Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kweli yetu macho
 
Amejenga viwanda nchi nzima na mikopo kila mwanafunzi ni 100%
 
V
IPO BADO UNASEMA MANENOO HAYA HAHAHA UKUTE ULIFURUMUSHWA KWA CHETI FEKI😱😱😱😱
 
*UKIPATA NAFASI POPOTE PALE .... ONGEA HAYA KUHUSU RAIS WAKO JPM*
( _kuwa Mzalendo_)

1. *JPM amerejesha nidhamu ya fedha habari za kutumia fedha kuleta ubabe hakuna, maneno nitakupiga nikulipe imebaki historia.*

2. *JPM amerejesha nidhamu kwenye ofisi za umma, tabia za watumishi wa umma kujimilikisha ofisi za umma imebaki historia, kauli toka ofisini kwangu, nipo ofisini tumezisahau.*

3. *JPM amekomesha tabia ya wanaCCM kadhaa kutumia chama kama mwamvuli wa kukopa kodi, kupiga madili na kuleta ubabe mtaani.*

4. *JPM amekomesha mtandao wa kupeana vyeo serikali, tabia ya kutumia watu na pesa kupata nafasi serikali imepotea rasmi*.

5. *JPM amefanya vizuri kwenye sekta ya miundombinu na usafirishaji , amethubutu kufanya mambo mazito kwenye reli, barabara, anga, nk*

6. *Kupitia JPM sasa uongozi ni kutumikia watu siyo kuvuma pesa kama ilivyokuwa sasa wabunge, madiwani, mawaziri, nk wanaishi kama viongozi siyo wafanyabiashara , kufikia 2020 wanasiasa wafanyabiashara watajiweka pembeni.*

7. *Kupitia JPM viongozi wamekuwa wasikivu kwa wananch, tabia ya viongozi hasa wanasiasa kujiona miungu imebaki historia.*

8. *JPM amevunja mwiko wa tabia ya kudhani watu fulani wa familia ndiyo special kuteuliwa ktk nafasi za kiserikali, kupitia JPM kupata uteuzi ni uwezo siyo historia ya familia*.

9. *JPM amethubutu kutazama utapeli tunaofanyiwa kwenye sekta ya madini, angalau ameunda tume kuchunguza usafirishaji wa Udongo kwenda ughaibuni hili siyo japo la mzaha.*

10. *JPM amekomesha ujangili sasa matukio ya ujangili yamepotea kabla Tanzania ilikuwa inakwenda kupoteza tembo na Wanyama wengine muhimu sasa Wanyama wetu wapo salama.*

11. *JPM amekomesha matumizi ya hovyo ya kodi zetu , semina za kulipana fedha hovyo hakuna, safari za kutengeneza kupiga pesa hakuna, manunuzi ya kisanii hakuna , kipindi hiki viongozi na watendaji wa serikali wanaheshimu kodi zetu.*


12. *JPM amethubutu kupambana na dawa za kulevya kwa vitendo hili siyo jambo dogo ukizingatia nguvu ya wauza dawa za kulevya.*

13. *JPM ameendeleza vema vita dhidi ya rushwa kuanzia kwenye chama (CCM) mpaka Taasisi za serikali , siyo jambo dogo kukomesha rushwa kwenye siasa zetu za Afrika yeye ameonesha njia kwenye uchaguzi wa wabunge wa EAL.*

14. *JPM amekomesha mtandao wa ufisadi BANDARINI enzi hizo bandari yetu ilikuwa chimbo la kujipatia utajiri wa kifisadi sasa BANDARINI amesafisha.*

15. *JPM amekomesha tabia ya viongozi kupeana tenda za serikali kihuni na kifisadi, kandarasi sasa zinatolewa kwa kufuata utaratibu kiasi cha kupunguza ufisadi kwenye halmashauri zetu.*

16. *JPM amerejesha uadilifu kwenye sekta ya afya, pamoja na changamoto za uhaba wa dawa, wataalam wa afya na vifaa angalau madaktari na wauguzi wana kauli nzuri zenye faraja kwa wagonjwa hata rushwa sekta ya afya siyo kama enzi zile.*

17. *JPM ameleta utaratibu mzuri wa viongozi kutoka ofisini kwenda mtaani kutazama matatizo ya wananch kuliko Kutegeana kusoma ripoti tu.*

18. *JPM amerejesha thamani ya elimu kwa kuteua wasomi ktk nafasi mbali mbali kuliko awali watu waliteuliwa kwa mazoea, sasa maprofesa, madaktari na wasomi kwa ujumla ndiyo viongozi wa wizara zetu*

19. *JPM amekomesha mtandao wa makundi kwenye chama na serikali sasa mtandao wa kupeana ukurugenzi wa halmashauri, UDC, URC, ukatibu wa chama, ukurugenzi wa mashirika ya umma umepotezwa hili siyo jambo dogo.*

*20. JPM amekomesha matapeli wenye mwamvuli wa uwekezaji waliojimilikisha ardhi kubwa nchini huku watanzania wakikosa maeneo ya kulima.*


_Tanzania ni yetu_
_Magufuli ni presdent wetu
 
Itakuwa mfaidika wa teuzi zile za kikanda na kikabila
 
"Ni malaika sio binadamu".Hivyo ndiyo mtu mwenye akili timamu anavyoweza kum-describe Rais Magufuli..

Anafanya mambo ambayo hata Mwalimu Nyerere alishindwa; kwa mfano Mwalimu aliposhindwa kupambana na wanyonyaji wa madini yetu hapa nchini na kuamua kuacha migodi bila kuchimbwa hadi waTz tutakapopata akili.

Lakini Rais Magufuli anataka kupambana nao huku akiweka options mbili aidha wakubali masharti yetu waendelee kuchimba ama waondoke yachimbwe na wananchi wa kawaida.

Watanzania wenzangu tumuunge mkono malaika huyu.. NI bahati na huja mara moja ndani ya miaka 50..
 
Hata Azrael (Azrail; Malak al-maut) ni malaika pia..
 



Teh teh teh....mkuu you are extremely naive Maskini!!

***Neeeeeeeeeeeext......................
 
Taifa lilikuwa limefikia pabaya kwa kuongezeka kwa magonjwa ya tabia baada ya wewe kuingia madarakani yafuatayo yametokea
1. Ule utaratibu wa kukodi bodaboda kwenda mtaa wa pili sasa umekufa kwa watu wengi, wameamua kutembea (kufanya mazoezi) na ni faida kiafya.
2. Mafuta ya kupikia sasa yanawekwa kidogo sana kwenye vyakula hivyo kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.
3. Mboga mboga, nafaka zisizo kobolewa, mazao jamii ya kunde na mimea mingine imekuwa chakula kikuu cha wengi ndomaana miili ya wengi imenawiri japo wanalia njaa.
4. Sukari inatumika kidogo sana kama kanuni zinavyoelekeza.
Kwakweli kwenye afya za watanzania wengi umesaidia kuokoa.
Hongera.
 
Mtakufa masikini tena kama ww ndo kiongozi wa ukoo wenu utawafanya wenzio wafe masikini kwa mawazo yako ya kimasikini
 


UNA SPIRIT OF POVERTY.

unaroho ya umaskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…