Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 558
- 661
Dk Magufuli haitaji kupiga kampeni katika uchaguzi ujao, ili uweze kupata kura yangu na watanzania kwa ujumla, yale uliyofanya Kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani yananilazimisha kumpa kura yangu, na kutokufanya hivyo nitakuwa nimefanya dhambi isiyosameheka.
Nangojea pia kwa shauku kukamilika kwa stigler George ili tuepukane na adha ya gharama kubwa za umeme pamoja na kuanza kazi Standard gauge Railway Mwanza to Dar ndani ya masaa kadhaa.
Nangojea pia kwa shauku kukamilika kwa stigler George ili tuepukane na adha ya gharama kubwa za umeme pamoja na kuanza kazi Standard gauge Railway Mwanza to Dar ndani ya masaa kadhaa.