Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Tanzania sasa tunaitaji maendeleo tu na tayari tumempata Kilongora Mh Magufuli ambaye ameshavaa viatu vya Uzalendo uliotukuka kwaajili ya kusimamia Rasilimali za Taifa kwa ustawi wa Watanzania wote.

Rushwa ndio lilikuwa tatizo kubwa Nchini lakini sasa vigogo wote wanafikishwa mbele ya vyombo vya sheria,Lakini zaidi secta zote Bajeti imeongezeka kama afya madawa toka Billion 34 mpaka sasa Billion 269.

Elimu bure msingi mpaka secondary. Secta ya madini Serikali imekaa na wadau ili ichangie 25% ya pato la Taifa au zaidi kama wataalamu wanavyosema.

Sekta ya Viwanda inaenda vizuri tayari mradi wa Stiegles kule Rufiji umeanza ambao utatoa megawati 2015 na kuachana na huu utapeli wa Power Plants ambao umetunyonya sana,Pia mwaka huu Setikali inapeleka Muswada Bungeni ili kila mwananchi mnyonge hasa secta binafsi wawe na Bima ya afya ambapo tunaambiwa 65% hawana hii bima ya afya.

Kwahiyo sasa tuweke mkazo wa Secta ya Kilimo na secta ya Utalii,Elimu na afya zinahitaji maboresho madogo tu.

Yapo mengi tu kama ununuzi wa ndege na mradi mkubwa wa SGR na mengineyo. ##JPM KIOO TUELEKEACHO
 
Kwa kasi ya ujenzi wa miundominu hasa madaraja na barabara Ni wazi sasa Tanzania baada ya muda itakuwa na nyenzo zote muhimu za usafirishaji.miradi yote inaendelea na kazi.

Nawaombeni tumtumie rais wetu ataifikisha hii nchi pazuri Sana ipo siku atafanikiwa kufikisha kujenga barabara itokayo dar mpk Zanzibar.

Hakuna linalishindikana WATANZANIA tuungane na hii safari kubwa ya kujenga taifa jipya.kila mtu akiwajibika kwa upande wake tutatoka.
 
Naikumbuka sana kauli mbiu ya JK wakati anagombea ile 2005 "Maisha Bora Kwa kila Mtanzania" Ilikua ni kauli mbiu yenye matumaini makubwa kwa mustakabari wa Taifa letu. Kwa sasa nasikia tu " hapa kazi tu, mara Tanzania ya viwanda". Maisha bora kwa kila Mtanzania imebakia kuwa historia.
 
1. Nchi ya Kenya mpaka kesho wanaonyesha hali ya juu sana ya kumkubali Rais Magufuli, Na wamekuwa wakituma ujumbe Mara kwa Mara kupitia ukurasa wa Rais wa Kenya Mr Uhuru Kenyatta, kuwa Magufuli njoo utuondolee ufisadi Kenya.
2. Nchi ya Colombia; Hii ni nchi maarufu sana Duniani. Mwana riadha Carles Valdez, ameandika Mara kwa Mara katika kurasa zake, kuwa "The African rising star from Africa, please join us ,help us with this triumph corruption in our country"
3. Napo Uganda kwa Mzee Mseven wametaka kuwa na Rais Magufuli, hawaijui Kiswahili vema, wanasema HIS EXCELLENCY JOHN POMBE MAGUFULI, NJOOO UTUNYOROOSHEEE, tunakutaka uku!
4. USA, ni vigumu sana kuamini kwamba watu wa USA wanafuatilia pia, mmoja kaandika kwenye ukurasa wa Twitter kuwa, "Trump you are John too but you don't deserve to be respected as John of Tanzania, welcome to USA we need a president of your caliber "
5. Bolivia ni nchi inayopatikana kusini mwa bara la America. Wakati wa mechi ya kirafiki Na Venezuela, ilionekana bango kwa mbali wakipinga rushwa inayoendelea nchini mwao, lilikuwa linasema " there is an emerging country in Africa with MAGUFULI. Our president don't be ashamed to get lecture from the guy"
6. Nepal mitaa ya kathmandul wananchi wameamdamana kutaka mitaa baadhi iitwe MAGUFULI, Na kusema wanataka Rais wao awe kama Magufuli.
7. Nchini Congo kwa mobutu seseko wa zabangaa nyote ni mashahidi, wakati mkilia kule wanaomba Rais Magufuli aongoze,
8. Nchi ya Australia magazeti yanatoa maoni ya watu mbali mbali Na kusema wanashangaa kuna ka nchi uko Africa kana Rais ni hatari kabisa, wanatamani aongoze hata kule!
9. Madagascar kwa Waziri Mkuu Kelvin Ruud, nao walishawahi kuandamana mitaa ya Antananarivo kushinikiza Rais wao afuate mfumo wa uongozi Tanzania.

Watanzania yatupasa tutembee vifua mbele kwani tuna Rais Magufuli mwenye viwango, sifa, ubora na kipawa cha uongozi cha kitaifa na kimataifa. Najivunia Rais Magufuli.
 
1. Nchi ya Kenya mpaka kesho wanaonyesha hali ya juu sana ya kumkubali Rais Magufuli, Na wamekuwa wakituma ujumbe Mara kwa Mara kupitia ukurasa wa Rais wa Kenya Mr Uhuru Kenyatta, kuwa Magufuli njoo utuondolee ufisadi Kenya.
2. Nchi ya Colombia; Hii ni nchi maarufu sana Duniani. Mwana riadha Carles Valdez, ameandika Mara kwa Mara katika kurasa zake, kuwa "The African rising star from Africa, please join us ,help us with this triumph corruption in our country"
3. Napo Uganda kwa Mzee Mseven wametaka kuwa na Rais Magufuli, hawaijui Kiswahili vema, wanasema HIS EXCELLENCY JOHN POMBE MAGUFULI, NJOOO UTUNYOROOSHEEE, tunakutaka uku!
4. USA, ni vigumu sana kuamini kwamba watu wa USA wanafuatilia pia, mmoja kaandika kwenye ukurasa wa Twitter kuwa, "Trump you are John too but you don't deserve to be respected as John of Tanzania, welcome to USA we need a president of your caliber "
5. Bolivia ni nchi inayopatikana kusini mwa bara la America. Wakati wa mechi ya kirafiki Na Venezuela, ilionekana bango kwa mbali wakipinga rushwa inayoendelea nchini mwao, lilikuwa linasema " there is an emerging country in Africa with MAGUFULI. Our president don't be ashamed to get lecture from the guy"
6. Nepal mitaa ya kathmandul wananchi wameamdamana kutaka mitaa baadhi iitwe MAGUFULI, Na kusema wanataka Rais wao awe kama Magufuli.
7. Nchini Congo kwa mobutu seseko wa zabangaa nyote ni mashahidi, wakati mkilia kule wanaomba Rais Magufuli aongoze,
8. Nchi ya Australia magazeti yanatoa maoni ya watu mbali mbali Na kusema wanashangaa kuna ka nchi uko Africa kana Rais ni hatari kabisa, wanatamani aongoze hata kule!
9. Madagascar kwa Waziri Mkuu Kelvin Ruud, nao walishawahi kuandamana mitaa ya Antananarivo kushinikiza Rais wao afuate mfumo wa uongozi Tanzania.

Watanzania yatupasa tutembee vifua mbele kwani tuna Rais Magufuli mwenye viwango, sifa, ubora na kipawa cha uongozi cha kitaifa na kimataifa. Najivunia Rais Magufuli.
Well said

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SISI ambaye ni rais wetu tunabana pua na kuonesha vidole juu kuwa hafai. wendawazimu wakubwa.
 
Hata Tanzania ishawai kutaka Rais dizain ya magufuli nashangaa siku hzi wanamkataa, ajabu!

wakati ukuta.
 
Kutakuwa na chembechembe za kiccm sio nchi hahahahahaaaa. Ufisadi wa 1.5Tilion afu hakuna ufisadi??, wangapi wamefikishwa mahakamani na kustakiwa mpaka watu wamlilie??. Utatu wa Kifisadi umetengenezwa kumalizia awamu ya pili AR+Edo+... 😂
 
Back
Top Bottom