maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kitekinolojia yanaendelea kote kote duniani pasipo wao kuhusika. Hivyo wanaanza kuona umuhimu wao unaanza kupotea. Maana zamani ilizoeleka kwamba kila mageuzi fulani yakitokea duniani, basi magharibi ndiyo kinara wa mabadiliko hayo. Lkn sasa hali haiko hivyo tena.
 
Western World wamepatwa na mshituko baada ya kuona dunia inapiga hatua kwa kasi ambayo hawakuitegemea. Mbaya zaidi maendeleo haya hayana mkono wao. Wanaona maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kitekinolojia yanaendelea kote kote duniani pasipo wao kuhusika. Hivyo wanaanza kuona umuhimu wao unaanza kupotea. Maana zamani ilizoeleka kwamba kila mageuzi fulani yakitokea duniani, basi magharibi ndiyo kinara wa mabadiliko hayo. Lkn sasa hali haiko hivyo tena.
Wanataka kila kitu waongoze wao wamilik wao ili wakiamua kumsaction mtu basi vikwazo viingie vizuri
 
Wanataka kila kitu waongoze wao wamilik wao ili wakiamua kumsaction mtu basi vikwazo viingie vizuri

Wanashangaa sasa China ana uwezo kama wao, Russia ndo hivyo, Iran. Pia hamna mtu anayewashobokea. Basi tu wako insecure.
 
Sababu kubwa kwa nini Marekani anapambana ili Urusi isiichukie Ukraine kwa vita vya uvamizi ni kwa sababu wanaona Urusi ikifanikiwa Ukraine kuna uwezekano mkubwa wa kuvamia nchi jirani yake ya NATO ambapo Marekani itabidi ipeleke wanajeshi wake kupigana na gharama itakuwa kubwa zaidi kuliko kuisadia Ukraine kwa sasa kukabiliana na uvamizi unaoendelea.
Lengo la Urusi wala sio kuichukua Ukraine iwe sehemu ya Taifa lake! Mchezo uliopo pale kuwahiana, Marekani anataka kuingiza Ukraine Nato ili aitumie kuifanyia ujasusi Urusi na Urusi analijua hilo na ndiyo maana walishakubaliana kwamba Ukraine abaki Neutral asifungamane na upande wowote.
 
Lengo la Urusi wala sio kuichukua Ukraine iwe sehemu ya Taifa lake! Mchezo uliopo pale kuwahiana, Marekani anataka kuingiza Ukraine Nato ili aitumie kuifanyia ujasusi Urusi na Urusi analijua hilo na ndiyo maana walishakubaliana kwamba Ukraine abaki Neutral asifungamane na upande wowote.
Kwanza Marekani haiingizi mwanachama yoyote NATO, uanachama wa NATO unapatikana kwa ridhaa ya nchi ZOTE wanachama, pili itoshe kusema hujui maana ya ujasusi kabisa.
 
Kwanza Marekani haiingizi mwanachama yoyote NATO, uanachama wa NATO unapatikana kwa ridhaa ya nchi ZOTE wanachama, pili itoshe kusema hujui maana ya ujasusi kabisa.
Screenshot_2024-04-24-14-14-08-28_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Nimegundua hapa jf watu wanaongelea vitu vikubwa bila kuwa na uelewa wa kina jinsi dunia inavyoendeshwa na hayo mataifa yenye nguvu.Hebu tupende kusoma vitabu vya mblmbl ili kujua hali halisi.
Wewe mwenye uelewa na hivyo vitu vikubwa vya jinsi Dunia inavyokwenda unatakiwa ndio uwaelimishe sasa wasiojua coz huu ni mjadala huru.
 
Nilichoelewa ni kwamba iliyokuwa Serikali ya Bi Angel Merkel ilikuwa tayari kutumia kura ya VETO kupinga msukumo wa U.S wakutaka zilizokuwa Jamhuri za Usoviet kuwa member wa NATO.
Ndio hivyo, Marekani haiwezi kuingiza mwanachama yoyote bila ridhaa ya wanachama wote, hata hivi karibuni Sweden ilisubiria zaidi ya mwaka mmoja na nusu mpaka Uturuki na Hungary ziliporidhia iwe mwanachama wa NATO.
 
Ndio hivyo, Marekani haiwezi kuingiza mwanachama yoyote bila ridhaa ya wanachama wote, hata hivi karibuni Sweden ilisubiria zaidi ya mwaka mmoja na nusu mpaka Uturuki na Hungary ziliporidhia iwe mwanachama wa NATO.
Kwanini Germany iseme itapinga "Juhudi za Marekani?" Kwanini tusione kama Marekani anatafuta member wapya wa NATO?
 
Back
Top Bottom