Siku hizi nshakuwa kubwa. Blaki Womani anakutafuta sana. Mcheck PM. Uliniudhi unajua wewe. Jifunze kula na vipofuSijaelewa dogo mia
Hapo mwisho labda nimekuelewaWatu wawe fair kwake (Rais Magufuli kwa namna anavyochapa kazi) Wampe credit.. Reformation ya nchi masikini kama Tanzania ambayo ina vitu vyote.. then tu, ilikuwa inakaliwa na watu wachache wanatuvuruga tu.. wanagonganisha vichwa wanatuvuruga tu.. kwa sababu tu, hawataki kuwa na dhamira njema; Yeye (Rais Magufuli) anaingia ndani ya miaka mitatu.
Watu wanaanza kuona results hata kama hutaki basi nyamaza!!”(kukubali na kusema kuwa Mhe. Rais na serikali inafanya mambo ya maendeleo na kujenga Tanzania mpya
Wanaochezelea kodi watumbuliwe bila kujali wanatoka Kolomije au wanatoka Same kwa Mama Anna Kilango. Haki itendeke sawa.
Piga kazi rais Magufuli
Hahaa! Umeacha hip hop sasa umehamia kwenye taarab! Kiuno nyuma vidole hewani! Hongera mkuu!Siku hizi nshakuwa kubwa. Blaki Womani anakutafuta sana. Mcheck PM. Uliniudhi unajua wewe. Jifunze kula na vipofu
Ulivyoanza nilidhani ni bandiko la kusifu, kumbe unapiga chapuo mtu atumbuliwe!.Wanaochezelea kodi watumbuliwe bila kujali wanatoka Kolomije
Mayala Maana yake njaaUlivyoanza nilidhani ni bandiko la kusifu, kumbe unapiga chapuo mtu atumbuliwe!.
Mtangoja sana!, Au Mtasubiri sana!.
Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!. - JamiiForums
P.
unasifia uharibifu tu kwasababu mhusika ni Msukuma kama wewe au sio?Ulivyoanza nilidhani ni bandiko la kusifu, kumbe unapiga chapuo mtu atumbuliwe!.
Mtangoja sana!, Au Mtasubiri sana!.
Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!. - JamiiForums
P.
TATIZO LENU UVCCM MNASHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA KUSHAURI NA KUPINGA. MTU AKIKUAMBIA KUWA BADALA YA KUNUNUA NDEGE NUNUA KWANZA MADAWA NI TOFAUTI NA ANAYEKUAMBIA HATUHITAJI NDEGE. TATIZO LA SERIIKALI YA AWAMU YA TANO HAIJUI VIPAUMBELE (PRIORITIES) VYAKE NI VIPIWatu wawe fair kwake (Rais Magufuli kwa namna anavyochapa kazi) Wampe credit.. Reformation ya nchi masikini kama Tanzania ambayo ina vitu vyote.. then tu, ilikuwa inakaliwa na watu wachache wanatuvuruga tu.. wanagonganisha vichwa wanatuvuruga tu.. kwa sababu tu, hawataki kuwa na dhamira njema; Yeye (Rais Magufuli) anaingia ndani ya miaka mitatu.
Watu wanaanza kuona results hata kama hutaki basi nyamaza!!”(kukubali na kusema kuwa Mhe. Rais na serikali inafanya mambo ya maendeleo na kujenga Tanzania mpya
Wanaochezelea kodi watumbuliwe bila kujali wanatoka Kolomije au wanatoka Same kwa Mama Anna Kilango. Haki itendeke sawa.
Piga kazi rais Magufuli
Mimi sina chama, lakini naunga mkono maendeleo. Kweli anachapa kaziBinafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Habari zaidi, soma =>Toka kwa Wananchi: Kero na Vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa...