Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kodi muhimu.
 
Amen.
 
Sasa kapatikana.
 
Kweli mkuu.
 
Duh! [emoji15]
 
Wajinga nyinyie watu wa Ukawa mlisema hata CCM ikileta mgombe Malaika ata geuka kuwa shetani,naona mna mfagilia Magufuli mmesahau kejeli zenu vibaraka wa Mbowe hamna akili kabisa,mkamshabikia yule Fisadi Lowassa eti awe Rais!
[emoji3][emoji3][emoji3] Wepesi wa kusahau.
 
Viva JPM.
 
wenzetu wazungu huwa wanataka ukiwa unawaelewa kitu uwaangalie machoni......kwa sababu uso wa mtu humtambulisha mtu....ukimwangalia JPM usoni lzm uamini anachokisema coz you can read it from his face!!
Kweli kabisa.
 
Aaaah!
 
[emoji123][emoji123][emoji109][emoji109]
 
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji120] Kula gwala kamanda, maendeleo hayana chama
 
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…