Borderlandz
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 548
- 729
Hongera tumejuwa unajuwa Kifaransa bigup sanaMkuu hatoki nje lakini anapendwa sana nje, Iwe Kenya, Malawi, Zambia, Uganda ndio kabisa!! kuna bwana mmoja ''mfaransa aliniuliza katika mazungumzo yasio rasmi, kwa kifaransa ... il est Tanzanien .... akimaanisha huyu rais wenu ni mtanzaia kweli? akamalizia kwa kusema ill est tres manifique!!! . Mimi sio mwanasiasa kabisa ila sehemu nyingi ambazo nimepita JPM anapendwa sana bandugu ukweli uswemwe
''uzuri mke aujuae ni mume pekee'' na si mtu baki. huyo mfaransa hamjui huyu bwana.Mkuu hatoki nje lakini anapendwa sana nje, Iwe Kenya, Malawi, Zambia, Uganda ndio kabisa!! kuna bwana mmoja ''mfaransa aliniuliza katika mazungumzo yasio rasmi, kwa kifaransa ... il est Tanzanien .... akimaanisha huyu rais wenu ni mtanzaia kweli? akamalizia kwa kusema ill est tres manifique!!! . Mimi sio mwanasiasa kabisa ila sehemu nyingi ambazo nimepita JPM anapendwa sana bandugu ukweli uswemwe
Nadhani una maana ya Magnifique na sio manifique.Mkuu hatoki nje lakini anapendwa sana nje, Iwe Kenya, Malawi, Zambia, Uganda ndio kabisa!! kuna bwana mmoja ''mfaransa aliniuliza katika mazungumzo yasio rasmi, kwa kifaransa ... il est Tanzanien .... akimaanisha huyu rais wenu ni mtanzaia kweli? akamalizia kwa kusema ill est tres manifique!!! . Mimi sio mwanasiasa kabisa ila sehemu nyingi ambazo nimepita JPM anapendwa sana bandugu ukweli uswemwe
Hata mimi nampenda sana na nitamchagua tena 2020.
Utafiti wako wa mfaransa mmoja kisha unaleta bandiko la majumuisho una mapungufu makubwa sana! Jiongeze
nasikia sasa hivi baada ya kilalamika sana mnapewa 7,500
Kutaja mlolongo wa mataifa sio utafiti kaka, shusha takwimu, hojaji, sample yako, uchambuzi na matokeo! Orodha ya mataifa ni ngonjera ambayo unaweza kutaja dunia nzima, bado sana jiongeze tena!Nimesema wmalawi, wazambia, waganda, na wakenya, hawa sikama nimehadithiwa ni mkweli kabisa mkuu anaheshimiwa sana sio siri tatizo lako hujaelewa