Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 808
- 2,155
Ni kweli unapatikana kwa ridhaa lakini jua huwezi kuitenganisha NATO na marekani lengo la mwanzo la kuanzishwa kwa NATO ni kuzuia kusambaa kwa Soviet union ideology isiingie nchi za western europe ambazo ni capitalist country rejea vita baridi kati ya soviet na marekani utapata picha kamiliKwanza Marekani haiingizi mwanachama yoyote NATO, uanachama wa NATO unapatikana kwa ridhaa ya nchi ZOTE wanachama, pili itoshe kusema hujui maana ya ujasusi kabisa.